Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Umenielewa vibaya huyo ni bosi wangu bhana Bantu LadyMkuu maneno meeengiiiii. Si umuambie tuuu. Sijui awahamisha ndugu zake sijui congo siyo safe. Muambiee tuu acha uwoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenielewa vibaya huyo ni bosi wangu bhana Bantu LadyMkuu maneno meeengiiiii. Si umuambie tuuu. Sijui awahamisha ndugu zake sijui congo siyo safe. Muambiee tuu acha uwoga.
Mama yangu amefariki 2021. Wamekulia hapo Kasanga ziwa Tanganyika, na hapa Dar.Ila usiniambie mama yako yupo kule??, Kama kweli inabidi tumfate. No matter what the cost is my Bantu Lady
Acha uwoga banaaUmenielewa vibaya huyo ni bosi wangu bhana Bantu Lady
Pole Sana, ila mwaka 2021 ulikuwa na maumivu kwa baadhi yetu. My first dad alifariki mwaka huo huo.Mama yangu amefariki 2021. Wamekulia hapo Kasanga ziwa Tanganyika, na hapa Dar.
Hao ndugu waliobaki huko, ni wale wa vizazi na vizazi. Wengi wako hapo Kasanga. Asante kwa kujali Intelligent businessman 🙏
Nimecheka Sana jamaa yangu, huu ujumbe nimeuwekea sauti flani hivi ya kibabeMkuu maneno meeengiiiii sijui iam deeply sorry, yaani unaaanzaa mbali kwa uwoga. Si umuambie tuuu. Sijui awahamisha ndugu zake sijui congo siyo safe. Muambiee tuu acha uwoga wewe ni mwanaume bana.
My boss Bantu Lady, una maoni gani ??, Kuhusiana na ujumbe wa kijana huyuAcha uwoga banaa
Natania tuNimecheka Sana jamaa yangu, huu ujumbe nimeuwekea sauti flani hivi ya kibabe
Haya nimekuelewa kamanda, nitamuoa kabisa ndotoni my boss Bantu LadyNatania tu
dahHakuna mwanaume rijali anaweza andika maneno kama haya. Huyu ni shoga anataka kuja tangaza biashara yake na kuchafua uzi wa wanaume. Hawa watu siku hizi kila sehemu wanajitokeza na kuanza kutangaza biashara zao.
Kaa mbali sisi hapa tunapata stories za ki hustler siyo hizo zako za kutaka uchanjwe njia ya haja kubwa. Tunaelewa unaposema uchanjwe.... Humu tunapambana halafu tunaenda kula mademu wakali siyo mashoga wachafu nyie. Faggots.stay away from this thread.
Usifikiri huwa wanataka mazoea kirahisi rahisi ukikutana nao kuna mawili au manne utoke salama, utoke na ulemavu, wakuunganishe uwe Askari wao au wakuue mambo siyo rahisi kama kwenye movieVery interesting story..... Bila ya mwendelezo.
Nina mpango wa kuitembelea Congo hasa Yale maeneo ya Kivu kusini au Goma kwa ujumla, mpaka sasa naendelea kukusanya taharifa za kiintelejensia kuhusu ayo maeneo, ingawa naambiwa kuna watu makatili sana lkn Mimi uwa napenda sana awo watu makatili kwa maana ndiyo watu ambao ukiibahatika kuzoeana nao wakakubali basi utakuwa unaweza kutimiza lengo lako kiuraisi sana,Congo ni taiga ambalo limejaa rasilimali kibao unaambiwa kuna maeneo nyumba zimekandikiwa udongo wa dhaabu ukiweka Mashine kwenye kuta zao ngoma inasoma PPM za kutosha, na kwa wale wazee wa Carbon uko ndo balaa unaambiwa mkamuo moja tu wa tani moja ya Carbon unaweza toka na 1.5 kg ya gold...unaambiwa mzigo upo wa kutosha.
Vijana tupunguze uoga, twende tukapambane....
Je waliupata au waliukozaBaada ya kuisoma hii story sasa ndo nimejua kwa nini christian bella, nyoshi el saadat, papy kabamba shishimbi walikuwa wanautaka uraia wa Tanzania
Picha zipo page ya kwanza mie nilifanya uungwana kuicopy kule na kuipaste kwenye kurasa zinazoendelea ili watu waisome vinginevyo mleta mada angekuwa ashatukanwa sanaMkuu Mbona picha hazifunguki?
Endeleza hisani, ukitupiawa mwengine mkuuPicha zipo page ya kwanza mie nilifanya uungwana kuicopy kule na kuipaste kwenye kurasa zinazoendelea ili watu waisome vinginevyo mleta mada angekuwa ashatukanwa sana
Kuna kigoma mkuuSisi tunazunguzmia Kongo ya goma ambayo IPO mkabala na Rwanda na ndipo kwenye machafuko Hadi uvira na kitshanga huko.
Kongo ya lubumbashi ni Kama ya Kinshasa haina machafuko Sanaa..
Zingatia.
Njia za Kongo zipo 2.
1)Goma kupitia Rwanda
2) Lubumbashi kupitia Zambia