Wewe akili yako inakuambia amekuibia???
Kuanza kumpangia mtu cha kuvaa kisa ni kiongozi wako huo ni ujinga
Tafuta hela stress ni ugonjwa wa wazungu
Wewe kinachokusumbua ni njaa,tamaa na wivuuu
Inaonekana bado hauzijui saa [emoji849]Kuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Nyerere mzungumzie kwenye ukombozi wa Africa, ila kwenye uchumi na kitu chochote kinachohusu pesa mtoe,Kwa hiyo saa yake ina thamani sawa na saa ya Floyd Mayweather? hapo ndo utaona tofauti ya Nyerere na hawa waliomfuatia, hivi hata kama umepewa zawadi kuna jambo utawakatalia kuhusu rasilimali za nchi?
Hawana hata ile hisia watanzania wengi wanaowaongoza wamejaa umaskini kiasi kwamba kupata tu yale mahitaji muhimu kama chakula, matibabu ni mtihani.....
Stress ni ugonjwa wa Wazungu π π !Wewe akili yako inakuambia amekuibia???
Kuanza kumpangia mtu cha kuvaa kisa ni kiongozi wako huo ni ujinga
Tafuta hela stress ni ugonjwa wa wazungu
Wewe kinachokusumbua ni njaa,tamaa na wivuuu
ππππ Kwamba raisi atoe kipato chake kusolve shida za taifa π€ππππHuna akili, kiongozi lazima uwe mfano halisi........unaishi vipi kifahari wakati asilimia kubwa ya unaowaongoza ni maskini wa kutupwa, hiyo milioni 112 haiwezi kununua jenereta tukawasha umeme hapa watoto wakapata mwanga wa kusomea? maisha ya kifahari waishi matajiri, siyo kiongozi wa umma tena kwenye nchi maskini.
Ni kweli sizijui, na sijasema kama nazijua Mkuu.Inaonekana bado hauzijui saa [emoji849]
Nyerere was a failure as president ndo mana akalazimika kujiuzulu, so usipende sana kumtumia kama mfano wa uongoziAkili ya punguani ndo inaweza kuwaza hivi, kwa mtu ambaye ni kiongozi kutoka moyoni mfano wa Nyerere nafsi lazima ikusute kutokana na ugumu wa maisha wa wananchi unaowaongoza, unakuwaje confident kuongoza nchi iliyo gizani kwa kukosa umeme na bado ukaendelea kutupia vitu vya gaharama!?
Kuna vitu vingine vinasimama kama alama ya ukwasiKuna uhakika gani kama ndio yenyewe jamani? Labda mama is faking till she makes it je?
Ila mimi sijui hizo saa watu huwa wanazipendea nini? Niache kuvaa apple smart nivae mshale dunia hii ya sasa? Na uwezo upo?
Unajua maana ya kuwa kiongozi, hujielewi mzee.....kama kiongozi siwezi kununua saa hata ya milioni moja ikiwa kuna wananchi wangu wanajifungulia juu ya sakafu.ππππ Kwamba raisi atoe kipato chake kusolve shida za taifa π€ππππ
Kwa akiili hizi Chadema hamtaongoza nchi ππ
Failure kwa sababu hakuwa fisadi kama mlivyo nyie?Nyerere was a failure as president ndo mana akalazimika kujiuzulu, so usipende sana kumtumia kama mfano wa uongozi
π€£π€£π€£π€£ nmekueditia kwenye comment yangu .Ni kweli sizijui, na sijasema kama nazijua Mkuu.
Nipe hiyo elimu ya saa tafadhali.
Haya mambo wanawake mnayafahamu vizuri sana. Na mnateteana sana nimependa ulivyomtetea mwenzio. Nimemaliza.Tafuta hela na wewe ununue sio kutwa kujadili wake za watu, je kama amenunuliwa na mme wake?
Ila wadada weupe vibonge flani iv huwa wanapendezea smart watches sana[emoji16]Ni kweli sizijui, na sijasema kama nazijua Mkuu.
Nipe hiyo elimu ya saa tafadhali.
Huwa wanajaribu kupata furaha ya moyoni ambayo huwa ni ngumu sana kuipata katika maisha !Akili ya punguani ndo inaweza kuwaza hivi, kwa mtu ambaye ni kiongozi kutoka moyoni mfano wa Nyerere nafsi lazima ikusute kutokana na ugumu wa maisha wa wananchi unaowaongoza, unakuwaje confident kuongoza nchi iliyo gizani kwa kukosa umeme na bado ukaendelea kutupia vitu vya gaharama!?
Nlimwambia mimi kuwa wanawake watakuvamia kwenye huu uzi mpaka uukimbie. Na leo mumchambe sana. Anataka msiwe mnapewa hata zawadi.Mtoa mada ni mtu mpumbavu sana na hana akili, siku zote tunam judge mtu na kile alichonacho kwa nguvu ya mshahara wake!, wangapi mitaani wanatembelea amarok, au volkwagen za milioni 150, kila kitu judge kwa kupimia na mshahara wa muhusika, sasa ujinga ni kila kitu alichonacho kiongozi unaki translate kwenye madawati, shule, inamaana ipo siku utafikia kusema kiatu chake kinatosha kujengea choo cha shule! πππ
Cdm sijui wanatumiaga akili gani.
Zama za nyerere sio zama hizi kila mtu ana kamera shensi wahedi.Nyerere alikuwa na mwonekano gani zaidi ya marais wenzake, unadhani huyu anaheshimika sana kimataifa zaidi ya Nyerere, acha kushabikia uzuzu.
Ukitawaliwa na roho ya kishetani hauwezi ku-feel guilty consciousness, roho inakuwa ngumu haswaa.Huwa wanajaribu kupata furaha ya moyoni ambayo huwa ni ngumu sana kuipata katika maisha !
Hata ukiiba kura ujue adhabu ya kukosa furaha maisha yako yote inakuhusu π π !
Maana hiyo pia ni dhulma kama dhulma nyingine yeyote ile ππ
Chonde chonde tuwe waadilifu ili tusikose furaha ya moyoni πππ
Hizi ni zama za kujipimia kwa urefu wa kamba, siyo bibie.......umeeleweka barabaraZama za nyerere sio zama hizi kila mtu ana kamera shensi wahedi.
Ndio shoooHizi ni zama za kujipimia kwa urefu wa kamba, siyo bibie.......umeeleweka barabara