Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

Tatizo la mrusi haja wekeza kwenye viwanda. China ana export kubwa ndio maana ana shusha thamani ya hela yake.

Urusi itumie hela zake za mafuta kufanya diversion. Dubai wana fanya kila nchi zenye mafuta zina fanya, kwasababu ni rasilimali inayo isha. Na sasa ivi kuna magari ya umeme na kila kitu cha umeme ni muda tu hakuna atakaye nunu hayo mafuta.
 
Na sasa hivi ndiyo inazidi kupigwa pini kwa vikwazo vya kimataifa na nchi za Magharibi.
Kwanza nitoe Salam zangu kwako mkuu, maana nilikuwa mfuatiliaji mkubwa jf kutokana na mada zako.

Unaposema Dunia nzima una maanisha nini?

Hao western Europe watalazimika kutumia Rubo wanapofanya miamala kule Urusi.

Nakukumbusha tu hata Mbolea ambayo inahitajika huko Amerika inakwenda kununuliwa kwa Rubo.

Tunachokosea pia tunapowaza Magharibi mwa Ulaya, tunayawaza tu Mataifa yenye nguvu za Kiuchumi tu kama Ujerumani, Uingereza, Ufaransa na kidogo Hispania.

Ila kiukweli Kuna vinchi vingi vidogo kama Latvia, Lithuania, Hungary, Bulgaria, Greece, Austria ambazo chumi zao zinaitegemea mno Urusi, hivyo mahitaji ya Rubo yataongezeka kwenye bidhaa nyingine.

Watalazimika kuhifadhi pesa ya Urusi ili waweze kununua mahitaji muhimu ikiwemo Shayiri, Ngano, Mafuta ya kupikia na bidhaa mbalimbali.

Tuje nchi za central Asia hapa tunawagusa Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Turkmenistan, Armenia, Afghanistan, Azerbaijan hawa wataongeza kiwango Cha ununuzi wa bidhaa kwa kutumia pesa ya Urusi na akiba yake.

Tukienda Mashariki ya mbali huku nadhani wanajaribu kulink system zao pamoja na Urusi kwenye masuala ya fedha.
Mataifa mama Uchina, Vietnam, Myanmar, Laos, Bangladesh.

India kila mtu anajua kinachoendelea.

Brazil hawa wanatafuta namna ya kulipia kwa Rubo hasa Ile system insyojaribiwa ikikaa vizuri.

Afrika ya kusini kila mtu anajua.

Hivyo matendo waliyoyafanya watu wa Ulaya ni kuilazimisha Urusi rasmi kuegemea upande wa Mashariki ambao ni hatari kubwa kwa baadae.
 
Tatizo la mrusi haja wekeza kwenye viwanda. China ana export kubwa ndio maana ana shusha thamani ya hela yake.

Urusi itumie hela zake za mafuta kufanya diversion. Dubai wana fanya kila nchi zenye mafuta zina fanya, kwasababu ni rasilimali inayo isha. Na sasa ivi kuna magari ya umeme na kila kitu cha umeme ni muda tu hakuna atakaye nunu hayo mafuta.
Unafahamu product zinazotokana na mafuta au unafikiri zinahitajika kwenye magari pekee?
 
Kwanza nitoe Salam zangu kwako mkuu, maana nilikuwa mfuatiliaji mkubwa jf kutokana na mada zako.

Unaposema Dunia nzima una maanisha nini?

Hao western Europe watalazimika kutumia Rubo wanapofanya miamala kule Urusi.

Nakukumbusha tu hata Mbolea ambayo inahitajika huko Amerika inakwenda kununuliwa kwa Rubo.

Tunachokosea pia tunapowaza Magharibi mwa Ulaya, tunayawaza tu Mataifa yenye nguvu za Kiuchumi tu kama Ujerumani, Uingereza, Ufaransa na kidogo Hispania.

Ila kiukweli Kuna vinchi vingi vidogo kama Latvia, Lithuania, Hungary, Bulgaria, Greece, Austria ambazo chumi zao zinaitegemea mno Urusi, hivyo mahitaji ya Rubo yataongezeka kwenye bidhaa nyingine.

Watalazimika kuhifadhi pesa ya Urusi ili waweze kununua mahitaji muhimu ikiwemo Shayiri, Ngano, Mafuta ya kupikia na bidhaa mbalimbali.

Tuje nchi za central Asia hapa tunawagusa Kazakhstan, Tajikistan, Uzbekistan, Turkmenistan, Armenia, Afghanistan, Azerbaijan hawa wataongeza kiwango Cha ununuzi wa bidhaa kwa kutumia pesa ya Urusi na akiba yake.

Tukienda Mashariki ya mbali huku nadhani wanajaribu kulink system zao pamoja na Urusi kwenye masuala ya fedha.
Mataifa mama Uchina, Vietnam, Myanmar, Laos, Bangladesh.

India kila mtu anajua kinachoendelea.

Brazil hawa wanatafuta namna ya kulipia kwa Rubo hasa Ile system insyojaribiwa ikikaa vizuri.

Afrika ya kusini kila mtu anajua.

Hivyo matendo waliyoyafanya watu wa Ulaya ni kuilazimisha Urusi rasmi kuegemea upande wa Mashariki ambao ni hatari kubwa kwa baadae.
Kwanza kabisa, tusome kwa ufahamu.Wapi nimesema dunia nzima?
 
We
Wenye akili wananunua Sasa ruble wanaweka akiba , Kila siku fedha zao zinazaa Kila ruble inapopanda . Fikiria alienunua ruble ikiwa 139 kwa Dola mpaka Sasa ana faida mara mbili akiamua kuuza ndani ya miezi mitatu, kuna biashara Gani yenye faida kiasi hicho⁉️
Kwenye forex trading sawa. Mimi nazungumzia kiuhalisia ukiwa nje ya urusi utatumia wapi hizo hela?
 
Unajua dunia ina watu wangapi?....sasa hayo mataifa matatu yanaweza fika watu bilioni 3 sasa ukipata idadi ya jumla ya watu duniani ndo utajua maana nzima ya mataifa hayo matatu kutumia pesa zao
China na India watatumia rubble wakifanya biashara na urusi lakini je biashara nyingine itakuaje? Wakipata rubble wachina na wahindi hazitawasaidia kwenye biashara na mataifa mengine hivyo sioni long term plan ya kuchukua rubble.
 
Tatizo la mrusi haja wekeza kwenye viwanda. China ana export kubwa ndio maana ana shusha thamani ya hela yake.

Urusi itumie hela zake za mafuta kufanya diversion. Dubai wana fanya kila nchi zenye mafuta zina fanya, kwasababu ni rasilimali inayo isha. Na sasa ivi kuna magari ya umeme na kila kitu cha umeme ni muda tu hakuna atakaye nunu hayo mafuta.
Issue ya kiachana na mafuta,itafanikiwa miaka 30 ijayo.
 
Wanakasirika MNO halafu kwa hasira hiyo wanaweka vikwazo bila kufikiri kwa undani na mwisho wa siku vikwazo vinawaumiza wao zaidi!

Kinachowauma zaidi ni Muungano wao wa nchi 30+ dhidi ya nchi 1 halafu inawatoa jasho!! Kwa mfano wakati Marekani inaiwekea vikwazo urusi, iliwapiga marufuku warusi kutumia dola kwenye miamala yoyote ISIPOKUWA kama wanalipa madeni!! Walidhani kuwa Urusi itashindwa kulipa madeni baada ya pesa zake kwenye benki za nje kuzuiwa!

Baadaye wakashangaa urusi inalipa madeni yake bila shida yoyote!! Sasa wameamua watamzuia kutumia dola hata kwa kulipia madeni hata kwa wadai wa Marekani yenyewe!! Sasa Urusi ikacheka na kusema kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi, hiki kikwazo ni nafuu kwetu na hasara kwa Marekani yenyewe!!
Hii habari mbona sikuisikia mkuu ..iweke kitaalamu zaidi mkuu
 
Ukiwa na rubble sasa hivi utazifanyia nini kama haupo urusi?
Kama mchina anazihitaji au yoyote yule anayetaka kununua mafuta kwa bei bwerere au chochote kile basi its not rocket science kwamba nitaexchange nao huko na kupata pesa ninayotaka ili nifanye ninachokifanya....

All in all there is demand ya hio currency and its up to me kuitafuta / convert suala la liquidity its another matter, na kama China anaikubali na China its Industry of the World basi ni mengi tu naweza kuyafanya....
 
China na India watatumia rubble wakifanya biashara na urusi lakini je biashara nyingine itakuaje? Wakipata rubble wachina na wahindi hazitawasaidia kwenye biashara na mataifa mengine hivyo sioni long term plan ya kuchukua rubble.
Ungekuwa unafahamu financial markets zinavyofanya kazi usingeuliza swali kamma hili. Maana Kama ruble itazidi kupaa Ina maanaa mataifa mengi yataaanza kuitaji kuitumia ..
 
Tatizo la mrusi haja wekeza kwenye viwanda. China ana export kubwa ndio maana ana shusha thamani ya hela yake.

Urusi itumie hela zake za mafuta kufanya diversion. Dubai wana fanya kila nchi zenye mafuta zina fanya, kwasababu ni rasilimali inayo isha. Na sasa ivi kuna magari ya umeme na kila kitu cha umeme ni muda tu hakuna atakaye nunu hayo mafuta.
Kuacha kutumia mafuta siyo Leo wala kesho mkuu. Hayo magari mpaka yafike kwa kila mmoja itakuwa Ni 2050 huko ..kwanza Bei yake siyo ya kitoto, mambo hayaendagi fasta ivyo mkuu
 
Ungekuwa unafahamu financial markets zinavyofanya kazi usingeuliza swali kamma hili. Maana Kama ruble itazidi kupaa Ina maanaa mataifa mengi yataaanza kuitaji kuitumia ..
Haujui mfumo wa fedha umetawaliwa na nani? Wewe rabo ikipanda thamani utaenda kuinunua? Halafu uitumie kufanyia nini?
 
Kuacha kutumia mafuta siyo Leo wala kesho mkuu. Hayo magari mpaka yafike kwa kila mmoja itakuwa Ni 2050 huko ..kwanza Bei yake siyo ya kitoto, mambo hayaendagi fasta ivyo mkuu
Tatizo la petroleum iko fixed ikiisha ndio basi, urusi inatumia kupigana vita na kutengeneza vifaru. UAE uchumi wao umebadika na kua wa kitalii kwasababu wanajua gesi ita isha.

Rubble haiwezi kua juu kwa sababa ya urusi haeleweki
 
Kuacha kutumia mafuta siyo Leo wala kesho mkuu. Hayo magari mpaka yafike kwa kila mmoja itakuwa Ni 2050 huko ..kwanza Bei yake siyo ya kitoto, mambo hayaendagi fasta ivyo mkuu
Tatizo la petroleum iko fixed ikiisha ndio basi, urusi inatumia kupigana vita na kutengeneza vifaru. UAE uchumi wao umebadika na kua wa kitalii kwasababu wanajua gesi ita isha.

Rubble haiwezi kua juu kwa sababa ya urusi haeleweki
 
Back
Top Bottom