once X is always X.....Watu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Kuna viporo vingine unakuta Vimechacha Mjukuu, yaani haviliki hata uvitie iriki [emoji2957]
Bahati nzuri Babu yenu nimezeeka sasa, kwahiyo sina ubavu wa kuonja onja sana 🤪Kiporo ni kiporo tu!! Me kula vitu vilivyolala big nooooo!! Kwanza viporo vinaleta uvivu na kusinzia [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Babu achana na viporo
Namba ya X ya nn? Nlishafuta na nimezisahau [emoji3].Yaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Acha wazinzi waendelee na uzinzi,hakunaga hiyo unataka kusema ukimkuta mumeo anaendeleza mawasiliano na ex's wake utaona ni sawa akikupa sababu hiyo ya urafiki tu?
Binafsi Ke akishakuwa anaendeleza mawasiliano na ex wake nampiga chini chaaaap. Urafiki kuwa wapenzi n rahisi ila ni ngumu sana mapenzi kuwa urafiki.
Wachache sana hao🤗ohooo! wa5 sio nyingi 😂
MadaOyaa unakazia nini
Inategemea mmetengana kwa style gani ndipo kunaweza KUPELEKEA usifute namba yake lkn kama mmeachana kwa ubaya unafuta tuWatu wanaachana lkn namba hawafuti. Unajua ni kwann?
Kwasabb ni suala la muda tu ipo siku watatafutana.
Nami nakushauri kamwe usifute namba ya ex wako. Ipo siku atakufaa kwa matumizi ya dharura .
Kuna watu hawajui kuacha/kuachwaNamba ya X ya nn? Nlishafuta na nimezisahau [emoji3].
Akipiga anakumbana na maswali lukuki.
🤣🤣🤣Kuliko x Bora Y yakujiuza barabarani au baa 😳😳😳
Nakazia.Kuachana siyo uadui, na hata ukifuta namba haimaanishi umefuta kumbukumbu ya sehemu ya maisha yako kuwa uliwahi kuwa nae. Atakufaa mbeleni kwa namna moja ama nyingine. Hakuna uadui wa kudumu. Sisi ni pipo tutakutana.
Wakikujibu nitagHivi haiwezekani kushirikiana na x ktk mambo mwengine tofauti na kwenda naye faragha?
Hili linawaponza sana watoto wa kike maana mnacha mkiwa hampo ktk utayaari mnafanya kwenda kuanzisha mausiano mapya ili kutoa hasira ya jambo lakoYaani umeachana na mpenzi wako miezi 12, miaka 2 au 5 then ukikutana naye unataka muendelee mlipoishia serious?
Kwa Dunia hii yenye watu wanakula samaki kwa geuza?
Labda kama mna hamu ya kuingizwa kwenye grid ya Taifa.
Kama ulisha move-on kwanini usitulie na huyo uliyenaye?
Sahihi kabisa, lakini jambo la kukumbuka ni kuwa wakisha uvaa huko nje atakutafuta exy wake akupe.Hili linawaponza sana watoto wa kike maana mnacha mkiwa hampo ktk utayaari mnafanya kwenda kuanzisha mausiano mapya ili kutoa hasira ya jambo lako
Bahati nzuri Babu yenu nimezeeka sasa, kwahiyo sina ubavu wa kuonja onja sana [emoji2957]
Binafsi siwezi nikiacha nmeacha sirudi nyumaSahihi kabisa, lakini jambo la kukumbuka ni kuwa wakisha uvaa huko nje atakutafuta exy wake akupe.
Nawe ukiwa mwepesi, ndiyo safari inaanzia hapo 🤪
Kamalize uzee na bibi hizi mmbo tuachie vijana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] babu sema kweli??