ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Waanze kufa mara ngapi?Awareness kama tunayo inatosha ss kujikinga wenyewe. Serikali haijakataza raia kujikinga na covid.
Wakati mwingine ni bora kuwe hivi, Kwann tunataka panic irudi tena? Watu waanze kufa tena? Manesi wetu wanajulikana, wakishapanic nani atatoa huduma kwa wenye pumu, kifua kikuu, nimonia, n.k? Yaani serikali ikitangaza corona ipo tegemea matatizo zaidi ya mafanikio.
Kwa hali ilivyokuwa kipindi cha corona mi naona Kila mtu ajikinge, na kusali bila kusubiri tamko la serikali.
hapa tatizo sio Corona bali kinywa cha mtu mmoja hunena yasiyofaaCorona ipo duniani na Tanzania siyo kisiwa.
Nchi kuwa na Corona siyo aibu, maana kirusi hakijui mipaka ya kisiasa...
Kwani Mwaka Jana walikuwa wanapandia wapi? Au ulikuwa Bado hujaingia mjini,?Akili yako ilivyo fupi hata hujui unataka nini. Umesema serikali itangaze level seat. Halafu unasema siyo kila mtu anapandia mwanzo wa safari. Sasa serikali ikitangaza level seat hao wanaopandia njiani watapandaje? Tatizo mnawaza siasa hadi mnakosa akili
Nafikiri sikuwa sahihi kwenye baadhi ya maoni kuhusu kutangaza kuwa corona ipo maana hata haijifichi.Waanze kufa mara ngapi?
Vizuri sana, 2015. Hukumbuki?Aliwahi kuongea hayo maneno huyu mwamba
Rais wa TZ yeye hajali masuala ya covid, anawaza SGR na stiga gorge tu, na wakati huo huo anapiganiwa akae madarakani milele kabisa. Je, ndiyo itakuwa mwisho wa Taifa la TZ?Baada ya kifo cha Nkurunzizah, rais wa sasa wa Burundi anachukua tahadhari zote kwa raia wake.
Amewahimiza wananchi wake wamtegemee Mwenyezi Mungu na kuachana na chanjo ambazo hazijathibitishwa kuwa zinatibu kwa asilimia miamoja.Inakuwaje unapigwa chanjo zote first dose na second dose halafu bado unatakiwa kupimwa covidi unaposafiri ?
Magufuli yupo sawa, WaTanzania wote waliokumbwa na covid ambao wamefanikiwa kupona,hawakuwahi kupata chanjo ,japo wengine walifikishwa hospitali ,walitumia hizi hizi dawa zetu za kiasili tangawizi,karafuu limau chemsha kunywa baada ya masaa walianza kupata nafuu na kuruka kiunzi cha mauti.
Jambo baya ni kuwa ukipelekwa hospitali basi kutoka hai ni majaliwa,kwani kutumia dawa za asili inakuwa mtihani na jambo la kujificha labda upate daktari mwenye uelewa.
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.
Amewahimiza wananchi wake wamtegemee Mwenyezi Mungu na kuachana na chanjo ambazo hazijathibitishwa kuwa zinatibu kwa asilimia miamoja.Inakuwaje unapigwa chanjo zote first dose na second dose halafu bado unatakiwa kupimwa covidi unaposafiri ?
Magufuli yupo sawa, WaTanzania wote waliokumbwa na covid ambao wamefanikiwa kupona,hawakuwahi kupata chanjo ,japo wengine walifikishwa hospitali ,walitumia hizi hizi dawa zetu za kiasili tangawizi,karafuu limau chemsha kunywa baada ya masaa walianza kupata nafuu na kuruka kiunzi cha mauti.
Jambo baya ni kuwa ukipelekwa hospitali basi kutoka hai ni majaliwa,kwani kutumia dawa za asili inakuwa mtihani na jambo la kujificha labda upate daktari mwenye uelewa.
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.
Nosense., Nani alisema chanjo ni dawa ya corona? Hizi chanjo wataalam wanasema ni kinga sasa kwann usipimwe ukisafiri, kwan watu wangap wamechoma sindano za kinga ya tetnas, cholera nk, na ukichomwa ni msumari unakimbilia hospital kuangalia tetnas kwann hii corona inajengewa maswali?, kama wewe si muumini wa hizi sindano za kinga kwann watoto wakizaliwa kule hospital kuna utaratibu wa kuchomwa hizi sindano za kinga?Amewahimiza wananchi wake wamtegemee Mwenyezi Mungu na kuachana na chanjo ambazo hazijathibitishwa kuwa zinatibu kwa asilimia miamoja.Inakuwaje unapigwa chanjo zote first dose na second dose halafu bado unatakiwa kupimwa covidi unaposafiri ?
Magufuli yupo sawa, WaTanzania wote waliokumbwa na covid ambao wamefanikiwa kupona,hawakuwahi kupata chanjo ,japo wengine walifikishwa hospitali ,walitumia hizi hizi dawa zetu za kiasili tangawizi,karafuu limau chemsha kunywa baada ya masaa walianza kupata nafuu na kuruka kiunzi cha mauti.
Jambo baya ni kuwa ukipelekwa hospitali basi kutoka hai ni majaliwa,kwani kutumia dawa za asili inakuwa mtihani na jambo la kujificha labda upate daktari mwenye uelewa.
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.