Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Si tatizo kama Katiba itakuwa na imara. Tutamthibiti kwa Katiba kama Wamarekani walivyomthibiti Trump.Itasaidia sana, ingawa na yenyewe inaweza kusababisha tukapata dikteta
Mkuu, isije kuwa umehisi mimi ni Mayalla. Usimsingizie bure mkuu. Ukiutumia ujuzi wako wa "kijasusi" utagundua kuwa hatufanani na Mayalla hata kidogo.Nje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?
Kulikoni mkuu?
Aisee! Kwa hiyo hata akigombea jimboni kwenu hutampa kura?Aisee! Acha waendelee kutokuona.
โ ๐๐๐Kongole kwa Maxence Melo
๐Nilikuwa naitafuta hii comment ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐Tunapambana ili kupata mgombea binafsi ili tunufaike na vichwa kama chako
Hongera! Inawezekana wewe ni Waziri au Mbunge. Jimbo lako liko pande zipi za Tanzania? Unaweza kututajia kiujumla ili tusikufahahamu kwa jina lako halisi.Daaah apo kyela ushachukua fomu ya hata ya mjumbe๐๐๐
Inafahamika kuwa Mayalla ni CCM, na yeye mwenyewe ameliweka hilo wazi. Lakini hilo halimfanyi asitumie taaluma yake ya uandishi kukosoa Chama cho chote cha Siasa, kikiwemo cha kwake, akiona inafaa.Wekeni majina yenu wazi ili mjulikane vizuri na hoja zenu; hiyo ndio marketing na branding yako!!
Mfano si huyo Mubyazi wenu hapo JF ; mawazo na misimamo yake inajulikana sio ya kichawa na ndio maana anapata uteuzi!! Sasa nyie wakina Mayalla Njaa leo uko ccm kesho unaponda ccm , huwezi pata uteuzi kwasababu ni opportunist, kwa lugha nyepesi MNAFIKI !
Weka jina lako halisi na namba ya simu mkuu. Watakuona tu.Serikali hainioni kbs
โ ๐Jr Mshana, namkubali, anajua kuchambua mambo kwa ufasaha.
Mimi ni kichwa kuna wanakijiji wakisikia taarifa ya habari hawaamini baadhi ya vitu lazima waje kwangu kuuliza ukweli wa wanayoyasikia na msimamo wa serikali .Kulikoni mkuu?
Hongera mkuu! Vipi ule muswada mpya uliopigiwa kelele na wananchi, na wewe utaupitisha?nipo huko siku nyingi sana,
na kwa miswada makini sana hii ya uchaguzi na tume ya uchaguzi tunajadili hapa mjengoni,
najiskia kuomba tena ridhaa kwa wananchi kwa awamu nyingine tena 2025-2030...
Naunga mkono hojaUkiambiwa fulani hapa JF na michango yake na jinsi anavyoikosoa Serikali hapa JF kuwa ni mbunge huwezi amini .. Nenda umkute bunge yeye ni mwendo wa ndiyoooooo...
Watu wanacheza kuendana na beat tu .. Hata hao unaowafikiria wakipewa nafasi lazima hawataweza fanya lolote.
Wabunge wanachaguliwa na wananchi ili wakawakilishe mawazo ya wananchi bungeni, tatizo linakuja huwezi kuwa mbunge bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
Mbunge au yeyote anayepata teuzi katika nchi yetu anaenda kuwatumikia mabwana wawili na ndipo mgongano wa kimaslahi hutokea.
Mifano ni kama Bashe, Nape, Silinde na wengine wengi .
wananchi wa wap walolalamika?Hongera mkuu! Vipi ule muswada mpya uliopigiwa kelele na wananchi, na wewe utaupitisha?