Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Mkuu maneno meeengiiiii sijui iam deeply sorry, yaani unaaanzaa mbali kwa uwoga. Si umuambie tuuu. Sijui awahamisha ndugu zake sijui congo siyo safe. Muambiee tuu acha uwoga wewe ni mwanaume bana.
Nimecheka Sana jamaa yangu, huu ujumbe nimeuwekea sauti flani hivi ya kibabe
 
dah
 
Usifikiri huwa wanataka mazoea kirahisi rahisi ukikutana nao kuna mawili au manne utoke salama, utoke na ulemavu, wakuunganishe uwe Askari wao au wakuue mambo siyo rahisi kama kwenye movie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…