SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Gentleman,
ni ushauri na mawaidha ya bure kabisa kwa muungwana, asitegemee wala kupumbazwa huruma za wananchi na wafadhili wake uchwara wa kitanzania waliopsnga huko kibra kenya mabatini kuna joto kichizi 🤣


kuporomosha matusi sio ujasiri hasa kwa watu wa vitendo tu 🐒
..ila kumteka mtu kwa siri kutaka kumuua ni ujasiri!
 
Mwacheni ateme nyongo kupitia hayo matusi aliyopitia ni makubwa,
Ameamua kuitafuta haki yake kwa style hiyo na mnabahati sana kwa kitendo alichofanyiwa huyu kijana,
Nchi za kiislamu ndio maana wanajutoa sadaka (jihad) .
Nawashauri serikali yenu muwe wapole tu kwakuwa mmeshindwa kusimama katika haki mi nashangaa Tanzania inakuwaje nchi ya demokrasia na hayo makandokando🤔
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Sema watu tunatofautiana kuona mambo. Sativa si kama wewe hapo ulivyo. Ameptia experience ambayo alishajiona kama mfu, kama ilivyotokea kwa Tundu Lissu pia. Mtu yeyote aliyewahi kupitia experience hiyo: hutokea reactions za aina mbili kama copying mechanism: 1) kutosema jambo lolote kabisa (mf. alivyofanya Ulimboka) au kusema sana: mf. kama inavyotokea kwa Sativa na Tundu Lissu). It's just a copying mechanism baada ya kuona kwamba wamesalimika kifo. Ni reaction ya kibinadamu, na wala wanayosema hawafanyi hivyo kwa lengo ya kumuudhi mtu. Ni sisi tu kuelewa experience waliyopitia. Ni kama unapokutana na threatening incident, moyo utatunda na utatoka jasho. Siyo kwamba unapenda moyo udunde au jasho litoke, hapana. Ni jinsi mwili unavyo'react' au respond kwa situation uliyokutana nayo. Kuna mtu nilishakutana na Simba na, alipambana naye hata kuweza kumuua bila silaha. Baada ya hapo, alikuwa na 'courage' ya ajabu. Imagine, unatembea zako sehemu, and all a sudden, unashambuliwa na simba, na unapambana jinsi ulivyo mpaka kumuua simba. Utakapotoka hapo, si utakuwa mtu tofauti kabisa? Huwezi kutishika tena na simba, chui, duma, fisi, etc. Kwa hiyo, kwa upande wangu anachofanya Sativa ni sehemu ya 'healing process' and let's allow that to happen, na baadaye hiyo process ikikamilika, atakuwa mtu tofauti, maana atakuwa ame'recover'. Hivyo, wewe usiye na experience kama yake huwezi kumwelewa, lakini ukisoma saikolojia utaona haya mambo hutokea kama 'healing process'. Ni kama kwa baadhi ya watu wakifiwa, hulia na wengine huwa hawalii. Mara nyingi tunaona wanaolia kama "dhaifu" na wale wasiolia kama "wanaume". Anayelia, anapitia hiyo 'healing process'. Asiyelia naye ni namna yake, ila kama haitakamilika (kama lengo ni ku'prove' kwa watu kama yeye ni mwanaume hawezi kulia) inaweza ikajitikoza katika mambo mengine kama 'nerve breakdown' etc. Hivyo, ni muhimu to take care of our psychological needs well.
 
Matusi hayakubaliki na wala mtu hawezi kuvumiliwa au kuachwa aendelee kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu.ni lazima adhibitiwe na kufikishwa katika vyombo vyo sheria .ni lazima afundwe kisheria.
..kumteka kunakubalika? waliotaka kumuua wao si wendawazimu au vichaa, mbona husemi wafikishwe wao kwanza kwenye vyombo vya sheria..
 
Mkuu unafikiri risasi ipenye nyuma ya kichwa itokee mbele ya mdomo ni jambo dogo ? Hata kama kachanganyikiwa walio mfanyanyia lile tukio nao wanahusika kwenye kuchanganyikiwa kwake🤔
Hv n alipigwa risasi ya kichwa au ya taya? Hizi movie mnazotengeneza hizi 🙌
Yn kukoswa kupigwa risasi ya kichwa na kupigwa ya taya Bc hapo n amepigwa risasi ya kichwa 😂
 
..ila kumteka mtu kwa siri kutaka kumuua ni ujasiri!
nimeeleza mwanzo hayo ni matokeo ya wasio weza kujibu matusi yako kwao kwa maneno dhidi yako.

Jiepushe kuporomosha matusi kwa wasio weza kustahimili kutukanwa, zaidi sana watakujibu kwa vitendo na matokeo yake utaishia kupata huruma tu za jamii huku wewe binafsi ukipitia maumivu makali kimwili na kiroho n.k🐒
 
Shida ya wanaharakati ndiyo hiyo. Dogo alianza tu vizuri baada ya kupata madhila na hata mimi nilimhurumia na kumuombea ila siku zinavyokwenda anaudhihirishia umma kwamba yeye ni liability kiasi gani kwa hili taifa la watu wastaarabu

Labda iwe ukurasa wake umedukuliwa ila kinyume na hivyo nalazimika kabisa kuviamini vyombo vya dola katika operations zao kwamba huenda kweli ni kwa maslahi mapana ya taifa na usalama wa watu wake
..maslahi gani mapana? yataje..unakalilishwa mambo km juha!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe ni IGP ? Punguza UPUMBAVU. Punguani wewe
 
Sorry Braza najua hizi ni hasira za Mganga aliekuuza ukagombee kwa hiyo laki tano.

Mungu hakai kwenye Genge la wahalifu na Warogi.
Neema na Baraka za Mungu zitaendelea kuambatana na kuandamana nami daima,

nami nitaendelea kua muaminifu kwa Mungu na kwa wananchi, ili kibali changu cha utumishi uliotukuka kwa wananchi kisiishe muda wake, badala yake kingare zaidi huko tuendako.

hekima, busara, na moyo wa ustahimilivu, kujitolea na subra viendelee kutawala akili na nafsi yangu ili kila mwenye moyo mgumu, ashuhudie Neema na Baraka za Mungu kupitia mimi 🐒
 
nimeeleza mwanzo hayo ni matokeo ya wasio weza kujibu matusi yako kwao kwa maneno dhidi yako.

Jiepushe kuporomosha matusi kwa wasio weza kustahimili kutukanwa, zaidi sana watakujibu kwa vitendo na matokeo yake utaishia kupata huruma tu za jamii huku wewe binafsi ukipitia maumivu makali n.k🐒
..sativa hatukani mtu au watu ovyo, kama hupendi au una allegy ya kusemwa au kutukanwa, t s simple ondoka kwenye nafasi inayokuletea kutukanwa!
 
Back
Top Bottom