#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Hatua ipi?

Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?

Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?
Safi kabisa tena safi sana,
Na hayo ndo mawazo mazuri ambayo ilitupasa kila kijana, kila mzee, kila mtoto liwe kichwani mwake.

Mkuu naomba ridhaa mawazo yako nakayatoe mahali tena kama yalivyo ili ujivunie na nikutaje pia kwa kusema kuna kijana katika pita pita zangu alisema hivi:'
 
Yote itaishia kulipia deni la taifa. Taifa Kama taifa tuko pabaya sana, dereva akikosea njia tu wasafiri wote hupotea, nasi tumepotea😭
hahahaha tutalipa deni aliloacha kikwete maana ndio tunalifahamu, haya mengine mlisikia wapi nchi imekopa wakati wanajinasibu kila siku kuwa nchi ni tajiri?
 
hahahaha tutalipa deni aliloacha kikwete maana ndio tunalifahamu, haya mengine mlisikia wapi nchi imekopa wakati wanajinasibu kila siku kuwa nchi ni tajiri?
Kwahiyo haya matrilion yaliyoongezeka, tunamwqchia mwenyewe na doto wake hazina?😆
 
Hatua ipi?

Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?

Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?

Kila nchi Ina deal na hili janga kivyake... I think ni kuwa irrenspossible kuwadanganya watanzania hili janga halipo, ndio maana nikamtaka yule yule aliyesema hakuna corona aseme ipo Hata kama mtu mmoja aliyeamini corona hamna akajua sasa corona ipo akachukua measures kujikinga itakuwa enough,,,, hao unaowasema hawaendi infront na kusema korona haipo wakati wanajua ipo, otherwise things could be worse...
 
Katika vitu nilivyoumia ni jinsi gvt ilivyolichukulia hilo swala huku kukiwa na vifo vingi lakin wao wapo busy na mambo mengine kabisaa harafu wanajitokeza kwenye kutangaza vifo vya watumishi tuu bila kutoa angalizo la ugonjwa hatari wa wave 2 maana huu unaua haraka mno tofauti na wave 1 na hauchagui kijana wa mzee na watalaamu wamepigwa nyundo wanaoongelea hilo swala ni wachimba chumvi tu na hakuna kitu wanachokujua zaidi zaidi wanatumia mbinu za kinjekitile Ngware..
 
Unajua nini? Trump alifanya ujinga huu huu wa kutotoa mwongozo kuhusu juhudi za kujikinga mpaka mambo yakaharibika sana. Serikali ikiri kuwa Korona ipo na itamke wazi kuanzia sasa:

1. Kila mtu avae barakoa

2. Asichangamane na watu kila inapowezekana. Ikibidi kuchangamana basi kuwe na umbali angalau wa futi sita kati ya mtu na mtu kila inapowezekana.

3. Sanitizer kila mahali.

4. Watu wahimizwe kuwa waangalifu mf. kuacha kushikana mikono hovyo hovyo, kutorundikana kwenye mazishi na ikiwezekana wazee wajitenge na wasichangamane na vijana na watoto.

Na juhudi zingine za kawaida kama hayo malimau, tangawizi na nyungu kama zinasaidia kuwaondolea watu hofu hata kama ni placebo effects tu.

Barakoa na hatua zingine zinasaidia na kufanya kazi vizuri kama kila mtu atazifuata; na hili haliwezekani bila mwongozo wa serikali.

Inasemekana Trump angetoa mwongozo kama huu mapema angeweza kuokoa zaidi ya nusu ya watu waliofariki na Korona ambao wanakaribia laki 5 mpaka sasa.

Hata sisi hatujachelewa. Bado tunaweza kuzuia baadhi ya vifo kwa watu wetu vinginevyo tunakoenda hali itakuwa mbaya sana na tutachekwa na dunia nzima.

Na tuchague chanjo moja tuifanyie majaribio haraka tukijiridhisha basi watu wetu wachanjwe mara moja. This is ridiculous [emoji51][emoji51][emoji51]
Ovyo kabisa ,waste, msimamo wa rais ni Bora zaidi .
 
yani kujikinga na korona hadi uambiwe na rais hayo machanjo tunasikilizia kwanza waliojichanja yamewapalua ama la sio sisi tuwe wa kufanyiwa experiment mbona huko ulaya wamechanjwa na bado wanavaa barakoa tumsapoti rais move anayofanya ni nzuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu
 
Ushauri wangu vipimo vinunuliwe kila kata kuwepo kituo cha kupima maambukizi ili kila mwenye maambukizi ajifahamu mapema awezi kuanza matibabu mapema na kujitenga na ndugu, jamaa na marafki ili kuwalinda. Tunapoacha wenye maambukizi wabaki nayo mpaka wanazidiwa kabisa kwanza wanakuwa kwenye hatari zaidi ya kufa na pili wanakuwa wamewaambukiza wengi zaidi. Mwa mwisho, dawa zinazosaidia kukabiliana na maambukizi haya katika hatua ya mwanzo ziwekwe wazi na ziwe kwenye kundi la DAWA BARIDI ili kila raia aweze kuzipata kirahisi.

Nimeipenda hii sana 👌👌👌👌👍👍👍👍👍👍👍👍👍.Asante kwa ushauri hope DR Gwajima ameona hili na atalifanyia kazi. Again, Asante mkuu
 
MSIOGOPE TUKO VIZURI
Tuko vizuri-.jpg
 
Kwa hio unaona sawa kwa vile vifo vipo nchi nyingine then tusichukue hatua kukabiliana na covid?
Becky kiaje?

Mkulu alisema ile kwenye wimbi ya kwanza kwamba ugonjwa upo na watu wajihadhari.

Kuna mkutano mmoja alitania na kusema akina mama wakiweza watumie ile nguo ya kifuani kutengenezea barakoa.

Serikali ilitoa matamko ya kuchukua tahadhari na watu waliitika kwelikweli kunawa, vitakasa mikono na barakoa.

Kwa hizi serikali zetu hizi si ajabu mkulu na mazee wote wa mfumo wamepigwa chanjo na wao wadunda tu.

Hata mzee wa Msoga nae katulia upepo upite.

Wengine wazito kama MO wao wametulia tangu ile first wave maana hawa waona mbali.

Anyway wananchi wa kawaida tuna budi kuchukua tahadhari kwa kuepuka mikusanyiko kama misiba na marikiti.
 
Hatua ipi?

Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?

Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?
Marekani, Uingereza na Ufaranza walichelewa kuchukua hatua kwenye hii second wind ya Covid-19 na serikali ziliomba radhi. Kwasasa wanajitahidi kwa kuongeza kasi ya chanjo kwa wananchi wao kwa siku.
 
Toka tu huko Machimboni mwaya....

Mtu aliyewaaminisha watanzania Corona haipo...

Juzi kati akawavimbia wazungu kuhusu chanjo....

Tusiangalie tutaonekaje mbele ya jumuia ya mataifa..

Bali tuangalie maisha ya watanzania yanavyowekwa rehani na mtu mmoja,

Lets face it, statement za mkuu Rais zinafanya more damage,sio kwenye image yetu wa tanzania bali kwetu sisi wenyewe kwa wenyewe maambukizi ya covid-19

Yeye ni msomi wa kiwango cha uprofesa; tafiti hupingwa na tafiti

Sio unaamka asubuhi na kuropoka,

Anyway tuwache hayo,

Janga ndio limeshatukuta,

What is the way foward? (michango yenuhapa inahitajika).

i just think president Magufuli atoke huko aliko auhudhurie mazishi ya makamu wa kwanza wa Rais Seif Hamad aliyefariki kwa Covid

Aseme Tanzania kuna Corona,tujikinge na atoe guidelines

Just to honour him, kifo chake ki save maisha ya watanzania wengine........

Au mnasemaje?

Becky

well said my lady...now lets wait and see the action of His excellence Dr.
 
Kila nchi Ina deal na hili janga kivyake... I think ni kuwa irrenspossible kuwadanganya watanzania hili janga halipo, ndio maana nikamtaka yule yule aliyesema hakuna corona aseme ipo Hata kama mtu mmoja aliyeamini corona hamna akajua sasa corona ipo akachukua measures kujikinga itakuwa enough,,,, hao unaowasema hawaendi infront na kusema korona haipo wakati wanajua ipo, otherwise things could be worse...
Selikali hata ingesema corona ipo bado mngekufa kwa hofu na njaa,

Na hata ingesema ipo bado hakuna hatua yeyote ingesaidia kuzuia vifo. Kama ipo nitajie imefanya kazi wapi hiyo hatua?

Hivi unaposikia Marekani au kwingineko wamekufa watu laki 3 na wakikuwa wamwjifungia ndani unapata picha gani?

Acheni jamani mpaka hapa tulipo Mungu katupendelea sana ni vile nyie washabiki wa Lisu siku zote huwa mnaangalia upepo unakoelekea.
 
yani kujikinga na korona hadi uambiwe na rais hayo machanjo tunasikilizia kwanza waliojichanja yamewapalua ama la sio sisi tuwe wa kufanyiwa experiment mbona huko ulaya wamechanjwa na bado wanavaa barakoa tumsapoti rais move anayofanya ni nzuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu
Point
 
yani kujikinga na korona hadi uambiwe na rais hayo machanjo tunasikilizia kwanza waliojichanja yamewapalua ama la sio sisi tuwe wa kufanyiwa experiment mbona huko ulaya wamechanjwa na bado wanavaa barakoa tumsapoti rais move anayofanya ni nzuri au nasema uongo ndugu zanguuuuu

hayo maelekezo wewe umeyapata wapi....tumeshaambiwa hamna corona...na hamna maelekezo yoyote kutoka serikalini...
 
Marekani, Uingereza na Ufaranza walichelewa kuchukua hatua kwenye hii second wind ya Covid-19 na serikali ziliomba radhi. Kwasasa wanajitahidi kwa kuongeza kasi ya chanjo kwa wananchi wao kwa siku.
Acha zako bhana,!

Watu wamejifungia ndani wakiwa na maambukizi ya watu wasiozidi 100 na vifo visivyozidi 10 na bado wakafa kwa maelfu kisha unasema walichelewa?
 
Selikali hata ingesema corona ipo bado mngekufa kwa hofu na njaa,

Na hata ingesema ipo bado hakuna hatua yeyote ingesaidia kuzuia vifo. Kama ipo nitajie imefanya kazi wapi hiyo hatua?

Hivi unaposikia Marekani au kwingineko wamekufa watu laki 3 na wakikuwa wamwjifungia ndani unapata picha gani?

Acheni jamani mpaka hapa tulipo Mungu katupendelea sana ni vile nyie washabiki wa Lisu siku zote huwa mnaangalia upepo unakoelekea.

Unakosea sana kama huoni damage ya kusema Tanzania hamna Corona, siwezi kuendelea kubishana na wewe sababu umeamua mwenyewe kua mbishi tu, Leo kama Rais sema Tanzania hakuna ukimwi halafu seat back and watch the impact...
 
Back
Top Bottom