Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifika form one anamuandikia headmaster kwamba "mimi shule basi, ni maamuzi yangu sijashawishiwa, ndiyo hivyo sitanii"...Hapo mtoto akifika std 4/5 kashachoka na kuchukia shule.
Mie ndyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WEWE..
Majambazi🤣🤣🤣Inaonekana kabisa Hawa watoto hawalali kabisa,
Maana bila shaka wanaamshwa saa 9 usiku utadhani majambazi[emoji3525]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu ukute wazazi wa watoto husika hawajari wala nn.Kwani mmelazimishwa kupeleka watoto kwenye hizo shule?
Wabongo mnapenda kulalama sana, peleka mtoto shule ya jirani, au ww hamia jirani na shule husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio watoto wanajifunza tabia za uongo mapema na kusingizia kuumwa ili tu wasiamke alfajiri kwenda shuleAkifika form one anamuandikia headmaster kwamba "mimi shule basi, ni maamuzi yangu sijashawishiwa, ndiyo hivyo sitanii"...
[emoji1][emoji1]Maana ake Hawa usikute wameamshwa saa 9 usiku Kama majambazi[emoji848]
Labda wee ukarudie kusoma ulichoandika, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee naona tunaogea vitu viwili tofauti.
Na utajiju sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]🙄🙄🙄🙄
Awamu iliyopita haya mashuleni yalivurugwa sanaa, ninaishi jirani na shule moja binafsi nzuri Sana. Mmiliki alikuwa na plan kufungua shule nyingine ili kupunguza watoto wanaotoka mbali Kuja hapo but alifuta mpango huo.Swala hapa ni kuangalia ni kwanini watoto wanasoma hiyo shule ya mbali, kama sababu ni ubora wa viwango na serikali haiwezi kuvitoa katika shule za kata basi waruhusu wawekezaji waongeze shule ili watoto wasiteseke.
😂😂😂 upoje laknTunakujua hupendi shule..😀
Wanataka watoto wao wapate Elimu bora. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu mzazi unabaki nyumban umerelax kabisa mwanao anateseka na dunia uko[emoji848]
Suala la kuongeza shule Bila kuweka sheria Kali za kuwabana hao wazazi na wamiliki wa hizo shule.Swala hapa ni kuangalia ni kwanini watoto wanasoma hiyo shule ya mbali, kama sababu ni ubora wa viwango na serikali haiwezi kuvitoa katika shule za kata basi waruhusu wawekezaji waongeze shule ili watoto wasiteseke.