Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

We
Aliyetangulia katangulia tu. Wewe kama hufanyi biashara urusi utachukua rubble za nini?
Wenye akili wananunua Sasa ruble wanaweka akiba , Kila siku fedha zao zinazaa Kila ruble inapopanda . Fikiria alienunua ruble ikiwa 139 kwa Dola mpaka Sasa ana faida mara mbili akiamua kuuza ndani ya miezi mitatu, kuna biashara Gani yenye faida kiasi hicho⁉️
 
We
Wenye akili wananunua Sasa ruble wanaweka akiba , Kila siku fedha zao zinazaa Kila ruble inapopanda . Fikiria alienunua ruble ikiwa 139 kwa Dola mpaka Sasa ana faida mara mbili akiamua kuuza ndani ya miezi mitatu, kuna biashara Gani yenye faida kiasi hicho⁉️
This is the trading watu wanasema kuwa ni kamari. Ishu inahitaji high investment katika knowledge ni sawa kutaka kuwa Neuro surgery just kwa watch YouTubers and PDF kadhaa.
 
Tukiwambia Putin ni kichwa muwe mnaelewa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Most EU buyers open RUBLE accounts for [emoji635] gas as ‘no other advisory options’: Gazprombank

Half of [emoji635] gas giant Gazprom's clients have opened accounts at Gazprombank, Deputy Prime Minister Alexander Novak said, as Moscow seeks to compel its clients to pay for its gas in roubles. https://t.co/OCur3mOoDs
 
Usipoteshe wewe pro-putin na namuomba mod afute hii thread
View attachment 2231787
wewe ndo unapotosha. Website pekee inayokupa kitu cha uhalisia ni xe.com. lete link yako ya taarifa hapa

1653053258962.png
 
Unajua dunia ina watu wangapi?....sasa hayo mataifa matatu yanaweza fika watu bilioni 3 sasa ukipata idadi ya jumla ya watu duniani ndo utajua maana nzima ya mataifa hayo matatu kutumia pesa zao
Tatizo hawana nguvu ya manunuzi mkuu wingi wa watu usikupumbaze ndio maana afrika ina watu wengi hata nguvu ya kununua magari mapya tunayozalisha sijui assemble hatuna
 
Hhmm mkongwe hapa umenifungua jambo, Ina maana ukienda na Ruble bureau de change, Ukataka kuwapa Ruble wakupe dollar Watagoma maana Ruble ni sawa na Bhange!!?.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha kuna siku nilitoka nyumbani Dar es salaam likizo, nikawa narudi nyumbani New York City kazini.

Nikajikuta kumbe nimesafiri kurudi Marekani na hela za kibongo, sikumaliza kuzitumia, elfu kumi kumi chache zilikuw zimebaki.
Wadogo zangu walikuwa wanagombania kuni spoil, kila ninapoenda wanataka kutumia hela zao, mpaka zangu nikabaki nazo.

Nikasema ngoja nitafute Bureau de Change hapa New York City.

Nikapata Bureau de Change moja kubwa iko 42nd Street karibu na Grand Central Station.

Nikawaambia nina hela ya kibongo hii, nahitaji US dollar.

Jamaa wakaniambia hatupokei hiyo hela, labda tukutafutie wale watu wanao collect stamps na noti za nchi mbalimbali wanaweza kuinunua kama sehemu ya watu wanao collect noti za nchi mbalimbali kama picha za sanaa tu.
 
Ruble ya mrusi hata ipande hata mara elfu moja kuzidi hela za nchi za Magharibi na shilingi ya Tanzania zihitaji hiyo miruble ya mrusi
Sina haja nayo hata nipewe bure
 
Back
Top Bottom