Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Safi kabisa tena safi sana,Hatua ipi?
Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?
Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?
hahahaha tutalipa deni aliloacha kikwete maana ndio tunalifahamu, haya mengine mlisikia wapi nchi imekopa wakati wanajinasibu kila siku kuwa nchi ni tajiri?Yote itaishia kulipia deni la taifa. Taifa Kama taifa tuko pabaya sana, dereva akikosea njia tu wasafiri wote hupotea, nasi tumepotea😭
Kwahiyo haya matrilion yaliyoongezeka, tunamwqchia mwenyewe na doto wake hazina?😆hahahaha tutalipa deni aliloacha kikwete maana ndio tunalifahamu, haya mengine mlisikia wapi nchi imekopa wakati wanajinasibu kila siku kuwa nchi ni tajiri?
Hatua ipi?
Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?
Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?
Ndio kipindi Corona ilipopenya. Sisi ni kenge, mpaka tutoke damu masikioni ndio tutajua hali ni mbaya mno. Alafu anayetufanya tuonekane makenge ni mtu mmoja tu😤Zenji ili pokea mamia ya watalii kwenye sikukuu za mwisho wa mwaka.
Ovyo kabisa ,waste, msimamo wa rais ni Bora zaidi .Unajua nini? Trump alifanya ujinga huu huu wa kutotoa mwongozo kuhusu juhudi za kujikinga mpaka mambo yakaharibika sana. Serikali ikiri kuwa Korona ipo na itamke wazi kuanzia sasa:
1. Kila mtu avae barakoa
2. Asichangamane na watu kila inapowezekana. Ikibidi kuchangamana basi kuwe na umbali angalau wa futi sita kati ya mtu na mtu kila inapowezekana.
3. Sanitizer kila mahali.
4. Watu wahimizwe kuwa waangalifu mf. kuacha kushikana mikono hovyo hovyo, kutorundikana kwenye mazishi na ikiwezekana wazee wajitenge na wasichangamane na vijana na watoto.
Na juhudi zingine za kawaida kama hayo malimau, tangawizi na nyungu kama zinasaidia kuwaondolea watu hofu hata kama ni placebo effects tu.
Barakoa na hatua zingine zinasaidia na kufanya kazi vizuri kama kila mtu atazifuata; na hili haliwezekani bila mwongozo wa serikali.
Inasemekana Trump angetoa mwongozo kama huu mapema angeweza kuokoa zaidi ya nusu ya watu waliofariki na Korona ambao wanakaribia laki 5 mpaka sasa.
Hata sisi hatujachelewa. Bado tunaweza kuzuia baadhi ya vifo kwa watu wetu vinginevyo tunakoenda hali itakuwa mbaya sana na tutachekwa na dunia nzima.
Na tuchague chanjo moja tuifanyie majaribio haraka tukijiridhisha basi watu wetu wachanjwe mara moja. This is ridiculous [emoji51][emoji51][emoji51]
yani kujikinga na korona hadi uambiwe na rais hayo machanjo tunasikilizia kwanza waliojichanja yamewapalua ama la sio sisi tuwe wa kufanyiwa experiment mbona huko ulaya wamechanjwa na bado wanavaa barakoa tumsapoti rais move anayofanya ni nzuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu
Ushauri wangu vipimo vinunuliwe kila kata kuwepo kituo cha kupima maambukizi ili kila mwenye maambukizi ajifahamu mapema awezi kuanza matibabu mapema na kujitenga na ndugu, jamaa na marafki ili kuwalinda. Tunapoacha wenye maambukizi wabaki nayo mpaka wanazidiwa kabisa kwanza wanakuwa kwenye hatari zaidi ya kufa na pili wanakuwa wamewaambukiza wengi zaidi. Mwa mwisho, dawa zinazosaidia kukabiliana na maambukizi haya katika hatua ya mwanzo ziwekwe wazi na ziwe kwenye kundi la DAWA BARIDI ili kila raia aweze kuzipata kirahisi.
plus ndugai na wenzake......Kwahiyo haya matrilion yaliyoongezeka, tunamwqchia mwenyewe na doto wake hazina?😆
Becky kiaje?Kwa hio unaona sawa kwa vile vifo vipo nchi nyingine then tusichukue hatua kukabiliana na covid?
Marekani, Uingereza na Ufaranza walichelewa kuchukua hatua kwenye hii second wind ya Covid-19 na serikali ziliomba radhi. Kwasasa wanajitahidi kwa kuongeza kasi ya chanjo kwa wananchi wao kwa siku.Hatua ipi?
Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?
Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?
Toka tu huko Machimboni mwaya....
Mtu aliyewaaminisha watanzania Corona haipo...
Juzi kati akawavimbia wazungu kuhusu chanjo....
Tusiangalie tutaonekaje mbele ya jumuia ya mataifa..
Bali tuangalie maisha ya watanzania yanavyowekwa rehani na mtu mmoja,
Lets face it, statement za mkuu Rais zinafanya more damage,sio kwenye image yetu wa tanzania bali kwetu sisi wenyewe kwa wenyewe maambukizi ya covid-19
Yeye ni msomi wa kiwango cha uprofesa; tafiti hupingwa na tafiti
Sio unaamka asubuhi na kuropoka,
Anyway tuwache hayo,
Janga ndio limeshatukuta,
What is the way foward? (michango yenuhapa inahitajika).
i just think president Magufuli atoke huko aliko auhudhurie mazishi ya makamu wa kwanza wa Rais Seif Hamad aliyefariki kwa Covid
Aseme Tanzania kuna Corona,tujikinge na atoe guidelines
Just to honour him, kifo chake ki save maisha ya watanzania wengine........
Au mnasemaje?
Becky
Selikali hata ingesema corona ipo bado mngekufa kwa hofu na njaa,Kila nchi Ina deal na hili janga kivyake... I think ni kuwa irrenspossible kuwadanganya watanzania hili janga halipo, ndio maana nikamtaka yule yule aliyesema hakuna corona aseme ipo Hata kama mtu mmoja aliyeamini corona hamna akajua sasa corona ipo akachukua measures kujikinga itakuwa enough,,,, hao unaowasema hawaendi infront na kusema korona haipo wakati wanajua ipo, otherwise things could be worse...
Pointyani kujikinga na korona hadi uambiwe na rais hayo machanjo tunasikilizia kwanza waliojichanja yamewapalua ama la sio sisi tuwe wa kufanyiwa experiment mbona huko ulaya wamechanjwa na bado wanavaa barakoa tumsapoti rais move anayofanya ni nzuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu
yani kujikinga na korona hadi uambiwe na rais hayo machanjo tunasikilizia kwanza waliojichanja yamewapalua ama la sio sisi tuwe wa kufanyiwa experiment mbona huko ulaya wamechanjwa na bado wanavaa barakoa tumsapoti rais move anayofanya ni nzuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu
Acha zako bhana,!Marekani, Uingereza na Ufaranza walichelewa kuchukua hatua kwenye hii second wind ya Covid-19 na serikali ziliomba radhi. Kwasasa wanajitahidi kwa kuongeza kasi ya chanjo kwa wananchi wao kwa siku.
Selikali hata ingesema corona ipo bado mngekufa kwa hofu na njaa,
Na hata ingesema ipo bado hakuna hatua yeyote ingesaidia kuzuia vifo. Kama ipo nitajie imefanya kazi wapi hiyo hatua?
Hivi unaposikia Marekani au kwingineko wamekufa watu laki 3 na wakikuwa wamwjifungia ndani unapata picha gani?
Acheni jamani mpaka hapa tulipo Mungu katupendelea sana ni vile nyie washabiki wa Lisu siku zote huwa mnaangalia upepo unakoelekea.