Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 790
- 1,923
Zingatia maombi ya siku tatu,mkuu amesema mafua ya kubana yasitupe hofu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli
Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,
Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?
Tujihadhari Corona ipo
Big UP Jakaya Umeonesha Mfano
Britannica
Aliwahi kuongea hayo maneno huyu mwambaKwangu ni vigumu sana kumuamini tangu aliposema ameongea na aliyewahi kuwa waziri wa fedha marehemu Dr Kigoda, eti aliongeanae kwa simu Dr Kigoda akiwa ICU hosptalini India. Sina imani na kauli zake.
Umeandika nini weweHii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.
Lord help us!
Dah we jamaa imenichukua sekunde kadhaa kukuelewa... hahahaHii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.
Lord help us!
Akili yako ilivyo fupi hata hujui unataka nini. Umesema serikali itangaze level seat. Halafu unasema siyo kila mtu anapandia mwanzo wa safari. Sasa serikali ikitangaza level seat hao wanaopandia njiani watapandaje? Tatizo mnawaza siasa hadi mnakosa akiliCCM Chama Cha Mazezeta. Mmeshindwa kufikiria, hata kuwaza pia?
Sio kila mtu anapandia mwanzo wa safari, kiasi kwamba ubahatike kukuta gari haijajaza.
Pili, unaweza kupata siti, umevaa na barakoa. Barakoa inakuziba pua na mdomo, si macho. Muathirika aliyesimama anapiga chafya, wadudu wanakurukia machoni.
Hebu acheni uzezeta wenu, hata Kama mna mtindio wa ubongo anzeni kujitoa huko sasa
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli
Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,
Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?
Tujihadhari Corona ipo
Big UP Jakaya Umeonesha Mfano
Britannica
Babu hata mimi nimejikuta narudia rudia ... afu nikaisoma na signature yako nikakutana na neno mud dahDah we jamaa imenichukua sekunde kadhaa kukuelewa... hahaha
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli
Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,
Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?
Tujihadhari Corona ipo
Big UP Jakaya Umeonesha Mfano
Britannica
rubbish!Dah we jamaa imenichukua sekunde kadhaa kukuelewa... hahaha
rubbish!Babu hata mimi nimejikuta narudia rudia ... afu nikaisoma na signature yako nikakutana na neno mud dah
Basi sawa
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli
Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,
Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?
Tujihadhari Corona ipo
Big UP Jakaya Umeonesha Mfano
Britannica
Kaitupe Mkuu.rubbish!
Mungu wangu. Nimecheka kama mazuri vile.Hii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.
Lord help us!