Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Iphone ni simu nzuri sana ila inahitaji mtu mwenye hela, na kuifananisha na Huawei si sahihi sana. Ku-operate iTunes hela.

Binafsi kazi zangu zinanihitaji ku-download files kidogo, na kwa upande huo restriction za iphone zimenishinda kabisa, na samsung kwenye hilo nashukuru kwakweli imenikomboa.

Downside kubwa ya samsung ni kioo na spare parts ukilinganisha na iPhone.
Iphone inahitaji mtu mwenye hela 😄 sawa kiongozi 👍
 
Kuna rafiki yangu aliwahi kuitumia recently lakini nae akaachana nayo karudi kwenye Samsung. Sioni kama itakuwa la ziada. Kama issue ni security pekee kwangu naona ni hoja dhaifu.
yeah sema sema uzuri wa kitu ni mtazamo wa mtu, pia issue ya simu au pc inategemea na matumizi ya mtu ni yapi hayo ndio sometmes yanafanya mtu aone hiki kinatsha au hakitoshi,
 
Ni brand gani unaikubali kuanzia upande wa software zao, camera, battery life, video na durability. Binafsi Naikubali sana mnyama iphone ambaye hana mpinzani!
N.B WALE WA TEKINO NA INIFINIKSI CHONDE CHONDE NISIWAONE HUKU!View attachment 2351211View attachment 2351212
Samsung ni mnyama mkali kwanza ONEUI inafeatures nyingi sana ambazo iPhone haina

Samsung s22 utla inamuonekano mzuri yaaani ipo miaka 10 mbele ya iPhone zote

Samsung flagship zinavioo vizuri,resolution kubwa, ppi density za kutosha kuifanya picha iwe kali

Bonus [emoji1][emoji1] Samsung s22 utla bei yake ipo juu kuliko iPhone 14 pro max, wazee wa iPhone mpunguze shobo na kujifanya simu zenu ni ghali
 
yeah sema sema uzuri wa kitu ni mtazamo wa mtu, pia issue ya simu au pc inategemea na matumizi ya mtu ni yapi hayo ndio sometmes yanafanya mtu aone hiki kinatsha au hakitoshi,
Upo sahihi sana,

*Kuna mtu kwake security ni critical hasa kwendana na shughuli zake, hvyo yupo likely kununua iphone.

*Kuna mwengine anaangalia maintainance costs, hivyo yupo likely kununua iphone kuliko samsung. Samsung unakuta gharama ya simu ni 500$ lakini ukivunja kioo gharama yaku-replace ni 250$.

*Kuna mwengine anaangalia after sales customer service, ambapo kwenye hili iphone wamewekeza kwelikweli.

*Kuna wengine tunaangalia gharama za operational costs, hapa Samsung yupo vizuri sana sababu huduma nyingi kama miziki unaweza access for free ukilinganisha na iphones.
● Kama mnunuzi wa iphones hana uwezo wa kifedha kumudu kulipia gharama mbalimbali online ili kuweza ku-access huduma, lazima ataichukia hiyo simu as long as ameingia kwenye product line iliyo nje ya uwezo wake.
 
Hapa natumia Samsung s10 plus 5g huu ni mwaka wa nne simu inamuonekano mzuri kiooo Safi kuliko hata hii iPhone 14 pro max[emoji3]

Hapa nilipo hakuna mtumiaji wa iPhone kohoa mbele ya hiii simu,kwanza hua wakiishika wanaona kabisa washika simu sio sabuni

Mwisho mm kama mtumiaji wa android hapa natumia vpn nishasahau kununua mb nashusha movies series kama sina akili nzuri


Samsung oyeeee
View attachment 2351333
 
Samsung s10 plus 5g[emoji95][emoji95]
Screenshot_20220909-143336.jpg
 
Acheni Ufamba wa Kufananisha Simu za Kiume (SAMSUNG) Na hizo wa watoto wa Mama lialia (Iphone).

Msije Na Utetezi rahisi Rahisi wa kusema Iphone zina Security nzurii. Hamna lolote Hata SAMSUNG ukicheza na Setting mbona ina Security kali pia.

Hizo zenu zitabaki kuwa Simu za Show off tu ila hazina Maana yeyote kwanzia Camera na Ubora wa Simu kweny Mzunguko wa Matumizi ya simu kwa wakati mmoja

Anayebisha Aje Aniite Mbwa akiwa Na Iphone yake hata hiyo ya 14pro max itakayotoka kesho kutwa mimi nimesimama palee nikiwa na SAMSUNG NOTE 20 utra
 
Back
Top Bottom