Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Maalim Seif mbona alijitangaza?Ukitangaza kesho una kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maalim Seif mbona alijitangaza?Ukitangaza kesho una kazi?
Kumbuka hii nchi sio mali yake.Unataka Yohana ajidhalilishe kuwa maombi yake hayakufanya kazi?
Nitarudi baadae subirini nifate kamusiUshetwain tu, kula wameiba bbado hawaklizika wanataka nanrohonzetu
Mkuu kwa aliyoyafanya tu kwa miaka mitano iliopita ni picha tosha kuwa nchi kajimilikishaKumbuka hii nchi sio mali yake.
Suala la maombi si Yohana tu hata ule waraka wa maaskofu katoliki pia nao ulisema kwamba mwaka jana tulifanikiwa mapambano dhidi ya corona kwa kufuata ushauri wa wataalamu pamoja maombi.Unataka Yohana ajidhalilishe kuwa maombi yake hayakufanya kazi?
It seems hujui hata wajibu wa viongozi uliowachagua.Kwamba serikali ituambie naweni mikono kila wakati.
Kwamba serikali ituambie vaeni barakoa.
Kwamba serikali ituambie epukeni misongamano.
Wananchi ni vema kujiongeza wenyewe, afya yako binafsi ndio uhai wako chukua tahadhari.
Na nyie wenye mafua jitahidini kutulia majumbani kwenu kuepusha kupigia chafya raia wasio na hatia.
Maendeleo hayana vyama!
Sio kuwa tu hajui wajibu wa viongozi wake; ni kwamba pia hajui hata anachosimamia na kukiongea. Huyo ni johnthebaptistIt seems hujui hata wajibu wa viongozi uliowachagua.
Idiot.
Matokeo ya mapambio yenu potofu kuwa mambo ni shwariKwamba serikali ituambie naweni mikono kila wakati.
Kwamba serikali ituambie vaeni barakoa...
Ndicho anachotaka kutuambia. Serikali ambayo ukitaja ugonjwa unafukuzwa kazi na kuitwa mhujumu uchumi... kwa hiyo serikali imejiondoa kwenye suala la korona? Kwamba haihusiki na lolote as far as COVID-19 is concerned?
Tunachagua viongozi wa nini ikiwa nchi inapatwa na mabalaa hawasemi?Mtu wa kwanza kabisa anauetakiwa kutunza afya yako ni wewe mwenyewe
Yaani mbunge nimemchagua ili anifundishe namna ya kuepuka magonjwa?It seems hujui hata wajibu wa viongozi uliowachagua.
Idiot.