CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
[emoji124][emoji124] nisianzishe mjadala mwingine huku[emoji23][emoji23]Elimu haina ishu sikuhizi, muhimu upate connection uingie kwenye channel za kubunya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji124][emoji124] nisianzishe mjadala mwingine huku[emoji23][emoji23]Elimu haina ishu sikuhizi, muhimu upate connection uingie kwenye channel za kubunya
Kuna wazazi wengine wapuuzi sana...unakuta anakaa kimara na huko kuna shule nzuri tu lakini anampeleka mtoto shule tegeta au mikocheni.Unategemea nini hapo.
Serikali iliangalie hili, tunatesa watoto wadogo bure. Wanahitaji kupumzika Sana Hawa ili ubongo wao ukue[emoji3525]Hawa watoto wanapata muda kidogo wa kupumzika (kulala).
isitoshe wanapewa 'home work' nyingi sababu masomo wanasoma mengi na hata mabegi yao makubwa sababu ya kubebeshwa madaftari mengi...
Hii sio sawa.
Sijaelewa Hapa wazazi wanakua wamefanya nn Sana Kama sio kuwatesa hao watotohii inashangaza sana, nakaa eneo A
kuna siku niliamka saa 10 alfajiri kuwahi basi Ubungo
kituo cha daladala nakutana na wanafunzi (O-Level) wa Zanaki na Jangwani, ni mwendo wa 35 km mpaka uko Zanaki
ilihali eneo hilo kuna shule za sekondari kadhaa,
Sasa Kama mtu mzima Ni kipengele, inakuaje kwa mwanafunz Tena mtoto wa miaka 4.Mimi mtu mzima tu kuniamsha saa 11 alfajiri mara mbili mfululizo ibidi ujipange.
Unless mchana niwe nalala tena.
Mtoto wa Hivi hata alikua akili yake haitoweza kuchangia mambo kwa ufasaha zaidi,Mkuu kupokea wanapokea but in a very low level,, kwenye elimu huuita "remembering",, but hawafikii the highest levels kama analysis au applying that's why tunalalamika elimu yetu ni ya kukaririshana
Inavyoonekana Kuna Baadhi ya wazazi kusomesha imekua Ni fasheni, ili mradi TU mwanangu nae yuko shule nasomesha.Kizazi cha sasa ni shida, kuanzia wazazi hadi watoto.
Imekaaje hii[emoji848]
Saa 11:20 alfajiri Unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni.
Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
-Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?[emoji848]
-Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?[emoji848]
-Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?[emoji848]
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote Ni wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.
HAIINGII AKILINI KABISA[emoji3525]
Sidhan Kama wazazi wa kaliba Hii wanalitambua hili,Mtoto anatakiwa asome karibu na anapoishi, mtoto hatakiwi soma muda mrefu
Huu wa kusuka Watoto na kuwakaza vichwa Ni unyanyasaji mwingine was watoto?Nawaonaga jioni muda wa kurudi nyumbani, vimesinzia usingizi fofofo bus zima had huruma, sasa hapo ukute katoto kakike kamesukwa na dread za uzi kimevutwa nywele hatari, hapo unategemea mtoto atakua sawa kweli? Mtoto haogeshwi kichwa mwezi mzima kisa kimesukwa nywele halafu nywele zenyewe zinauma balaa, changanya na kukiamsha alfajiri hapo ni upuuzi mtupu
Wee mkuu unaona liko sawa hili?
Unaweza kufanya hivi kwa wanao pia?
Hivi mtoto unaepishana nae saa 11, unahisi kaamshwa saa ngapi uyu?
Tatizo kubwa show off na kufanya mambo kwa kushindana matokeo yake anaumizwa mtoto.Sasa Kama mtu mzima Ni kipengele, inakuaje kwa mwanafunz Tena mtoto wa miaka 4.
Kwanza nafikiria hata huu umri wa watoto kuanza kwenda shule nao urejerewe upya.
Naachoona sikuhz watu wanajipelekea TU watoto shule, Hakuna usimamizi wala Nini.
Tofauti na miaka ya zamani