Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
asante! ni mambo ya kujitahidi tuhKama hivyo sawa...inaonekana uko na true love, homgera sana🤗🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante! ni mambo ya kujitahidi tuhKama hivyo sawa...inaonekana uko na true love, homgera sana🤗🤗
Kwakweli na mimi wacha nijitahidi na sisi tuwe kama wewe na aunty 🤗🤗asante! ni mambo ya kujitahidi tuh
inshalah..kando ya yote nimependa avatar yakoKwakweli na mimi wacha nijitahidi na sisi tuwe kama wewe na aunty 🤗🤗
Thank you uncle🤗🤗...ni vile viatu ulivyoninunulia xmas umesahau 😃😉inshalah..kando ya yote nimependa avatar yako
aloH! vimekuka vizuri sana,siunajua na uzee tena nilisahau leejaya49Thank you uncle🤗🤗...ni vile viatu ulivyoninunulia xmas umesahau 😃😉
Basi ndo hivyo nimekukumbisha🤗🤗aloH! vimekuka vizuri sana,siunajua na uzee tena nilisahau leejaya49
jambo jema sana nafurahi tumejuliana hali kidogo...wacha nikawanyoshe jamaa wa chadema kidogo siunajua tena bila kuwagongagonga vichwa akili aziwakai sawaBasi ndo hivyo nimekukumbisha🤗🤗
Sawa uncle..me bado niko hapa nausubiri usingizijambo jema sana nafurahi tumejuliana hali kidogo...wacha nikawanyoshe jamaa wa chadema kidogo siunajua tena bila kuwagongagonga vichwa akili aziwakai sawa
Weee acha hizooo kweli hujui???Uduguu ndio nini ?
Na wiki iliyopita nilipita hospitali moja hapa Mbeya,mmmmh wachukua vidonge wamenona kinoma,ukikutana nao,maeneo ya Mwanjelwa,unaweza ukaomba namba,sasa awe ex wa mtu,wale wa kukumbushia,lazima walane kavukavu.watu wanaachana wakiwa salama hawana magonjwa ya kuambikizwa, wanaenda kuanzisha mahusiano na wengine wenye tabia tofauti kuhusu mahusiano ya kimapenzi wanaishia kuambukizwa maradhi na wapenzi wao wapya. Unakutana na ex halafu unataka upewe penzi ukidhani mwenzio ni salama tangu muachene kumbe mmoja tayari ana maambukizi
sasa 50 si ufungue kituo upige hela 😂Kuanzia 50 hivi na kuendelea
😁😁😁Ukute Kaona wee ndio kimbilio la wakosefu😊🙌🙌!!
Apambane na magonjwa yake tu Hakuna namna!!
hatari sana! Unakutana na ex kajazia mwili mzima kanona unamtamani mkapashe kiporo ukijua huo unene ni wa lishe tu huko alikopata maisha mapya kumbe kaungua usipochukua kinga na tahadhari anakuambikiza gridi, inakuwa balaa tupu kuunganishwa kwenye gridi na ex wakati mliachana mkiwa wazima wa afyaNa wiki iliyopita nilipita hospitali moja hapa Mbeya,mmmmh wachukua vidonge wamenona kinoma,ukikutana nao,maeneo ya Mwanjelwa,unaweza ukaomba namba,sasa awe ex wa mtu,wale wa kukumbushia,lazima walane kavukavu.
Kuchepuka ni siri ya mtu.Wewe ambaye uko nae kwenye mahusiano,maranyingi hamuwi watu wa kwanza kujua kua mtu wako anachepuka.Ni kweli huwezi kushindana na Mbususu kama unavyosema lakini Ukifanikiwa kumfikisha kileleni, kuna asilimia kadhaa huyo Mpenzi wako kutochepuka.
Mwanamke anachekupa kwasababu mbili ama tatu;
Jaribu kumpatia hivyo hutakaa uone anachepuka.
- Kutofikishwa
- Pesa
- Muda wako
Uwauze kwa dp wedi au😂sasa 50 si ufungue kituo upige hela 😂
ikiwezekana au wauze ukraine wakapigane vitaUwauze kwa dp wedi au😂
Ubaya mwingine ni wa heri chief ivi mfano umewekewa vitu ktk chakula umekula Vika kudhuru umetibiwa umepona we unaweza kuendelea ma huyo mtuKila kwenye kuachana Kuna ubaya. Bila kuwepo ubaya mnawezaje kuachana
Kwanini Kati wasukuma ndio zenu milenderMibamia situmii