Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Mimi naona wewe una conflict of interest dhidi za mfalme zumaridi..kwakuona makanisa haya ya watu binafsi yanapata waumini wengi na wewe ulio kwenye mfumo ya makanisa ya wazungu unakosa sadaka kili uchwao hali inakua ngumu kwa kukimbiwa na waumini..ndio mana una hasira dhini ya makanisa binafsi.

Watu wameona ni wale wale wapigaji tu ila mfumo unatofautinana..bora huku watapata miujiza kuliko kwenye matumaini hewa ya kuambiwa toa sadaka usali sana utafanikiwa huku ninyi mkineemeka na kuneemesha makanisa ya wazungu kupitia mifumo yao.

Acha waswahili wafungue makanisa mengi zaidi tutajirishane humu humu ndani..kama inakuuma sana join nao kama huwezi kaa kimya..mana na wewe ni zombi kwa namna yako.

Usimpige mawe mbwa aliyekuja kwenye sherehe huenda alichokifuata na wewe ndicho ulichokifuata.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu mnajua kulalamika/kutetea hata visivyostahili
 
Ni Sawa tu, unaweza je kuwa mfalme kwenye nchi yenye Rais? Pumbavu kabisa
 
Kwani hao watu 149 walikuwa kwenye nyumba ya ibada? If not; hauwezi kuwalinganisha na Mwamposa au Wakatoliki wanaokuwa sehemu rasmi ya ibada.
Nyumba ya ibada ipoje.
Vipi wakatoliki wanaokusanyika nyumbani kwa muumini kusali ibada za jumuiya wanaomba wapi kibali.
 
Kinachotutesa watanzania ni chuki binafsi . Kama sheria zipo kwanini zisifuatwe katika ukamataji.
 
L & R ni matokeo ya elimu yetu na wengne ni matokea ya jamii na sehemu tumetoka
 
Nyumba ya ibada ipoje.
Vipi wakatoliki wanaokusanyika nyumbani kwa muumini kusali ibada za jumuiya wanaomba wapi kibali.
Kuna tofauti ya kukusanyika na kuishi. Kila Mkatoliki anaishi kwake, na hukutana kwa muda mchache.
 
Tatizo tunakimbilia kulaumu bila kufatilia kwa kina, nahili limekuwa Tatizo kwa vijana wengi.

Kamanda wa polisi ameeleze vyema kabisa, kwamba wao walienda kumfata mtoto kwa kibali cha mahakama nahuyu mtoto inasemekana alitoroshwa hali iliyopelekea asiendelee na masomo.

Walipofika kwa huyo mama hawakupewa ushirikiano, wakaongeza kikosi wakaingia kwa nguvu na kukuta mengine yanayoendelea humo ndani ni kinyume cha sheria.

Naweza kuwa nimeongeza au kupunuza maneno ila tafuta maelekezo ya kamanda wa polisi yatakusaidia
 
Zumalidi kasafirisha binadamu kutoka wapi kwenda wapi kwa lengo gani? Kuna jinai gani pale?
Eti usafirishaji wa binadamu!
 
Sukule jingine la zumaridi hili hao polisi hawakwenda kukagua bali kumkamata yule mama mtuhumiwa.
 
Kwa hiyo mfalme Zumaridi kakamatwa na polisi au kachezea kichapo cha Polisi?
Kama kuna lolote katika hilo naombeni mniwekee kavideo hapa.

Kwa jinsi wale mazombe walivyo wababaisha wale polisi na video kuonekana mtandaoni, ni lazima tu polisi wangekuja na kipigo kikali baadaye.
 
Angekuwa anakashifu dini ya kislamu huyu angekuwa marehemu ila kwavile amekashifu ukristo mmegeuka kuwa watetez wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…