Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye Idadi ya safari za sasa akiwa mstaafu atuwekee nahiyo rekodi pia.Huyo jamaa huwa hapendi kushauriwa ndio tatizo. Ila kila lenye mwanzo lina mwisho. Akimaliza Urais sidhani kama atafikisha tena hizo safari.
Ukipata jawabu, unitagMwenye Idadi ya safari za sasa akiwa mstaafu atuwekee nahiyo rekodi pia.
Usijali ngoja tusubiri watunza data wazilete hapaUkipata jawabu, unitag
Nami nina haku sana kujua hilo!Mwenye Idadi ya safari za sasa akiwa mstaafu atuwekee nahiyo rekodi pia.
HatariAlafu akiulizwa mbona nchi yake maskini anashindwa kujua umaskini wa wananchi wake/taifa watokana na nini, huu ni upuuzi wanaotufanyia wanyonge kwa kweli
Hivi unafikiri ile project ya SGR trillion 7 ni ndogo? bado hapo tunaenda RufijiPamoja na JK kupiga safari 427 za nje ya nchi katika utawala wake ambapo gharama yake ni kubwa mno.
Kulikuwa na wafanyakazi hewa.
Walimu waliajiriwa kila mwaka na watumishi kupandishwa madaraja.
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ilikuwa sio haba ukilinganisha sasa.
Wizi mkubwa wa mali za umma ulitokea ikiwemo ESCROW.
Hela alizitoa wapi???
Mbona hali ni tofauti na sasa awamu hii ya Jiwe????
Tanzania toka lini tukawa na nguvu ya umma?Sasa hapo Upige Mahesabu ya kuwa amelala nje 3 days katika kila nchi itakaribia 3yrs hapo bado hajafika 2015 huyu , Mi naomba wala tusifike nae 2015. Kabla ya Kufika huko akutane na Nguvu ya Umma akimbilie Saudi Arabia
Ndo maana bajeti za JK miradi ya maendeleo ilikuwa ni shida. Yeye ni mishahara na bata. JK ametuachia nini cha kujivunia? Sema mambo matano ya kujivunia aliyoyaacha JKPamoja na JK kupiga safari 427 za nje ya nchi katika utawala wake ambapo gharama yake ni kubwa mno.
Kulikuwa na wafanyakazi hewa.
Walimu waliajiriwa kila mwaka na watumishi kupandishwa madaraja.
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ilikuwa sio haba ukilinganisha sasa.
Wizi mkubwa wa mali za umma ulitokea ikiwemo ESCROW.
Hela alizitoa wapi???
Mbona hali ni tofauti na sasa awamu hii ya Jiwe????
Wewe ndiye kila kukicha mnaanzisha mada za uchumi na kubana matumizi, leo unaponda shubamit 😬!Bora huyu aliyekuwa anasafiri kuliko mbana matumizi.