Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Nimekuelewa sana ulichomaanisha na mimi nasupport serikali kwa hicho walichoamua nadhani hata kuna miaka fulani nyuma wanafunzi toka private ilikuwa ngumu sana kupewa mikopo ya elimu ya juu japo nami nili apply na niikanyimwa cha ajabu mzee wangu alifurahi sisi kutokupewa mikopo naweza kuwa sikumwelewa kipindi kile lakini kadri miaka ilivyokuwa inakwenda nikawa namuelewa mzee wangu

Kuna vijana wengi sana wa kimaskini wamekosa nafasi za kwenda shule bora na hata shule za vipaji kuendeleza vipaji vyao kwa kubase kwenye marks/matokeo au kwasababu hakusoma shule bora.

Nimekulia maisha ya kati lakini kuna vijana zaidi ya watatu ambao nimekua nao ambao nikiri kuwa walikuwa wanasoma shule X shule ambayo ilikuwa haina hata madawati na walikuwa kwa mwaka mzma wanavaa shati moja daftari zmejaa jasho.

Lakini kipindi hicho kulikuwa kuna walimu katika shule nuing ambao walikuwa wanafanya kazi za ualimu lakini walikuwa ni watu wa system sjui kama siku hizi bado ipo hivyo au la.

Basi maisha yakaendelea wakaenda tabora boys hivi sasa wawili ni captain wa jeshi na hawa watatu ni marubani wa air Tanzania.

Kilichonisukuma kuandika haya yote ni kwa sababu hiyo shule ya msingi niliyosoma miaka hyo ninavyozungumza mpaka leo hii hali ya ile shule iko vile vile,kuanzia mazngira magumu ya kufundishia na hata hali ngum za maisha ya watu wa maeneo hayo.

Je serikali ikisema ifate results/au ubora wa elimu kwa shule fulani je hawa maskini ambao hela tu ya kula au kununua madaftari wataweza kuwekwa fungu moja na wenzao wanaolipiwa 10m+ kwa mwaka?

Na hapo tutakuwa tunatengeneza gape gani kwa walionao na wasio nacho?

Au ndo tutegemee hawa wachini kuona wao ni watengwa na kuacha kuamini kuwa elimu si ufunguo wa maisha na kuamua kuachana nayo je unajua what will happen after 20 years later?
Unaongea maneno meengii..ya kimasikinimasikini..hoja dhaifuu..

Kwahiyo wewe unafikiri serikali haina pesa!? Za kufanya miundo mbinu ya shule za kk ayumba ifanane na binafsi huko uliko!?

Hivi nyinyi watanzania wajinga mnaolipa kodi mbona wajinga!?
Yani unaionea Serikali huruma.!??

Kutoa Elimu bora ni jukumu la Serikali maana tunalipa kodi. Kodi zenu zinapigwa kipumbavu..hawa wanaopiga kodi zenu watoto wao wanasoma LONDON..
 
Kuna mdau aliandika humu, hakuna kitu hata kimoja ambacho serikali inafanya kwa ufasaha na usahihi. Ni kuunga unga tu mradi pakuche
Nina ushahidi wa kutosha kutoka maafisa elimu wazito...kuwa matokeo ya kidato cha 6 ambao sasa ni wanachuo mwaka wa kwanza...YALIPIKWA KWA 90%
kumfurahisha killaza namba moja nchi hii
 
Nina ushahidi wa kutosha kutoka maafisa elimu wazito...kuwa matokeo ya kidato cha 6 ambao sasa ni wanachuo mwaka wa kwanza...YALIPIKWA KWA 90%
kumfurahisha killaza namba moja nchi hii
Ni ujinga mmoja ulifanyika....
Kule visiwani A ilianzia 35....
So kwa vile ni Jamuhuri ya Muungano kote A ikaanzia 35..

You wonder... 🤣🤣🤣😂🤣🤣
Eti Ifunda tech . Tosa.. Div 1 miambili..😂😂
 
H
Ni ujinga mmoja ulifanyika....
Kule visiwani A ilianzia 35....
So kwa vile ni Jamuhuri ya Muungano kote A ikaanzia 35..

You wonder... 🤣🤣🤣😂🤣🤣
Eti Ifunda tech . Tosa.. Div 1 miambili..😂😂
Huyu kilazza hadi atoke utawalani nchi itakuwa tikitik kila kona
 
...Utafiti huu haujakamilika
...Wengi wanaounga mkono ni wadandiaji.
Lugha iliyotumika lacks objectivity and professionalism.

tpaul hajaotoa ushahidi au hoja yoyote ile yenye mashiko inayounga mkono madai yake kwamba Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi.

Itoshe, kutumia matokeo ya mitihani mlolongo mrefu wa sijui, walioteuliwa/kuchaguliwa kuendelea na masomo ya form one kama msingi wa madai yakr bila ya kueleza jinsi na kwa nini Serikali ndio ishutumiwe kwa madai ya kukosekana haki, is irrsponsible.

Nashauri Serikali na wadau wengine wakalitizame hili la huyu Mleta mada. Kwa sababu inawezekana kabisa anataka kuchonganisha Serikali na wananchi.

Pia, JamiiForums wakalitizame hili kupitia Jamiicheck.
 
...Utafiti huu haujakamilika
...Wengi wanaounga mkono ni wadandiaji.
Lugha iliyotumika lacks objectivity and professionalism.

tpaul hajaotoa ushahidi au hoja yoyote ile yenye mashiko inayounga mkono madai yake kwamba Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi.

Itoshe, kutumia matokeo ya mitihani mlolongo mrefu wa walioteuliwa/kuchaguliwa kuendelea kama msingi wa madai yakr bila ya kueleza jinsi na kwa nini Serikali ndio ishutumiwe kwa madai ya kukosekana haki, is iresponible.

Nashauri Serikali na wadau wengine wakalitizame hili la huyu Mleta mada. Kwa sababu inawezekana kabisa anataka kuchonganisha Serikali na wananchi.

Pia, JamiiForums wakalitizame hili kupitia Jamiicheck.
Muonee!!?
 
Wanaochaguliwa hawaend,nafas znabak vacant wanaanza kuokoteza wabovu,wanaohamia na watovu wa nidhamu wanaohamia toka shule mbalimbali ilimradi tu shule zisikose wanafunzi

Ndo maana skuhz shule teule hazifanyi vzur sn Kama miaka ya zamani maana zinachanganyiwa Sana makapi
Ni vipimo gani vinavoonyesha mwanafunzi X kafanya vizuri katika masomo yake ukiondoa hili la kufanya theoryexam na kupata A's ambalo binafsi naliona ni kipimo cha elimu za stone age.
 
...Utafiti huu haujakamilika
...Wengi wanaounga mkono ni wadandiaji.
Lugha iliyotumika lacks objectivity and professionalism.

tpaul hajaotoa ushahidi au hoja yoyote ile yenye mashiko inayounga mkono madai yake kwamba Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi.

Itoshe, kutumia matokeo ya mitihani mlolongo mrefu wa sijui, walioteuliwa/kuchaguliwa kuendelea na masomo ya form one kama msingi wa madai yakr bila ya kueleza jinsi na kwa nini Serikali ndio ishutumiwe kwa madai ya kukosekana haki, is irrsponsible.

Nashauri Serikali na wadau wengine wakalitizame hili la huyu Mleta mada. Kwa sababu inawezekana kabisa anataka kuchonganisha Serikali na wananchi.

Pia, JamiiForums wakalitizame hili kupitia Jamiicheck.

That is right. Kwa hiyo wakati huu ambao bado hawajaboresha shule za kata waendelee na huu mchezo wao wa ubaguzi kwenye selection?
Tpaul. Huo ubaguzi umeudadavua kivipi? Unajua wanatumia Criteria gani kufanya hizo selection Mkuu?

Nauliza huo ushahidi wako kwamba Serikali inawabagua au inazibagua wanafunzi na shule binafsi uko wapi?
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Upo uwezekano mkubwa wa hao wa 2 waliochaguliwa kutoka shule binafsi wasiende huko walikochaguliwa.
 
Ina maana zile A zote za kumwaga kutoka shule binafsi ni A feki mkuu? Mbona unatetea ujinga?
Sio natetea ujinga mtu hawezi Kuja na mawazo yake ya hisia afu nikubali tu kizembe, Kuna shule ya private wanafunzi walikua 16 na bweni wameenda zaidi ya watano. Je hao ni wachache? Au Kuna private zinapata equal treatment na shule za serikali? Tukubaliane tu utafiti wake ulibase kwenye grade A bila kujali marks. Na kusema wenye A nyingi ndio watakua na A Kali ni assumption tu unaweza isiwe na ukweli vilevile. Unaweza dhani natetea ujinga kumbe wewe mwenyewe hujajua tu unachotetea,

Angalia selection Kwa hiyo hapo shule

 
Watoto tuliotoka Kayumba kwenda hizo shule maalum za serikali tunajua kwamba, vijana watokao private schools na straight A's zao si kwamba wana akili nyingi sana kuliko sisi wa mchanganyiko wa A's na B's.

Walitumkimbiza kidogo from 1 kwa vile ndo tulikuwa tukijifunza English. Form two mizani ikabalance.
Form 3 mpaka 4 wakafunikwa vibaya kabisa kitaaluma, wakabaki kuturungishia tu ma-Nido, Blue band na pocket money ambazo hatukuwa nazo.

Equity ichukue nafasi yake katika selection. Serikali iko sahihi kabisa.
 
Unaongea maneno meengii..ya kimasikinimasikini..hoja dhaifuu..

Kwahiyo wewe unafikiri serikali haina pesa!? Za kufanya miundo mbinu ya shule za kk ayumba ifanane na binafsi huko uliko!?

Hivi nyinyi watanzania wajinga mnaolipa kodi mbona wajinga!?
Yani unaionea Serikali huruma.!??

Kutoa Elimu bora ni jukumu la Serikali maana tunalipa kodi. Kodi zenu zinapigwa kipumbavu..hawa wanaopiga kodi zenu watoto wao wanasoma LONDON..
SAsa umaskini wangu umeingiaje hapo mkuu?

Ila huwenda ukawa kweli mimi ni maskini but let's base kwenye hoja.

Mie kiupande wangu naipongeza serikali sababu kwa sasa muamko wa elimu na uboreshaji wa elimu umepanuka tofauti na zamani au unataka budget yote iwekwe kwenye elimu?
 
Serikali hii ya CCM ina mambo ya ajabu sana. Ni aibu kwa serikali inayojinasibu kuzingatia usawa kufanya uhuni wa kiwango hiki. Sijawahi kuona serikali yenye ubaguzi mkubwa kwa wananchi wake hapa ulimwenguni kama serikali ya CCM.

Katika uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga kidato cha kwanza mwaka 2024, serikali imeonyesha ubaguzi wa waziwazi kati ya wanafunzi wa shule za kata na shule binafsi. Hii tabia ya kibaguzi haifai hata kidogo. Tukumbuke kwamba kuna wazazi wa watoto wanaosoma shule binafsi ambao wangependa watoto wao waendelee na masomo katika shule za umma. Inasikitisha serikali imeamua kukatisha ndoto hizo kwa makusudi.

Nitatoa mifano hai ili kuthibitisha hili ninalosema hapa. Nimechukua sampuli ya shule mbili kutoka kata moja (moja ya serikali na nyingine ya binafsi) ili kuuonyesha umma wa watanzania jinsi serikali ya CCM ilivyojaa ubaguzi wa kipuuzi uliopindukia. Lengo la kuchukua shule kutoka kata moja ni la kitafiti zaidi…..kwamba wanafunzi wote wanatoka eneo moja lenye mazingira yanayofanana; hivyo hakuna sababu ya kuwabagua.

Tazama matokeo ya shule hii binafsi jinsi wanafunzi wake walivyofanya vizuri: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206131.htm
View attachment 2848392

Linganisha matokeo hayo na haya ya shule ya kata: https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/psle/results/shl_ps0206125.htm
View attachment 2848390
Utaona idadi ya A kwenye shule binafsi ni 58 huku shule ya kata wakiambulia 9 tu!

Sasa njoo kwenyye uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kwenda shule za sekondari mwaka 2024. Serikali imechagua wanafunzi 2 waliopata A tu kutoka shule binafsi kwenda shule teule. Wengine wote waliosalia wamerundikwa kwenye shule za kata za kutwa kama mnavyoona.

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Na pia wamechaguliwa wanafunzi 2 tu kutoka shule ya serikali iliyofanya vibaya na wanafunzi hao wamepata B mbili katika masomo yao. Haki iko wapi?

Uchaguzi wa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza, 2024

Kama serikali ingekuwa inafuata haki, wanafunzi wote 58 kutoka shule binafsi wangechaguliwa kwenda shule teule. Lakini kwa kuwa ubinafsi na upendeleo umetawala ndani ya roho zao za kutu, wameamua kuchagua wanafunzi 2 tu ili kufunika kombe mwanaharamu apite. Serikali hii ina mambo ya kijinga sijapata kuona.
Mambo haya yanasikitisha, kuondoa aibu ya Shule za Serikali kufanya vibaya walikimbia kushindanisha Shule kwa sababu zisizoeleweka badala ya kuboresha miundombinu na kumotisha Walimu. Leo wameanza tena mbeleko.
 
Back
Top Bottom