Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Tuondoke wote mkuu bongo nyoso, nilipofikia hapa inatosha nikipata kampani nasepa aisee, get rich or die trying..
 
... marehemu (mola amrehemu) Magu wanampenda sana tena mno kule.
Kumbe huyu mzee ni tatizo kwetu kwa kumuangalia kama mtu flani mbadi sana!.

Although inafahamika nabii huwa hakubariki eneo analotoka!.
 
Kumbe huyu mzee ni tatizo kwetu kwa kumuangalia kama mtu flani mbadi sana!.

Although inafahamika nabii huwa hakubariki eneo analotoka!.
HIyo spirit tayari magu keshatuambukiza nchi nzima sina Shaka na tawala zijazo naamini zitafanya zaidi ya Mzee, rip magufuli.
 
Hivi ni kweli jamaa ameingia mitini mpaka sasa...
 
Chizi Maarifa ataaibika sana maana alimsifia sana huyu jamaa na jamaa ndo kawa hvyo tena

Kuandika sio mchezo,unazan ni kama kumeza mate,nazan sasa mnaelewa anachokipitia Umughaka
Mimi nimeandika sana. Nlishaenda Congo kutafuta pesa za kiganga. Ila jamaa amepitia hard time sana. Mimi nliondokea Kigoma. Ni masuala tu ya kuamua mtu unaandika unamaliza. So naelewa na nimeishi kwenye kuandika. Kama naandika reports za pages 300 mpaka 400 itakuwa hapa JF?
 
Very intersting
 
Nimekumbuka kumbe wewe ndo uliandika ile ya kuzama chini ya ziwa tanganyika!?
 
Sawa vizur,ulikuwa unatiririka vizur ila nahis mwshon ulitupeleka telegram afu simu yangu ikanizingua nkashindwa kufika huko telegram
Sijawahi mpeleka mtu telegram huwa sina biashara hizo za kipuuzi. Mimi nina pesa za kunitosha siwezi watoza watu tushilling twao. Nioneshe tu sehemu ambayo nlisema mtu anifuate telegram. Niombe ban ya mwezi mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…