BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Uchumi tayari ulikuwa umeshashuka miaka mingi tu. Kulinda afya na uhai wa raia kwa kuwaambia ukweli ili wajilinde na kuepuka misongamano ni muhimu sana kuliko kusema uongo eti unalinda uchumi, uchumi ambao tayari ulishatetereka hata kabla ya COVID-19 ndiyo sababu wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara wote wanalia kuhusu uchumi mbovu uliosababishwa na sera za KUKURUPUKA kuingia gharama kubwa za mambo yasiyo na kipaumbele kwa Watanzania.
All good ideas. Lakini angalia biashara zitazokufa. Watu wengi kupoteza ajira. Uchumi kushuka sana.