Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Alafu the likes of huyu ndo washauri wa Mama...
Wapumbavu...
 
Wangekuwa wanawachukua hata nusu yao ya wanafunzi waliofanya vizuri, kwa kuwa wametokea kwenye shule zenye mazingira bora kwa baada Taifa lingekuja kupata wataalamu walio bora zaidi. Lakini wao watakuwa wanawaza kuwa kwa kuwa hawa wanafunzi wametokea kwenye shule zenye mazingira bora hivyo basi mategemeo yao wanawataka waje kuzipandisha hadhi shule za kata.
 
Sio kwamba waliopata A wote wanaenda shule za bweni, wewe una uhakika gan kama A zao zilikua Kali zaid, kinachowapeleka shule Nzuri ni marks walizopata,
Ina maana zile A zote za kumwaga kutoka shule binafsi ni A feki mkuu? Mbona unatetea ujinga?
 
Hao wa Private si waende shule za Private.. mbona Unalilia shule teule za Serikali..? Huwezi kumpangia Mmiliki
Mkuu umetokea wapi mbona unakuja kwa kukurupuka kama panya? Hapa hatuongelei UMILIKI bali tunaongelea UCHAGUZI WA WANAFUNZI. Umeelewa?
 
Kwani hizo shule teule zinafundishwa na walimu kutoka wp? Si ni walimu hao hao wanaofundisha shule za kata?

Ulitaka mwanao apelekwe shule teule ili utambishie wenzako au sio, mpeleke huko mwandege mwanao akasome kama hujaridhika mpeleke fedha, tusiime au St.francis....hela yako tu.
 
Asante kwa ushauri mkuu. Maoni yako yamezingatiwa. Lakini ukweli ni kwamba shule nzuri Marian Feza, St Francis et al hazitoshi kuwameza wanafunzi wote wa shule za private.

Suluhisho ni serikali ifanya selection isiyokuwa biased ili mzazi mwenye uhitaji wa kumpeleka mtoto wake special school afanye hivyo. Wasichukulie hasira kwamba wazazi hawapeleki watoto. Na ndio maana kunakuwa na seond selection ili kuziba nafasi za wale watakaokacha.
 
Kwaiyo mlitaka shule nzuri za awali wasome watoto zenu?

Shule za bora za secondary wasome watoto zenu?

Na vyuo vikuu bora wasome watoto zenu tena hao hao wapewe priority ya kupewa mikopo?

Na kazi pia nzuri watoto zenu ndo wapewe watoto zenu kwanza?

Kwa ulichoandika hapa endapo kama ungenambia kwa mdomo ningekutukana
 
Ulisoma Private!?
Ndo mjadala uliopo....
 
Kwani we watoto zako wako wapi!?
 
Mkuu unapaswa kuzingatia pia mazingira ya usomaji Kati ya private na kayumba
Kama ni hivyo basi serikali iwe inatunga mitihani miwili tofauti:
1. Mitihani rahisi ya kubet kwa ajili ya wanafunzi wa shule za kata.
2. Mitihani migumu ya kujaza na kukokotoa mwenyewe kwa ajili ya shule binafsi.
 
Umeongea point,
Mwenye maskio na asikie
 
Selection ipo Sawa

Nakupa mfano

John kapata math 41 "A" English 42 " A" wastan hapo ni 42

ISSA kapata Math 48 "A" English 38 "B" wastan hapo ni "43"

Hapo John na ISSA nan kamzid mwenzake ufaulu?
Mkuu hii mifano yako sio hai. Hebu rejea kusoma andiko langu kwenye uzi utanielewa ninachomaanisha.
 
Huwa inatokea mwanafunz A akawa na "C" 4 na "D" mbili lakin wastan "D"

Mwingine akawa na "C" 2 na "D" 4 lakin wastan "C"

Haya mambo mwanzisha mada umekurupuka
Toa mifano hai acha kukurupuka mkuu.
 
Alivyomuondoa Dr.Msonde pale NECTA nikajua hapa hadhi ya NECTA lazima ishuke tu!
Shida Wanzanzibar wabaguzi na wadini sana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ndio maana serikali inaamua KUBORESHA mazingira ya shule zake kwa kufanya upendeleo kwenye selection?
Jambo la ajabu sana hili.Sijui kama watafanikiwa kwa mkakati huo mbovu.Serikali lazima ione ni kwa namna gani itacope na strategies zinatumika private mpaka watoto wao wanainyanyasa mitihani ya baraza vile

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…