Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
.Mungu mwenyewe kasema mbele yako nimeweka uzima na mauti. Chaguo ni lako kupitia matendo yako. Km una dhurumu watu,unaiba kura, unafunga watu bila makosa, kwanini mauti yasikupate?Do you think God is contract killer?? And death only comes to the wicked and spare the innocence one?? Nah.
Death is certain my dear kaa vyema usije ukapitiwa wewe
Usisahau mchuma janga hula na wenzake. Huenda ndugu na jamaa zake wameshakipata chamoto.Mbona yule Mwenyekiti wa NEC bado anadunda?
Napita tu hapaduuh. ngoja tuone
SureMkuu wizi wa kura ulianza siku nyingi tangu kuanzishwa kwa vyama vingi. Pesa inatumika sana. Sema tu mwaka huu imekuwa too much. Bila aibu watu wako bungeni nafsi zao zikiwahukumu. Ogopa sana kuchukua kitu ambacho si haki yako. Laana mtindo mmoja pamoja na familia yako.
Huyo bora angekaa kimya.Kaandika hivi kupitia twitter:
Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto wana baki yatima,umasikini unaongezeka
Lkn mshkaj si alijitoa ubongo lendiKaandika hivi kupitia twitter:
Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto wana baki yatima,umasikini unaongezeka
Kwani kasema anautaka au katoa maoni? Au mimi/wew ukitoa maoni yako kuhusu Kenya /Marekani unakuwa umekosea?Lkn mshkaj si alijitoa ubongo lendi
Jiwe ameshika hatamu😂😂😂😂😋Kaandika hivi kupitia twitter:
Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto is shareware wana baki yatima,umasikini unaongezeka
mkuu tengua kauli yako utawala wa magufuli auna uwezo wa kusema Nani afe Nani asife. waliochukua hatua zote lakini bado watu wao wanafalikiKaandika hivi kupitia twitter:
Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto wana baki yatima,umasikini unaongezeka
Hata mkitoa mapovu,ujumbe umewafikia.Amezungumuziaje pia kuhusu huko ulaya ambako tarifa za vifo zaidi ya watu 3000 vilivyokuwa vikiripotiwa Kwa masaa ishirini na nne? Na hivi juzi tu nchi moja huko ulaya ililiripoti watu zaidi ya 2500 walifariki Kwa covd 19,
Hayo anayasemaje huyu mkimbizi?
mwambieni Canada aliko na ubelgiji kwa Lisu hali mbaya wote ngoma droo hadi sasaKaandika hivi kupitia twitter:
Utawala unao kosea kwa makusudi na kusabibisha vifo vya watu kama ilivyo Tanzania sasa hauna tofauti na Magaidi.Kiburi cha Magufuli ni huzuni kwa Nchi kwa vifo ambavyo vingewezwa kuepukwa/ kupungua.Watu wanakufa na mizaha ina endelea.Watoto wana baki yatima,umasikini unaongezeka
Mbona rumours has it yule Waziri wa mambo ya Nje wa China alikuja na madaktari wao na chanjo kwaajili ya top layer.Hii changamoto itaheshimiwa endapo itabisha hodi hightable pale ndio tutaelewana vizuri...