Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

Safari ya 337.. Anaanza ziara ya kikazi nchini Kenya.. Mungu atupe nini tena..?
 
jamani aje hatagangilonga iringa kuna jiwe kubwa kuhamasisha utalii wa nadni.jk go
 
ha ha cio mbaya watanzania tunatakiwa tujulikane kila kona ya nje ya nchi mwacheni rais wetu aweke heshma kwa kusafiri bwana
 
Huyo jamaa huwa hapendi kushauriwa ndio tatizo. Ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Akimaliza Urais sidhani kama atafikisha tena hizo safari.

Akishamaliza muda wake, Atakuwa amemaliza kutembelea sehemu zote muhimu duniani...
 
Katika viongoz wanaokera huyu jamaa anaongoza kwa safar ambazo hazina kichwa wala miguu
 
Katika viongoz wanaokera huyu jamaa anaongoza kwa safar ambazo hazina kichwa wala miguu
Aliwahi kulalama etu watu wanalaumu anasafiri sana akahoji, watanzania wanataka tukae wote hapa bongo tule mihogo!
 
Kuna jamaa tayari ametaarifu jukwaa kwamba leo hii mkuu amegonga safari ya 337.

Kama taarifa hizi ni sahihi basi inamaana kiongozi huyu wa taifa letu masikini, lenye msingi wa kodi ya kuungaunga, atakua amebakisha safari nyingine kama 29 tu ili awe ametimiza mwaka mzima mawinguni.
 
Duh safari 337!!!I like Vasco da Gama, at least he is good at something!!
 
Hebu fikiri ikiwa kila safari kwa uchache imetumia mil 15x313=4,695,000,000/-

Uhakika ni kuwa safari anayotumia kiasi kidogo ni mil.56 (Sumaye alizitumia kutoka Dar kwenda Mombasa kupitia Tanga kwa siku mbili) na alikuwa PM kwa huyu ambaye ni President labda anatumia wastani wa mil. 80 kwa siku si kwa safari moja na kwahiyo badala ya kukokotoa safari anazosafiri tukokotoe siku anazokaa katika ziara na kila siku ni 80 mil.

Kwa hesabu ya kawaida labda kila safari ni wastani wa siku 4, moja kusafiri, pili kupumzika maana ni mgonjwa tatu business na nne kurudi nyumbani maana atapumzikia Magogoni utapata hesabu hii. 313x4 x 80 = 100,160,000,000.

Trilioni mia moja sawa na bajeti ya Tz ya miaka 10 kwa hiyo ndiyo maana tunabaki maskini maana bajeti yote ni katika safari za Mr. Mwigulu (nadhani naye ni akina Kiona umela wa kule kwa akina bibi Kiroboto). Maana tunapanga bajeti ya wastani wa trilioni 10 na mheshimiwa anatumia hizo hizo ni sawa na ZERO tu.
 
kule kwao wamezoea kucheza ngoma kila kukicha, sasa kama ngoma hakuna afanyeje, wakati miguu inamuwasha! By the way, who cares we don need him, even a monkey from the jungle can lead that country.
 
Hakika hadi amalize kipindi chake cha Uraisi atakuwa kaweka Record ya Dunia.... kusafiri siku zaidi ya 365 angani

Swali Nauliza nchi gani ambazo bado hajatembelea Tumkumbushie aende! Nahisi Nchi kama Nauru,Kiribati na Fiji bado Hajafika
 
Jason bourne naomba uiorodheshe hii Safari ya 336 ya Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete

 


313x4x80Ml = 100bl+
Na sio 100tilioni ka ulivyoitamka
 
Leo rais yupo Canada, akiendelea na ziara yake inayo fika siku ya 4 sasa
 
taarifa ina maelezo mengi yasiyo na maana yoyote. Tarehe ya kurudi imeonyeshwa? Hamuwezi kumshauri awe na safari za kimkakati badala ya mialiko tu, parties na birthdays?Taarifa inaweza kuboreshwa kuonyesha ni safari ya ngapi nje ya Nchi ili wananchi wasipotoshwe kwa kuona mkulu anasafiri sana?
Mwisho, malengo ya mkukuta yanamuhusu? Wingi wa safari a gharama, anatekeleza lengo lipi? Naomba taarifa iboreshwe, kujumuisha haya.
 

Nafikiri hesabu yako ingekutupa mwanga kama ungehesabu idadi ya siku ambazo Mheshimiwa Rais anakuwa hayuko nchini kutokana na hizi safari 337. Mfano chukulia kila safari ni siku 5, basi ni jumla ya siku 1,685 hayuko nchini yaani miaka 4.6 au 65.9 % ya muda wake wa miaka 7 madarakani, ni makisio tu!!!!
[TABLE="width: 64"]
[TR]
[TD="width: 64, align: right"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Jamani mi naogopa kuunguzwa (ban), nimekasirika na nikiwa hivi huwa sina nidhamu so sichangii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…