Sababu zipi zinapelekea wanawake wahehe na wabena kusifika kuwa wife material?

🤔🤔Kumbee!?

Una experienc nao kabixa mkuu ..yaan kuigiza tu wako vzur..alikuwa anajifanya ni mwema wakt tupo mpk Karbia nmuulizd uncle swal la kishenz kwamba huyu malaika ulimtolea wapi?....ila dogo langu lilokuwa linajiandaa kwenda chuo likamtembelea...kukaa tu week Moja ndo akabainisha kuwa ile nyumban haina wema wwte ila ni kama tu jehanamu...kwanza alianza kumtokea usiku kama mzimu....dogo akishtuka anamwambia ukimwambia yeyote ulichokiona hutoishi...siku iliyofuata tu dogo ikqbid akimbie tu mapema maana hali ilikuwa c poa kwny ile nyumban..uncle kumbe nae alikuwa anapelekeshwa ila akiwa na sisi utaona wanafurahi pamoja
 
Karibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…