TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
Tunaendeshwa sana na Mentality.KABISA,
Hapa Inabidi wazazi waingilie Kati.
This is not fair, tunaharibu Watoto wetu kwa kuendekeza upuuzi wa watanionaje Mimi.
Mtu anaishi Tabata anataka kumpeleka Mwanaye shule iko Mbezi Beach, kisa workmates wake wamepeleka watoto wao kule.
Kiufupi kuna ujinga mwingi sana unaendelea kwa habari ya haya mashule na Wazazi tumeupokea kama Mazombie.
Pia kuna hili suala la watoto Wa Madarasa ya mitihani kulazimishwa kukaa Bweni.