Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Amelifaidi sana anajengewa na kupelekewa hadi mahindi ya bure kwenye viwanda vyake vya kusagia na hawahawa maafisa.Siro aliacha jeshi la polisi likawa kama klabu ya ulanzi. Nidhamu hakuna kabisa. Ndio maana wengine wana tamani kuwa IGP wakati aliepo haja staafu.
Kwa hiyo hawa kutoa rushwa sio habari