Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Hao walioonyesha kuwa kuna kansa inaongoza ndio waliosema mji unakua kwa kasi.
unataka fact ipi?
Basi utakuwa msandawe
 
safi mkuu hata mimi nilipita ngarenaro sikuamini
barabara zote lami za kisasa wamejengewa na uwanja mzuri wa michezo
Kwa hili nawapa kongole jiji la Arusha



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…