Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

Ndiyo tatizo la wabongo,,,,ukishajiona umesoma unaona aibu kufanya mishe zingine,,,miaka yote iyo unasubiri uvishwe suti na tai+mokaz!!!!! Eti natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda 😁 acheni kuchaguwa kaxi,,,,,hata kusafisha vyoo piga tuu mzehe.

Mbwa wewe nimekwambia amehangaika miaka 3 akifanya vitu vingine kenge wewe, Amekaa tu ulikuwa unamlisha wewe Shenzhen?
 
Sitaki sana kumjadili huyu mama ila siungi kabisa mkono mzanzibar kuwa rais wa jamhuri ya muungano, hii ni sawa na kumchukua dereva toyo aendeshe bus, km vip kuwe na rais wa bara na rais wa visiwani vinginevyo huu muungano ujadiliwe pengine nyakati zake zimepita.
 
Mama ashapima upepo anajua vijana hawamkubali kabisaa kaona awatukane kihvyo

Vijana wametafuta fursa za biashara ndogondogo kwa jasho na damu lakn ameamua kuwafukuza wasionekane waende porin wakauzie biashara zao huko atanunua Nani?

Kijana akiamua kufanya kilimo Leo mfuko wa mbolea tsh 102000/= serikali baitoi ruzuku hata kidogo

Kijana huyo huyo akiamua kulima kiugumu Bado serikal inambana Bei ya mazao ndogo inamzuia kuuza nje kwenye Bei nzuri

Kiukwel huyu mzanzibar ameota pembe kabisa maneno yake ya siku hiz mbili n shida Sana anachamba na si kutoa matumaini kwa wananchi

TUMEBUGI SANA KUMPA MADARAKA HUYU MZANZIBAR

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.

Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
Nionyeshe mahala uliposema akifanya vitu vingine
Mbwa wewe nimekwambia amehangaika miaka 3 akifanya vitu vingine kenge wewe, Amekaa tu ulikuwa unamlisha wewe Shenzhen?
Sawa mzehe kwa tusi
 
Mama ashapima upepo anajua vijana hawamkubali kabisaa kaona awatukane kihvyo

Vijana wametafuta fursa za biashara ndogondogo kwa jasho na damu lakn ameamua kuwafukuza wasionekane waende porin wakauzie biashara zao huko atanunua Nani?

Kijana akiamua kufanya kilimo Leo mfuko wa mbolea tsh 102000/= serikali baitoi ruzuku hata kidogo

Kijana huyo huyo akiamua kulima kiugumu Bado serikal inambana Bei ya mazao ndogo inamzuia kuuza nje kwenye Bei nzuri

Kiukwel huyu mzanzibar ameota pembe kabisa maneno yake ya siku hiz mbili n shida Sana anachamba na si kutoa matumaini kwa wananchi

TUMEBUGI SANA KUMPA MADARAKA HUYU MZANZIBAR

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Madaraka umempa wewe?
 
" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTv

Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.

Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.

Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Nchi hii inafikirisha sana.
Rais anapopewa madaraka anakuwa kipofu na haoni tabu za watu wake, anageuka msimangaji.
Ninampa pole jinsi anavyolikoroga kila siku.

Nilitofautiana na jiwe mara nyingi lakini sasa tuko chaka zito na mbele ni giza/kiza totoro.
 
Nchi hii inafikirisha sana.
Rais anapopewa madaraka anakuwa kipofu na haoni tabu za watu wake, anageuka msimangaji.
Ninampa pole jinsi anavyolikoroga kila siku.

Nilitofautiana na jiwe mara nyingi lakini sasa tuko chaka zito na mbele ni giza/kiza totoro.
Umuache mama yetu
 
Back
Top Bottom