Hapo cm za iphone ni more durable than Samsung usipoweka screen protector kwenye samsung yako utaikimbia baada ya mwezi. Iphone ina screen ngumu haipati mikwaruzo kama Samsung hivo iphone mpaka sasa iphone wanaongoza 1-0 tuendelee!
Narudia n matunzo ya mtu, simu zangu siwekag protector na hazijawah kupata hata scratch tu na hakuna watu wana simu zimelika pemben ya vioo kama watu wa iphone
, eti unaongoza , kwamba ujisemeee tu upuuz alafu useme unaongoa
Fact n kama
Ram , leo iphone 14 zina RAM 4 mpaka 6 , wakati samsung ram hizo zilikua kwenye matoleo kuanzia 2016, leo iko kwenye RAM 16
Technology ya vioo iliyopo kwenye iphone 14 ambayo ndio inatumika kwa mara ya kwanza na iphone , samsung ako nayo since 2016
Wakat Iphone kwa mara ya kwanza amevuka megapix 12 kwenye iphone pro max, samsung mwaka 2020 kwenye galaxy s20 ultra aligonga megapix 108 na samsung s20 5g yenyewe ni megapix 48 ambayo leo ndio pro max 14 amekuja nayo , s20 n simu za 2020
Wakat iphone bado ako kwenye 4k@60 fps
Samsung alishafika 8k@24fps ambayo unaweza recodia movies ukauza netflix Amazon etx ikachezwa
Samsung za kuanzia 2020 hiz galaxy s series zinaenda hadi 920 fps kitu ambacho bado iphone anaota labda iphone 30 huko ndio atakuja kuwa nacho
Nimekuchapa ngapi hapo.?
Ninyamaze tu , unatumia iphone 12 yenye vioo vinavyofanana na infinx unakuja vimbia watu wa samsung? Acha bange