Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Mkuu acha uvivu....pitia hayo matokeo uone uovu wa serikali yako. Wanafunzi waliopata B wa shule za kata wameenda shule teule huku wanafunzi waliopata A wa shule binafsi wamepelekwa sjule ya kata Changanyikeni. Huu ni ujinga usiovumilika. Acha kutetea uhuni na upuuzi wa serikali ya CCM.
Kama umeweza kusomesha mwanafunzi private primary usilielie peleka canossa,precious blood,tengeru ,kemobosi,Ally Hassan Mwinyi ,Feza schools,Mary Goreth ,Kipao mbele kwa special schools ni shule za serikali hilo linaeleweka .Call a spade a spade not a big spoon .Haijawai kutokea mtoto mwenye A darasa lenye wanafunzi 600 afananishwe na mwenye A darasa lenye wanafunzi 35 ,standard hizo ni vyuoni tu ,primary & secondary standardization itafanyika tu.Ukiwapanga hao watoto wa English media 100 special school anafanikiwa kuja mmoja tu ,sasa unawachagua wa nini wakati wanashule zao tayari ambazo wazazi miaka nenda rudi wanaona ni bora.
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Mdau nikuulize maswali haya na unijibu

1. Unafikiri watoto wa private wana akili kuliko wa government? Kwakuwa ndo wamefaulu sana?

2.sisi masikini ambao hatuna uwezo wa kuwapeleka watoto private hizi nafas hazituhusu? Maana ufaulu wa shule za serikali unajulikana

3. Mbona kuna watu walitoka huko shule private na ufaulu mzuri kuliko waliotoka serikalin tulipokutana advance wakawa wanazidiwa? Huko private kuna nini? mbona kwenyewe walifaul vizur?

4. Wanaopanga wengine wamepita huko private michezo ya huko wanaijua vizuri tu

5. Kama unamtoto huko private muulize wakati wanakaribia kufanya mitihana walisovu maswali ya kufanania na wakayakuta kama yalivyo? Akupe majibu
 
Nina ushahidi wa kutosha kutoka maafisa elimu wazito...kuwa matokeo ya kidato cha 6 ambao sasa ni wanachuo mwaka wa kwanza...YALIPIKWA KWA 90%
kumfurahisha killaza namba moja nchi hii
Jaman mwaka huu 4m 6 ufaulu umezidi, had unasema kheeeh au mtihani ulikua simple sanaa.
 
Ni ujinga mmoja ulifanyika....
Kule visiwani A ilianzia 35....
So kwa vile ni Jamuhuri ya Muungano kote A ikaanzia 35..

You wonder... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Eti Ifunda tech . Tosa.. Div 1 miambili..[emoji23][emoji23]
Afu sasa wengi wako mtaani, vyuo hawajaenda na mkopo hawana.
 
Watoto tuliotoka Kayumba kwenda hizo shule maalum za serikali tunajua kwamba, vijana watokao private schools na straight A's zao si kwamba wana akili nyingi sana kuliko sisi wa mchanganyiko wa A's na B's.

Walitumkimbiza kidogo from 1 kwa vile ndo tulikuwa tukijifunza English. Form two mizani ikabalance.
Form 3 mpaka 4 wakafunikwa vibaya kabisa kitaaluma, wakabaki kuturungishia tu ma-Nido, Blue band na pocket money ambazo hatukuwa nazo.

Equity ichukue nafasi yake katika selection. Serikali iko sahihi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaman mwaka huu 4m 6 ufaulu umezidi, had unasema kheeeh au mtihani ulikua simple sanaa.
Siasa chafu ili chawa wapate pa kukamatia.

Lakini Mungu ni fundi madhaifu ndio yanaendelea kuwavua nguo.

Huwezi kufoji umeme uwake kila siku
 
Siasa chafu ili chawa wapate pa kukamatia.

Lakini Mungu ni fundi madhaifu ndio yanaendelea kuwavua nguo.

Huwezi kufoji umeme uwake kila siku
[emoji23][emoji23][emoji23] wamewafaulisha watoto, pesa za mkopo hawana, wamebali mitaani kulia lia tyuuh. Lol
 
Mimi nasemaga humu hata zile AAA za sijui special school ni za kubumbwa...
Kufuta aibu ya kupelekeshwa na Feza....
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.


Nafikiri umekurupuka, pia sio mbaya serikali ikiwapendelea hao, sioni ubaya wake.
 
inasikitisha sana serikali ili angalie hili kwa jicho la tatu ,msijari ndugu zangu,kama taranta iko kwa mtoto ipo tu.asilimia 100 ya maginias wa dunia hawakufika hata chuo kikuu .mf nikolai tesla,james watt,wright brothers kwahiyo selection isiwatoe kwenye reli kinachofata jipangeni jinsi ya kuboresha taranta za watoto wenu ,minaona lengo la serikali muwasomeshe watoto wenu private mwanzo mwisho ,form four selection msishangae watoto wenu kuchaguliwa A level za kata.kwa hiyo jipangeni kuwa somesha watoto wenu shule za private mwanzo mwisho na huenda ni dili la wamiliki wa shule za private na serikali ili muendelee kuwasomesha watoto wenu kwenye shule hizo za private kwani mtaona kinyaa watoto wenu waliopata A masomo yote kuwapeleka shule za kata hivyo kuendelea kuwapa ulaji wamiliki wa shule binafsi nimtazamo tu
 
Mambo usiyoyajua mkuu usikimbilie kuja kuilaumu serikali, kilichofanyika hapo ni hesabu ya hali ya juu! Wewe umeshindwa kungamua tu!! Kwa hili naipongeza serikali! Kilichofanyikq hapo mm nakijua ni utaratibu na hesabu ndizo zinazofanya hivyo mkuu wala sio ubaguzi!!
Wengi hawajaelewa .kwa tuliosoma statistics tunajua kilichofanyika hapo
 
Yaani unawasaidia vilaza kwa kwafelisha wenye akili..!!! Ujinga ulioje..!!! Humsaidii masikini kwa kumshusha tajiri
Hakuna aliyeshushwa. Tatizo wengi wenu mnaowapeleka watoto huko private mnajilazimisha wakati vipato vyenu ni vya kubangaiza. Na bado akienda chuo anaweza asipate mkopo au akapata kwa % chache.
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Lengo ni kuua private, watoto wao wanasoma nje
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Mkuu kwanza pole,Serikali haina shule za kuweza kupokea wanafunzi wote 58 waliopata A hata kama wangetaka.Pili sidhani ni ubaguzi kwani zote ni shule na kama unaona haziwafai wanao unaweza endeleea kutafuta shule binafsi.

Nafikiri utakuwa una Point ukisema kwamba SASa ni wakati wa serikalikuanza kutoa subsidies kwa shule za binafsi kwa kuzingatia kwamba hawa wa shule za serikali wanasoma BURE kabisa.
 
Sio kila kitu kuilaumu serikali mambo mengine tunapaswa kuipongeza
Ipongezwe kwa kuwa na shule chache za vipaji / teule. Yaani mwananchi anaweza kuwa na shule nzuri kuzidi serikali? Serikali inyokusanya kodi, inayopokea mikopo nk inashindwa kuboresha shule zake zote nchini ziwe na halinsawa ya ubora na hivyo kila anayefaulu anakuwa kama amechaguliwa shule teule tu???

Kama nchi, tusipoona kuwa elimu ni jambo la maana sawa tu na afya, basi tusimpinge Trump hata kidogo.
 
majibu ni kama ifuatavyo.Serikali haina ubaguzi.serikali inaenda kwa miongozo sheria na taratibu. hakuna serikali inayojiendesha bila kufuata sheria. Sababu ngoja nikupe sasa ili ujue.
-wanafunzi walio wengi wa private wakichaguliwa shule za serikali huwa hawariport shule za serikali huwa wanaendelea na shule za gharama kama walivyokuwa awali.hii inakuwa ni shida,na ni hasara sana kwa serikali.
- Mwisho kama mwanao ulikuwa unamsomesha shule za gharama na amepata alama A hicho sio kipaji. sasa utajiuliza kwa nini sio kipaji? jibu ni moja tu. maana alikuwa na mazingira mazuri ya kumfanya apate A.Tusilaumu laumu tu serikali .
 
Back
Top Bottom