Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
[emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji24][emoji1544]Hakuna damu itakayomwagika kwenye nchi hii...tulieni muuzwe kwa step..
Boss Mshana,tupe mtizamo wako kuhusu ishu hii ya DP World,je,kuna manufaa kweli kwenye ule mkataba? (Naamini wewe ni mzalendo hivyo huwezi kuongopa).Cancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!
Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!
Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi
Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo
Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe
Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee
Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hiyo ishu ya uwekezaji inaenda kugusa maslahi ya watu moja kwa moja ndomana unaona wana zoza wenyewe kwa wenyeweShida kubwa zaidi walishatoa na kishika uchumba na kilishapokelewa na kuliwa chote
Sent using Jamii Forums mobile app
SERIKALI imeagiza vyombo vishungulike kikamilifu na Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na Wakili huyo kudaiwa kutoa matamshi yanayohatarisha amani nchini.Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu
....Akili, Matope, ndugu yangu ? Wewe ni Mtanganyika au Muarabu ?Wewe mtu wa Same unahoji kuhusu Bandari na wazaramo wahoji nini au yale mamilima yenu yasiyo na faida? Mshamba mmoja unahoji bandari ambayo hujawahi hata kuitumia. Hiki kimbelembele unakipata wapi hasa.
Hakuna manufaa ya taifa kuna manufaa ya watu binafsiBoss Mshana,tupe mtizamo wako kuhusu ishu hii ya DP World,je,kuna manufaa kweli kwenye ule mkataba? (Naamini wewe ni mzalendo hivyo huwezi kuongopa).
...Kwani Vita ya Wenyewe Kwa Wenyewe inaanzaje Kwa Wengine ? Wanaenda ? Rwanda Walipenda ? SI Ujinga huu huu wa Watu kufanya Wenzako Wajinga, na Vyombo vya Habari vikapepea moto ? Sisi nani yasitukute ? [emoji35]we ndiyo umetishika, nani wa kumwaga damu? acheni stori za kitotot
Inafanyiaje maon wakati mkataba hawajaurudisha bungenselikali ishasema itayafanyia kazi maoni ya watu. ila wanatokea watu wanaendelea kueneza chuki. mimi nasema watangulizwe tu. bora wachache wafe ili wengi wabaki salama ukizingatia wengine wanaochochea vurugu familia zao wana uraia wa marekani.
It is well with thee...Simama na haki na Mungu atakuwa pamoja na kila aliye upande wa HAKICancer inapojitokeza mguuni ujue ilishasambaa sehemu kubwa ya huo mguu .. Mtu anapoumwa malaria huo ni mchakato wa zaidi ya wiki tangu siku alipoumwa na umbu mwenye vimelea!
Sakata la bandari zetu na Dpw sio la jana wala la juzi lina zaidi ya mwaka! Limekuja kuwa wazi baada ya hatua za utekelezaji kuanza ndio wananchi wameanza kujua yaliyomo yamo na kuleta taharuki kubwa!
Ukiachana na sisi keyboard warriors huku mitandaoni kuna waliotuzidi uthubutu na kuondoa woga na kuamua kuhoji waziwazi kinachoendelea na hata kutoa wayforward wa nini kifanyike kulinusuru taifa na hili zimwi
Hawa sasa ndio wamezidisha taharuki huko mamlakani kwakuwa sasa kadiri siku zinavyosonga wananchi wameanza kuwaelewa na kuendelea kuwapa uungaji mkono mkubwa!
Ni wazi sasa uvumilivu unawaishia kwa kasi ya kimondo washika dau wasiojitokeza waziwazi kwenye hili sakata na badala yake wameanza kuwatisha wale wote wanaolishikia bango kwa uwazi hili jambo
Hivi si vitisho vya kupuuza bali ni vitisho vyenye ujumbe wa kuogofya ili litakapitimia wengine waufyate, wakae kimya!
Kuanzia kesho hali inaweza kuwa ngumu sana kwa pande zote mbili.. Kwa wanaohoji wenye uungwaji mkono na wananchi na waotaka hili jambo litimie.. Ni ngumu kutabiri lakini inaweza kudondoshwa roho moja na ikazaa mlipuko mkubwa ama inaweza kudondoshwa roho moja na kukatokea makosa fulani yatakayosababisha hata wahusika wageukane wenyewe kwa wenyewe
Haya yakitokea ili kuzima kama ni uasi ama kunyamazishana ama kuadabishana kuna nguvu za ziada zinaweza kutumika na kusababisha umwagaji wa damu.. Hili si jambo la kuombea hata kidogo lakini bado kuna upande una nafasi kubwa wa kulifanya hili lisitokee
Tuzidi kuliombea taifa na kuwaombea wote wenye mapenzi mema na Tanganyika yetu...[emoji1545]View attachment 2682900
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina!hakuna damu itakayomwagika
Na kimaendeleo piaAmani tuliyonayo tunaitumia vibaya sana,imetulemaza kifikra na kimatendo.
Tuko pamoja mkuumimi niko tiyari kutoa damu yangu...Bandari ibaki salama.
Aaaaameeen[emoji419][emoji375]mimi niko tiyari kutoa damu yangu...Bandari ibaki salama.
Aamen[emoji419][emoji375]It is well with thee...Simama na haki na Mungu atakuwa pamoja na kila aliye upande wa HAKI