#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Zingatia maombi ya siku tatu,mkuu amesema mafua ya kubana yasitupe hofu.
 
Kwangu ni vigumu sana kumuamini tangu aliposema ameongea na aliyewahi kuwa waziri wa fedha marehemu Dr Kigoda, eti aliongeanae kwa simu Dr Kigoda akiwa ICU hosptalini India. Sina imani na kauli zake.
 
Hii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey kwa ujumla utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.

Lord help us!
 
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli



Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,

Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?

Tujihadhari Corona ipo

Big UP Jakaya Umeonesha Mfano

Britannica

Kuna mtu alimwambia tunataka lockdown?
 
Kwangu ni vigumu sana kumuamini tangu aliposema ameongea na aliyewahi kuwa waziri wa fedha marehemu Dr Kigoda, eti aliongeanae kwa simu Dr Kigoda akiwa ICU hosptalini India. Sina imani na kauli zake.
Aliwahi kuongea hayo maneno huyu mwamba
 
Hii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.

Lord help us!
Umeandika nini wewe
 
Hii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.

Lord help us!
Dah we jamaa imenichukua sekunde kadhaa kukuelewa... hahaha
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
CCM Chama Cha Mazezeta. Mmeshindwa kufikiria, hata kuwaza pia?
Sio kila mtu anapandia mwanzo wa safari, kiasi kwamba ubahatike kukuta gari haijajaza.
Pili, unaweza kupata siti, umevaa na barakoa. Barakoa inakuziba pua na mdomo, si macho. Muathirika aliyesimama anapiga chafya, wadudu wanakurukia machoni.
Hebu acheni uzezeta wenu, hata Kama mna mtindio wa ubongo anzeni kujitoa huko sasa
Akili yako ilivyo fupi hata hujui unataka nini. Umesema serikali itangaze level seat. Halafu unasema siyo kila mtu anapandia mwanzo wa safari. Sasa serikali ikitangaza level seat hao wanaopandia njiani watapandaje? Tatizo mnawaza siasa hadi mnakosa akili
 
Kwani hata walioshinda vita kuu ya pili hawakua na wanajeshi/raia waliouawa? Hii ni vita na tutaishinda
 
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli



Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,

Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?

Tujihadhari Corona ipo

Big UP Jakaya Umeonesha Mfano

Britannica


Hakuna mtu anasema lock down mbinu zinajulikana ni kuvaa barakoa, kukaa mita moja kati ya watu na kuosha mikono bila kujigusa gusa usoni sasa haya kwanini hayasemwi wakati hayazuii maisha ya watu kuendelea?
 
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli



Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,

Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?

Tujihadhari Corona ipo

Big UP Jakaya Umeonesha Mfano

Britannica

Tusimame na Mungu wakati huu wa kifo cha changamoto ya upumuaji
 
Nimepitia video ya YouTube ya Magufuli



Anasema hakutakuwa na lockdown, lakin the way anavyoongea anaonekana ku surender fulani ametambua alikosea kutoa tamko kwamba Tanzania Hakuna Corona, na ikamuumbua ikagonga juu kabisa,

Kuhusu meseji alosema kutumiwa na Prof Mpango tutaiamini vipi kama ameweza kuudanganya Umma kuwa hatuna corona?

Tujihadhari Corona ipo

Big UP Jakaya Umeonesha Mfano

Britannica

Kama Jpm ana idanganya dunia kwamba kulikuwa na uchaguzi huru na wa haki, ana shindwaje kusema corona hamna?

Ana shindwaje kutuambia Mpango kamtumia sms?

Ana shindwaje kutuambia ana wajali Watanzania na kumuamini Mungu?

HivibJpm ana mjua Mungu kuliko Mapadre walio ongoza ibada ya kumuaga Kijazi leo?

Maana Mapadre hukesha madhabahuni kumuomba Mungu lakini walikiwa n barakoa.

Mungu husema kwamba huwa saidia wale wanao jisaidia. Sio ukae kizembe useme Mungu ata tenda.

Mwambieni Jpm aende Serengeti akae kati ya kundi la simba amuombe Mungu wasimle. Mambo mengine hayahitaji elimu wa shule ya msingi.
 
Ninasikitika kwamba watu wanaanza kumpuuzia, na hii kwangu sioni kama ni picha nzuri kupuuziwa na wananchi wako, kuwa kiongozi mimi natafsiri kwamba ni kuwaongoza wenzako, hasa kwenye situation kama hii, watu wanamhitaji kiongozi.
JK ameonyesha mfano pale Karimjee.
 
kuna mtu alisema humu kwamba watanzania wanapenda sana kufa, ila mwisho wa siku lawama kwa magufuli...... sasa kama anaonesha kusarenda raha yako wewe ni nini? tuachage ujinga sometimes..
 
Hii corona wataalamu wanadai inazidi kuja kivingine kabisa. Sasa hivi inahama kutoka mapafuni kushuka chini kwenye tygoh. Yani mfumo wa marvey utakuwa tempered vibaya sana utakuwa ni mwendo wa massive, aggressive and violent vibration kwenye maryndah.

Lord help us!
Mungu wangu. Nimecheka kama mazuri vile.
 
Back
Top Bottom