Ndiyo tatizo la wabongo,,,,ukishajiona umesoma unaona aibu kufanya mishe zingine,,,miaka yote iyo unasubiri uvishwe suti na tai+mokaz!!!!! Eti natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda π acheni kuchaguwa kaxi,,,,,hata kusafisha vyoo piga tuu mzehe.
Baby wangu nimekumissKuna nchi ina lirais tapeli linalolaghai wananchi:
Kwenye kampeni[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2072383Baada ya kuingia Ikulu[emoji116][emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2072386
Sasa utajilinganisha na wapemba.?Mama anatuona sisi wabara mi wavivu na wajinga hatujui fursa
Kwani akiendesha bodaboda mtaani kwake kuna shida gani.tatizo la vijana was tz ndo hilo .angeanza na boda moja .who knows in 2 yrs time angekuwa na boda 20
Maana ni msomi angestudy hyo industry, akope mahali etc
Mama anatuona sisi wabara mi wavivu na wajinga hatujui fursa
Kweli siweziSasa utajilinganisha na wapemba.?
Nionyeshe mahala uliposema akifanya vitu vingineKapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.
Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
Sawa mzehe kwa tusiMbwa wewe nimekwambia amehangaika miaka 3 akifanya vitu vingine kenge wewe, Amekaa tu ulikuwa unamlisha wewe Shenzhen?
Mama ashapima upepo anajua vijana hawamkubali kabisaa kaona awatukane kihvyo
Vijana wametafuta fursa za biashara ndogondogo kwa jasho na damu lakn ameamua kuwafukuza wasionekane waende porin wakauzie biashara zao huko atanunua Nani?
Kijana akiamua kufanya kilimo Leo mfuko wa mbolea tsh 102000/= serikali baitoi ruzuku hata kidogo
Kijana huyo huyo akiamua kulima kiugumu Bado serikal inambana Bei ya mazao ndogo inamzuia kuuza nje kwenye Bei nzuri
Kiukwel huyu mzanzibar ameota pembe kabisa maneno yake ya siku hiz mbili n shida Sana anachamba na si kutoa matumaini kwa wananchi
TUMEBUGI SANA KUMPA MADARAKA HUYU MZANZIBAR
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Papuchi wapewe wengine halafu mimi la kupewa ni kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!πππBaby wangu nimekumiss
Form 4 kwenyewe hakufaulu mkuu, she is just a small mind.Nmemaikiliza mara mbili mbili nkarudi kwenye Cv yake kuona kama alishapitia kujiajiri nikakuta hakuna nkabaki kusema hakika tutaisoma namba
Happy New yearUnakuja room sweetie? Ujue Nina mambo mengi
Boss wangu happy new yearHappy New year
Wenye degree zao wame2fanyia nini cha maana? Mliambiwa msomi ndiyo mleta maendeleo???Form 4 kwenyewe hakufaulu mkuu, she is just a small mind.
SI hilo katiba lenu bovu ambalo kuhoji tu kosaMadaraka umempa wewe?
Nchi hii inafikirisha sana." Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Umuache mama yetuNchi hii inafikirisha sana.
Rais anapopewa madaraka anakuwa kipofu na haoni tabu za watu wake, anageuka msimangaji.
Ninampa pole jinsi anavyolikoroga kila siku.
Nilitofautiana na jiwe mara nyingi lakini sasa tuko chaka zito na mbele ni giza/kiza totoro.