Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hivi ninyi mmeweka mkataba wa kibiashara na huyu jamaa anaitwa korona, au!??? Mbona HIV hamsemi!??? Tokeni huko na unafiki wenu!
HIV kila siku kampeni,dawa na sehemu za vipimo zipo kibao,the same effort ingekuwa imewekwa kwa corona millions of people's lives could be saved.