#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Tuchukue hatua binafsi. Tuwaelimishe ndugu, marafiki, jamaa zetu.

Binadamu ku-adapt!, ushahidi ni kwamba hadi leo bado tupo, upo duniani. Despite majanga kibao.

Ushahidi wa kuwa bado tupo inawahusu pia wale wote waliotangulizwa mbele za haki na ugonjwa huu wao na jamaa zao wa karibu?

Wale wastaafu wakiwamo wale wabunge na hata wasio kuwa na majina ya kufanya habari kubwa wanakuona jombi.
 
Hivi na waliokwisha tangulia mbele za haki kwa ugonjwa huu na familia zao nao ulichoandika kinawahusu?

Au kwa kuwa tu wewe haujakusibu basi na ndiyo sasa dunia nzima iko salama na haipo haja ya takwimu sahihi?

Dalili za ubinafsi uliopitiliza!

Mbona mawazo duni namna hiyo jombi?
Ubinafsi! maoni yako. Mimi nilishaipata hiyo Corona. Halafu hata sikujua, sikuumwa. Walipo angalia antibodies wakaona nilishaipata.

Hi hivi kama una magonjwa mengine, huu ugonjwa unaweza kukuua. Otherwise you are more likely to survive.
 
Nobody is perfect, kila mtu ana madhaifu yake. Hata wewe ungekuwa Rais kuna sehemu ungekosea.
Lakini kuna kukosa kwingine ni kwa kipumbavu! Yule mzee katona sisi kama hamnazo ndiyo maana anafanya vitu bila kuzingatia ushauri wa wengine! Anajifanya yeye eti genius!
 
Lakini kuna kukosa kwingine ni kwa kipumbavu! Yule mzee katona sisi kama hamnazo ndiyo maana anafanya vitu bila kuzingatia ushauri wa wengine! Anajifanya yeye eti genius!
Ni Rais yupi alikuwa perfect kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete?
 
Ndani ya wiki hii, nimeshuhudi vifo vinne vya watu ninao wafahamu kutokana na changamoto ya kupumua.
Leo naenda kwa tahadhari ibada ya mazishi ya mtu mwingine ninamfahamu.
 
Ushahidi wa kuwa bado tupo inawahusu pia wale wote waliotangulizwa mbele za haki na ugonjwa huu wao na jamaa zao wa karibu?

Wale wastaafu wakiwamo wale wabunge na hata wasio kuwa na majina ya kufanya habari kubwa wanakuona jombi.
Soon or later wote tutangulia mbele ya haki. Kwa sababu moja au nyingine.

Muhimu chukua tahadhari, jilinde, walinde ndugu zako.
 
How do you expect any prosperity at all,any progress where all people are dead with hunger. Maskini wa kutupwa. Kisa wamefungiwa kufanya biashara halali.
Sio lazima tuwe na lockdown ila tukivaa barakoa, kutopeana mikono (makanisani, misikitini na kwingine), kuosha mikono na maji safi, kusanitize na kujipa nafasi (social distancing) tutapunguza maambukizi kwa kiwango kikubwa sana..

hata baa au mgahawani, zile meza zilivyowekwa tayari kuna nafasi ya kusocial distance.. Hakuna anayesema tuingie kwenye hard lockdown kama ya Uingereza au Sauzi, ila tunasema (1) acknowledge uwepo wa corona (2) toa tahadhari kwa wananchi ambao ndio walipo kodi na hivyo ni lazima wajue muenendo wa nchi yao (3) control the narrative kwa kuwasaidia wasioelewa jinsi ya kujikinga, kujitibu na kusaidia wengine instead of kuogopa..

Tuache kutengeneza correlation ya covid (corona) na lockdown..
 
Ubinafsi! maoni yako. Mimi nilishaipata hiyo Corona. Halafu hata sikujua, sikuumwa. Walipo angalia antibodies wakaona nilishaipata.

Hi hivi kama una magonjwa mengine, huu ugonjwa unaweza kukuua. Otherwise you are more likely to survive.

Ni makosa kuwa na magonjwa mengine au ni kuwa less human? Hivyo kwako wenye magonjwa mengine na wafe tu?

Kwamba ulipata ukapona ndiyo kipimo sasa cha kuwa huu ugonjwa si hoja?

Walioangalia antibodies zako ni hawa hawa wanaosema corona imeondoshwa na Mungu Tanzania?

Mumiani hawajawahi kustuliwa na vifo vyovyote kwani kila kifo kwao ni nyama ya kula.
 
WHO wanasema (CVDs) Cardiovascular Diseases zinaua watu takribani 17.9Million kwa Mwaka

Wakati Corona (COVID 19) inamaliza Mwaka na kitu Sasa lakini imeleta vifo less than 2.5 Million
Screenshot_2021-01-24-09-58-24-1.jpg
Screenshot_2021-01-24-09-54-04-1.jpg
 
Kwani we unaamini kuna South African Covid ? [emoji23][emoji23][emoji23], acheni kulazimisha biashara za chanjo wakati tushawaambia hatuna Corona, mbona wabishi hivi nyie watu?
Kuna variant ya covid ambayo imeanzia South Africa.. Leo wanamzika aliyekuwa Waziri katika ofisi ya Raisi, Jackson Mthembu, aliyefariki kwa corona.. Jana wametangaza mwana mziki maarufu wa zamani kidogo, Jonas Geangwa, amefariki kwa corona..
Kifupi, ipo variant ya covid iliyoanzia Sauzi na inaua.. Jana wamefariki 430+ kutokana na covid..

Aliwahi kusema jamaa yangu mmoja, njia wanayotumia watafiti sasa ni kuangalia idadi ya waliokufa kipindi hiki ndani ya miaka mitano, project idadi tegemewa ya watakaokufa na kulinganisha na wanaokufa sasa.. Utapata idadi ya wanaokufa kwa corona (pneumonia, TB, alishindwa kupumua etc)..
 
Propaganda ili iweje? Kwani akitaka propaganda si anaweza wachoma sindano watu hta 100 zenye virusi vya Covid.... mtazuiaje? Wkt chanjo kibao wanawapa bure? Ndio waje kuhangaika na maneno matupu?
Hao mabeberu wakiamua kweli kufanya fitna kma anavyofanyiwa China na Iran unadhani TZ tutawazuia kwa lipi?
Wameamua kupitia mlango wa uani though wanaweza kufanya hivo direct.Inawezekana vipi tubishane uwepo wa Ugonjwa HATARI wakati matokeo yake ilitakiwa yaseme yenyewe?
 
Kuna variant ya covid ambayo imeanzia South Africa.. Leo wanamzika aliyekuwa Waziri katika ofisi ya Raisi, Jackson Mthembu, aliyefariki kwa corona.. Jana wametangaza mwana mziki maarufu wa zamani kidogo, Jonas Geangwa, amefariki kwa corona..
Kifupi, ipo variant ya covid iliyoanzia Sauzi na inaua.. Jana wamefariki 430+ kutokana na covid..

Aliwahi kusema jamaa yangu mmoja, njia wanayotumia watafiti sasa ni kuangalia idadi ya waliokufa kipindi hiki ndani ya miaka mitano, project idadi tegemewa ya watakaokufa na kulinganisha na wanaokufa sasa.. Utapata idadi ya wanaokufa kwa corona (pneumonia, TB, alishindwa kupumua etc)..
Nikuulize, idadi ya waliokuwa wanakufa kwa magonjwa ya upumuaji kwa mwaka Kabla ya Corona, na waliokufa kwa magonjwa ya upumuaji baada ya Corona ndani ya mwaka mmoja, imeongezeka? Kutoka ngapi hadi ngapi? Mbona mnachotwa akili kirahisi sana? Tumeshasema hizo chanjo hatununui, kwanza hiyo pesa hatuna na Corona hatuna pia , ikiwauma sana njooni mtuambukize kwa makusudi
 
HIV kila siku kampeni,dawa na sehemu za vipimo zipo kibao,the same effort ingekuwa imewekwa kwa corona millions of people's lives could be saved.



^millions of people's lives could be saved^!???? Kama huu ndio uongo umerithishwa na Fauci, basi Sisiemu iendelee tu kutawala hadi Tanzania iizidi Ulaya.
 
I am not talking about perfectlion even Baba wa Taifa was not perfect, but this guy is a DISASTER and DISGRACEFUL for the country as he is unfit to lead anything under the sun.



Kauli za waliozibiwa mirija ya madili, upigaji, uzembe kazini, uhujumu uchumi, safari za Dubai & London, wizi na rushwa na ubadhirifu wa mali za umma. Tunawajua sana, na hala hamtupatiii taabu. Tulieni hivyo2 tuijenge nchi, sawa!???
 
Una habari kwamba idara ya afya US almost kila aliyekuwa akifariki hospital, maawani wa afya walikuwa wakielekezwa kuwa-list kama wafu wa kovidi!???
 
Nikuulize, idadi ya waliokuwa wanakufa kwa magonjwa ya upumuaji kwa mwaka Kabla ya Corona, na waliokufa kwa magonjwa ya upumuaji baada ya Corona ndani ya mwaka mmoja, imeongezeka? Kutoka ngapi hadi ngapi? Mbona mnachotwa akili kirahisi sana? Tumeshasema hizo chanjo hatununui, kwanza hiyo pesa hatuna na Corona hatuna pia , ikiwauma sana njooni mtuambukize kwa makusudi
Tunaelewa serikali inakwepa kununua chanjo maana hesabu kamili ni: idadi ya watu katika taifa (Tz tuna kama mil 60) * cost ya dawa (tu assume ni $100) = $bil 60 ndio inabidi itumike kununua chanjo.. Hilo sio lengo la tunaosema serikali itangaze uwepo wa korona. Narudia, sio lengo letu.

Lengo letu ni kumuepusha yule Mama Ntilie wa Buguruni, au Muuza ice cream maeneo ya Palm Beach.. Lengo letu ni kuwaepusha wazazi wetu ambao wengi wana above 55 na wana magonjwa nyemelezi (co-mobilities kama pressure, kisukari na magonjwa yanayohusishwa na kikohozi).. Lengo letu ni kumuepusha asiyeweza kununua dawa ya NIMR (elfu 15 kwa 500ml bottle).. Lengo letu ni kumsaidia mtoto asiwe yatima kwa kitu ambacho kama wazazi wake wangeambiwa jinsi ya kujikinga, wangekuwa bado wazima.. Hayo ndio malengo yetu.. Tuache siasa na tuwe wanasayansi hata kama mara ya mwisho kukaa darasa la sayansi ilikuwa primari..
 
Back
Top Bottom