#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Kama kusingekuwa na kinachoitwa corona basi pengine hivyo vifo hata usingekuja kuvizungumzia hapa ila kwa sababu kuna corona basi hayo matatizo ya kupumua na kuwekewa mashine za kuwasaidia kupumua yanaonekana kama ni mambo mapya yaliyokuja kipindi hiki cha corona.
Ila wabongo ni wabishi mnoo..... Sasa kama dunia nzima kuna corona kipi cha ajabu TZ ikiwepo? Kwani sisi ni special sana kuliko mataifa mengine au tumefunga mipaka kwamba hawawezi kuteletea?

Na ndio maana mtoa mada kasema kwakuwa kuna doubts ni vzuri serikali either ikanushe au ikubali ili watu wachukue hatua stahiki. It's that simple kuliko kukaa kimya wakati rumours za second wave zipo kitaani
 
Corona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa.

Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa.

Serikali zilizo responsible duniani zinaendelea kutekeleza sera za kupambana na Covid na kamwe hazitangazi kuwa zimeshashinda vita tayari, bali zinakuwa cautious na zinaendelea na jitihada za kupambana na huu ugonjwa.

Siyo siri, sisi Tanzania kwa kiwango kikubwa tulinusurika na wimbi la kwanza la maambukizi yale. Mungu wetu alitusaidia na kwa kweli watanzania walijitahidi pia kuchukua hatua, kila sehemu kulikuwa na ndoo za kunawa mikono etc

Pamoja na mafanikio yale haikuwa sahihi na haiendelei kuwa sahihi serikali kukaa kimya na kuacha kila mtu aamini Korona haipo nchini, au kuuaminisha umma kuwa korona haipo kabisa. kufanya hivyo siyo sahihi hata kidogo

Lakini cha kushangaza zaidi ni pale serikali na vingozi wake walipoanza kudiscourage wananchi kuchukua hatua za kujikinga. Barakoa zilianza kufanyiwa mizaha etc

Serikali ilipaswa iendelee kuhimiza watu waendelee kuchukua hatua, na kuencourage watu kujilinda lakini siyo kudiscourage measures zote ambazo wananchi wanafanya.

Labda kitu kimoja ambacho serikali lazima ielewe ni kuwa sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini, lakini wanakosa uhakika wa kimamlaka kulichukulia kwa uzito stahili maana serikali imeamua kupiga kimya!

Mimi ningependa kuieleza serikali yetu kuwa ni higly irresponsible katika kipindi hiki dunia imeingia katika vita ya pili juu ya huu ugonjwa lakini yenyewe imekaa kimya tu inawaacha wananchi peke yao utafikiri kondoo wasio na mchungaji.

Tunataka kusikia kauli ya serikali, Je Corona ipo Tanzania?, Je serikali ina mpango gani au imeamua wenye kuugua waugue, wenye kufa wafe lakini yenyewe itakaa kimya tu?

Nchi jirani zetu baadhi zimeanza kuchukua hatua kali mipakani mwao kuhusu wanaoingia, je sisi mambo shwari tu hakuna ishu?

Sisi tukimuona rais wetu amekwenda tena Chato kipindi hiki tukiambiwa kuwa Corona imechachamaa huko duniani tunapata wasiwasi kuwa huenda yasemwayo mitaani kuwa ni kweli maana tunakumbuka kipindi kule rais alipokwenda kukaa huko Chato kwa zaidi ya miezi miwili kipindi Corona imechachamaa mwaka jana!. Je ngoma imerudi kama mwaka jana?

Tunataka serikali itupe majibu, tunataka kujua status ya hali ya Corona nchini, maana baadhi ya watu wanaoaga dunia kuna watu mitaani wamekuwa wakinong'ona kuwa Korona ipo na inang'ata

Wananchi tunataka majibu, tena majibu sahihi ya hili suala!
MAISHA YAKO NI JUKUMU LAKO, USINGOJE KUAMBIWA.
WHOSE LIFE IS IT ANYWAY.
 
Corona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa.

Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa.

Serikali zilizo responsible duniani zinaendelea kutekeleza sera za kupambana na Covid na kamwe hazitangazi kuwa zimeshashinda vita tayari, bali zinakuwa cautious na zinaendelea na jitihada za kupambana na huu ugonjwa.

Siyo siri, sisi Tanzania kwa kiwango kikubwa tulinusurika na wimbi la kwanza la maambukizi yale. Mungu wetu alitusaidia na kwa kweli watanzania walijitahidi pia kuchukua hatua, kila sehemu kulikuwa na ndoo za kunawa mikono etc

Pamoja na mafanikio yale haikuwa sahihi na haiendelei kuwa sahihi serikali kukaa kimya na kuacha kila mtu aamini Korona haipo nchini, au kuuaminisha umma kuwa korona haipo kabisa. kufanya hivyo siyo sahihi hata kidogo

Lakini cha kushangaza zaidi ni pale serikali na vingozi wake walipoanza kudiscourage wananchi kuchukua hatua za kujikinga. Barakoa zilianza kufanyiwa mizaha etc

Serikali ilipaswa iendelee kuhimiza watu waendelee kuchukua hatua, na kuencourage watu kujilinda lakini siyo kudiscourage measures zote ambazo wananchi wanafanya.

Labda kitu kimoja ambacho serikali lazima ielewe ni kuwa sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini, lakini wanakosa uhakika wa kimamlaka kulichukulia kwa uzito stahili maana serikali imeamua kupiga kimya!

Mimi ningependa kuieleza serikali yetu kuwa ni higly irresponsible katika kipindi hiki dunia imeingia katika vita ya pili juu ya huu ugonjwa lakini yenyewe imekaa kimya tu inawaacha wananchi peke yao utafikiri kondoo wasio na mchungaji.

Tunataka kusikia kauli ya serikali, Je Corona ipo Tanzania?, Je serikali ina mpango gani au imeamua wenye kuugua waugue, wenye kufa wafe lakini yenyewe itakaa kimya tu?

Nchi jirani zetu baadhi zimeanza kuchukua hatua kali mipakani mwao kuhusu wanaoingia, je sisi mambo shwari tu hakuna ishu?

Sisi tukimuona rais wetu amekwenda tena Chato kipindi hiki tukiambiwa kuwa Corona imechachamaa huko duniani tunapata wasiwasi kuwa huenda yasemwayo mitaani kuwa ni kweli maana tunakumbuka kipindi kule rais alipokwenda kukaa huko Chato kwa zaidi ya miezi miwili kipindi Corona imechachamaa mwaka jana!. Je ngoma imerudi kama mwaka jana?

Tunataka serikali itupe majibu, tunataka kujua status ya hali ya Corona nchini, maana baadhi ya watu wanaoaga dunia kuna watu mitaani wamekuwa wakinong'ona kuwa Korona ipo na inang'ata

Wananchi tunataka majibu, tena majibu sahihi ya hili suala!
Umeandika maelezo mengi ila nimekuelewa kidogo lengo lako,
Sasa unataka uelezwe kuhusu corona je umeomba kujuabna kuhusu mareria au ugonjwa wa moyo au kansa?
Kama hujauliza hayo mengine kwa nini uhangaike na corona wakati kuna hayo magonjwa pia ni hatati kuzidi corona?
Kuweka ndoo za maji na kuvaa barakoa hakujapigwa marufuku je wewe unavifanya hivyo kwa ajiri ya afya yako au mpaka urazimishwe?

Ukipenda corona iwepo ugua uone kama hutapata huduma.
 
Corona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa.

Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa.

Serikali zilizo responsible duniani zinaendelea kutekeleza sera za kupambana na Covid na kamwe hazitangazi kuwa zimeshashinda vita tayari, bali zinakuwa cautious na zinaendelea na jitihada za kupambana na huu ugonjwa.

Siyo siri, sisi Tanzania kwa kiwango kikubwa tulinusurika na wimbi la kwanza la maambukizi yale. Mungu wetu alitusaidia na kwa kweli watanzania walijitahidi pia kuchukua hatua, kila sehemu kulikuwa na ndoo za kunawa mikono etc

Pamoja na mafanikio yale haikuwa sahihi na haiendelei kuwa sahihi serikali kukaa kimya na kuacha kila mtu aamini Korona haipo nchini, au kuuaminisha umma kuwa korona haipo kabisa. kufanya hivyo siyo sahihi hata kidogo

Lakini cha kushangaza zaidi ni pale serikali na vingozi wake walipoanza kudiscourage wananchi kuchukua hatua za kujikinga. Barakoa zilianza kufanyiwa mizaha etc

Serikali ilipaswa iendelee kuhimiza watu waendelee kuchukua hatua, na kuencourage watu kujilinda lakini siyo kudiscourage measures zote ambazo wananchi wanafanya.

Labda kitu kimoja ambacho serikali lazima ielewe ni kuwa sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini, lakini wanakosa uhakika wa kimamlaka kulichukulia kwa uzito stahili maana serikali imeamua kupiga kimya!

Mimi ningependa kuieleza serikali yetu kuwa ni higly irresponsible katika kipindi hiki dunia imeingia katika vita ya pili juu ya huu ugonjwa lakini yenyewe imekaa kimya tu inawaacha wananchi peke yao utafikiri kondoo wasio na mchungaji.

Tunataka kusikia kauli ya serikali, Je Corona ipo Tanzania?, Je serikali ina mpango gani au imeamua wenye kuugua waugue, wenye kufa wafe lakini yenyewe itakaa kimya tu?

Nchi jirani zetu baadhi zimeanza kuchukua hatua kali mipakani mwao kuhusu wanaoingia, je sisi mambo shwari tu hakuna ishu?

Sisi tukimuona rais wetu amekwenda tena Chato kipindi hiki tukiambiwa kuwa Corona imechachamaa huko duniani tunapata wasiwasi kuwa huenda yasemwayo mitaani kuwa ni kweli maana tunakumbuka kipindi kule rais alipokwenda kukaa huko Chato kwa zaidi ya miezi miwili kipindi Corona imechachamaa mwaka jana!. Je ngoma imerudi kama mwaka jana?

Tunataka serikali itupe majibu, tunataka kujua status ya hali ya Corona nchini, maana baadhi ya watu wanaoaga dunia kuna watu mitaani wamekuwa wakinong'ona kuwa Korona ipo na inang'ata

Wananchi tunataka majibu, tena majibu sahihi ya hili suala!
Umeandika point tupu
 
Umeandika maelezo mengi ila nimekuelewa kidogo lengo lako,
Sasa unataka uelezwe kuhusu corona je umeomba kujuabna kuhusu mareria au ugonjwa wa moyo au kansa?
Kama hujauliza hayo mengine kwa nini uhangaike na corona wakati kuna hayo magonjwa pia ni hatati kuzidi corona?
Kuweka ndoo za maji na kuvaa barakoa hakujapigwa marufuku je wewe unavifanya hivyo kwa ajiri ya afya yako au mpaka urazimishwe?

Ukipenda corona iwepo ugua uone kama hutapata huduma.
Usiwe mbinafsi, wakati wewe una uelewa kuhusu Korona, linganisha na Watanzania wenzako ambao uwezo wa ufahamu wa haya mambo ni mdogo!
Inahitajika intervention ya serikali kuwaweka aware wananchi wanaoamini kuwa corona haipo waelewe hali halisi ili wachukue hatua!
 
Kuanzia Desemba 29 nilianza kupatwa natatizo la kuhara na homa kali sana, nilipokwenda kupata vipimo sikukutwa na chochote, sikuridhika nikaanza kutumia mseto na flagili, hali haikutengaa sana kidooogo kuhara kukawa kumepungua. Nikaenda duka la dawa za binadamu, nikajaribu kutoa maelezo yangu kwa jinsi ninavyosikia, mhudumu aidha ukapime ujue nini kinakusumbua au utumie dawa za typhoid, nikachukua cipro - hali ya kuahirisha ikawa imekata japo homa ikifika jioni inakuwa kali sana na kukohoa.
Nikatumiatumia tangawizi na limao hali ya kukohoa ikapungua kwa asilimia karibu 90.
Nikapata tena vipimo sehemu nyingine nikakutwa na viral blood infection/mchafuko wa damu, nikaanza dozi hata sijaimaliza hadi sasa na ninajihisi kupona kabisa huku nikiendelea na tangawizi sometimes.
NOTE: BAADHI YA MARADHI YANA DALILI ZA KUFANANA.
Hapo mkuu, umetuacha kwenye mataa! Swali ni,je,ulipima COVID-19 au hapana?

Niliwahi kusoma chapisho fulani la kitabibu ambapo madkitari wa kichina walisema wakati mwingine tumbo kuchafuka na kuharisha, kushikwa homa na kikoozi kijavu na wakati mwingine macho kuwa mekundu ni dalili za corona.

Tuchukue tahadhali ugonjwa huu haukuhama nchi by 100%.
 
Wewe kama huna imani ya kumwamini Mungu kuwa aliiponya nchi,nenda kakae wanakovaa barakoa,sisi tuachie Magufuli wetu na imani yetu.
haya maneno ulitakiwa umwambie Lissu alipokuwa akijaza watu yeye mwenyewe bila kuvaa barakoa.
 
Mkuu umehesabu hadi vifo vya ajali nini?maana mwisho mwa mwaka ajali nyingi.
Endelee ni tu Kuamini na Kuaminishwa kuwa Deportivo la Corona haipo nchini Tanzania, ila tunaoishi na Madaktari 24/7 tunajua nini Kinaendelea.
 
Mungu yupo .....apige moja takatifu wale top 5 cpwaa tupumzike
 
We nunua tangawizi, mchaichai chemsha iive ukiipua mix limao na asali gonga nusu kikombe asubuhi na jioni na familia yako ongeza immunite kwa mbegu za tikiti pia zina zink ya kutosha.

Sometime warm you body by drinking hot water until you sweat.
Mengine iachie serikali itajua cha kufanya.
Serikali inafanya nini katika janga hili mkuu? Huoni iko kimya garama za kipimo cha Corona ili uende nje ya nchi zimepanda?
 
Ila wabongo ni wabishi mnoo..... Sasa kama dunia nzima kuna corona kipi cha ajabu TZ ikiwepo? Kwani sisi ni special sana kuliko mataifa mengine au tumefunga mipaka kwamba hawawezi kuteletea?

Na ndio maana mtoa mada kasema kwakuwa kuna doubts ni vzuri serikali either ikanushe au ikubali ili watu wachukue hatua stahiki. It's that simple kuliko kukaa kimya wakati rumours za second wave zipo kitaani
Issue sio Tz kuwa na corona au kwamba napinga kuwa Tz hakuwezi kuwa na corona. Kama dunia nzima kuna corona sio sababu ya mtu kuja humu na kusema Tz watu wanakufa sana na corona bila ushahidi,mtu hajui sababu ya kifo cha mtu ila anakimbilia kusema kuna mtu kafa na dalili kama za corona mara sijui kawekewa mashine ya kusaidia kupumua,vifo vya watu maarufu hivi karibuni vimekuwa vinahusishwa moja kwa moja corona.

Sasa hayo mambo ndio naona si sawa hata kama serikali ingekuwa imetangaza kuwa kuna corona bado hayo mambo yasingekuwa na uhalali kuyafanya. Kinachofanyika hapa ni kama inatumika nguvu kuwatisha watu na corona.
 
Endelee ni tu Kuamini na Kuaminishwa kuwa Deportivo la Corona haipo nchini Tanzania, ila tunaoishi na Madaktari 24/7 tunajua nini Kinaendelea.
Kama unajua ni nini kinaendelea ndio ueleze humu watu nao waelewe na sio kutaka kuwaaminisha watu vitu kisa unaishi na madaktari utakuwa huna tofauti na waliyowaaminisha watu kuwa hakuna corona.

Kabla ya kuwepo corona tunajua mwisho wa mwaka huwa kuna ajali nyingi hutokea na husababisha vifo,sasa wewe unakuja kusema tu vifo vimeongezeka bila kueleza kwa kina wakati unajua kuna vifo vya ajali pia ambavyo havihusiani na maradhi ya corona.
 
Corona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa.

Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa.

Serikali zilizo responsible duniani zinaendelea kutekeleza sera za kupambana na Covid na kamwe hazitangazi kuwa zimeshashinda vita tayari, bali zinakuwa cautious na zinaendelea na jitihada za kupambana na huu ugonjwa.

Siyo siri, sisi Tanzania kwa kiwango kikubwa tulinusurika na wimbi la kwanza la maambukizi yale. Mungu wetu alitusaidia na kwa kweli watanzania walijitahidi pia kuchukua hatua, kila sehemu kulikuwa na ndoo za kunawa mikono etc

Pamoja na mafanikio yale haikuwa sahihi na haiendelei kuwa sahihi serikali kukaa kimya na kuacha kila mtu aamini Korona haipo nchini, au kuuaminisha umma kuwa korona haipo kabisa. kufanya hivyo siyo sahihi hata kidogo

Lakini cha kushangaza zaidi ni pale serikali na vingozi wake walipoanza kudiscourage wananchi kuchukua hatua za kujikinga. Barakoa zilianza kufanyiwa mizaha etc

Serikali ilipaswa iendelee kuhimiza watu waendelee kuchukua hatua, na kuencourage watu kujilinda lakini siyo kudiscourage measures zote ambazo wananchi wanafanya.

Labda kitu kimoja ambacho serikali lazima ielewe ni kuwa sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini, lakini wanakosa uhakika wa kimamlaka kulichukulia kwa uzito stahili maana serikali imeamua kupiga kimya!

Mimi ningependa kuieleza serikali yetu kuwa ni higly irresponsible katika kipindi hiki dunia imeingia katika vita ya pili juu ya huu ugonjwa lakini yenyewe imekaa kimya tu inawaacha wananchi peke yao utafikiri kondoo wasio na mchungaji.

Tunataka kusikia kauli ya serikali, Je Corona ipo Tanzania?, Je serikali ina mpango gani au imeamua wenye kuugua waugue, wenye kufa wafe lakini yenyewe itakaa kimya tu?

Nchi jirani zetu baadhi zimeanza kuchukua hatua kali mipakani mwao kuhusu wanaoingia, je sisi mambo shwari tu hakuna ishu?

Sisi tukimuona rais wetu amekwenda tena Chato kipindi hiki tukiambiwa kuwa Corona imechachamaa huko duniani tunapata wasiwasi kuwa huenda yasemwayo mitaani kuwa ni kweli maana tunakumbuka kipindi kule rais alipokwenda kukaa huko Chato kwa zaidi ya miezi miwili kipindi Corona imechachamaa mwaka jana!. Je ngoma imerudi kama mwaka jana?

Tunataka serikali itupe majibu, tunataka kujua status ya hali ya Corona nchini, maana baadhi ya watu wanaoaga dunia kuna watu mitaani wamekuwa wakinong'ona kuwa Korona ipo na inang'ata

Wananchi tunataka majibu, tena majibu sahihi ya hili suala!
Watu kutokuchukua hatua inaonyesha kiwango cha elimu walichonacho kwa kuamini koona inagopa mipaka ya nchi.
 
Back
Top Bottom