cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah wengine wamezidiwa akili na watoto wao kwakweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah wengine wamezidiwa akili na watoto wao kwakweli.
kwamba serikali hua inapeleka ruzuku shule private ?Kero zenu ni ngumu mno kutatuliwa na serikali ya Tanzania..kwanza watoto wanaosoma nje ya shule za umma wamekuwa as if sio priority.hawanaga msemaji, hata NGO's kama HAKI ELIMU au TWAWEZA wanamulika sana dosari wanaziona kwny shule za serikali kuliko za private..solution nyie wazazi wa watoto husika undeni umoja wenu.
Mfumo mbaya wa elimu unaharibu watoto,,, mkuu ukipata pesa mpeleke mtoto international school tena za mtaala wa international Baccalaureate
Mfumo mbaya wa elimu unaharibu watoto,,, mkuu ukipata pesa mpeleke mtoto international school tena za mtaala wa international Baccalaureate
Usisahau kuleta mrejesho mkuuHii maadaa nimeitupia kwenye group langu la WhatsApp la Wazazi na Walimu shuleni kwa wanangu,na mchezo huo nao wanao maana shule yao inaanzia hizo age za 4 na 6! Bado nasikilizia majibu kutoka huko!!
Aisee!Kuna kabila ninalifahamu ni la wapenda elimu, wakijua shule nzuri iko Magomeni na yeye amejenga ghorofa Makongo, atatafuta chumba Magomeni na watoto na mama wataishi pale J3-Ijumaa. Atasamehe ndoa wiki nzima mradi watoto wanapata elimu bora na Ijumaa anakwenda mwenyewe kuwachukua warudi nyumbani.
Nadhani kuna haja labda ya Serikali kushauriwa ili iweze kuja na muongozo wa muda wa masomo wa shule hizi za awali. Pengine labda inabidi wazipangie muda wa watoto hawa kusoma, possibly wawe wanaanza hata saa 3 na kumaliza saa blaa blaa. Hii holela ya muda kila mwenye shule kujiamuria muda wake wa masomo kwa watoto hawa inavuruga, na itakuja kutuletea madhara kwa watoto. Kwa watoto wa rika hili, muda huu wa kuamka kwenda shule unakuwa ni adhabu kubwa mno kwao, na hivyo shule inakuwa adhabu kwao kwa ujumla wake. Mtoto wa rika hili anatakiwa aende shule akiwa amefurahia, na siyo kwenda analia kwa sababu ya kulazimishwa.Imekaaje hii?
Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.
- Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
- Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
- Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
HAIINGII AKILINI KABISA
Na wanaharakati wa haki za binadamu wapo. Akiguswa mwana mama mtu mzima, hapo ndiyo unawaona wanaibuka. Huu ni ukatili kwa watoto, uko sahihi kabisaHuu Ni ukatili[emoji3525]
Ni zaidi ya ukatili Kwa watotoImekaaje hii?
Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.
- Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
- Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
- Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
HAIINGII AKILINI KABISA
Watoto wanateseka sana kwa kweli. Wanapata adhabu kubwa ambayo watu wazima wote waliopo muda huu hawakuwahi kuipata.Halafu kurudi nyumbani mara nyingi ni saa 10 mpaka 12 jioni! Unakuta katoto kamechoka na kusinzia tu kwenye hayo magari yao!
Haya ni zaidi ya mateso aisee kwa watoto.
Kuna mtoto mimi niliwahi kumshuhudia mahali fulani kwa jamaa zangu alikuwa anapenda sana kwenda shule. Walipoamua kumpeleka, baada ya siku kadhaa akawa hataki tena shule. Mimi nilikuwa naishi na kaka yangu mahali nikampa taarifa za mtoto huyu baada ya kuwa nimezisikia wakilalamika kuwa hataki shule wakati mwanzoni alikuwa napenda sana. Nikwamweleza kuwa ANA alikuwa analilia kwenda shule lakini sasa wanalalamika kuwa hataki tena shule. Jamaa hapo hapo akaniuliza swali "wanamwamsha saa ngapi asubuhi"?, nikamjibu. Jamaa akatulia kidogo halafu akaniambia, SIYO SHULE ILIYOMSHINDA. KILICHOMSHINDA NI ULE MUDA WA KUAMKA KWENDA SHULEMimi mtu mzima tu kuniamsha saa 11 alfajiri mara mbili mfululizo ibidi ujipange.
Unless mchana niwe nalala tena.
Hii iko safi sana yaan, ndo inavyotakiwa sasa.Kuna kabila ninalifahamu ni la wapenda elimu, wakijua shule nzuri iko Magomeni na yeye amejenga ghorofa Makongo, atatafuta chumba Magomeni na watoto na mama wataishi pale J3-Ijumaa. Atasamehe ndoa wiki nzima mradi watoto wanapata elimu bora na Ijumaa anakwenda mwenyewe kuwachukua warudi nyumbani.
Mimi kabla sijaanza darasa la kwanza nilikuwa najua kusoma na kuandika vizuri kabisaTwende mbele turudi nyuma jamani!
Hivi mtoto wako wa miaka mitatu/minne (chekechea )unashindwa kumfundisha mwenyewe nyumbani?!
Mimi nilifundishwa nyumbani na mama tena huko kijijini nilipoanza la kwanza na waliosoma chekechea nikaongozea mbona?!!
Ujinga ni wa wazazi wa leo, acha waliwe mipesa na kutesa watoto wao kwa pesa zao wenyewe[emoji3525]