#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Nimefiwa na ndugu zangu 3 from decembar na january kubwana pumzi
 
Nilipoteza shemeji yangu wa karibu na hii kitu na hapa tuna msiba wa Mama wa rafiki yangu mazishi keshokutwa. Kama wewe hujaguswa, kaa kimya tu hutapoteza chochote. Tuendelee kuchukua tahadhari.
Kwahiyo mnazika wenyewe kama kawaida au taratibu za mazishi zikoje?
 
Serikali isisitize kuvaa barakoa lkn zile za kushona kwa fundi pekee.

Lkn pia utaratibu wa kunawa mokono ni ustaarabu wa kawaida haikupaswa kuudiscourage
 
Jan 1 2021: Kifo cha baba mdogo, upumuaji.

Jan 14 2021 Kifo cha babu, upumuaji.

Wote walisaidiwa na mashine kupumua nyakati za mwisho za uhai wao.

ALLAH awarehemu.

Pole Mkuu
 
Ndugu zako wamekufa wangapi, mbona hamna anayejibu hili swali mnakwepa kwepa tuu na story za vijiweni??????
Kila mtu aweke data hapa tufikie conclusion, sio sijui maDR wa wapi wanasema bla bla. Mambo hayaendeshwi hivyo.
Never argue with a fool
 
Ingekuwa corona inaleta changamoto za kudumu kwenye ugegedaji kila mtu angekuwa kavaa barakoa sasa hivi 😀
 
Tatizo la kila mtu anataka kumuaminisha mwenzake badala ya kujadiliana kwa hoja. Mtu anataka kukuaminisha hakuna corona hali ya kuwa hatupimi corona na kutoa takwimu ili kuthibitisha kweli hakuna,mwengine nae anakwambia corona ipo na watu wanakufa halafu ushahidi hana anabaki kusema Tz sio kisiwa.
 
Tatizo la kila mtu anataka kumuaminisha mwenzake badala ya kujadiliana kwa hoja. Mtu anataka kukuaminisha hakuna hali ya kuwa hatupimi corona na kutoa takwimu ili kuthibitisha kweli hakuna,mwengine nae anakwambia corona ipo na watu wanakufa halafu ushahidi hana anabaki kusema Tz sio kisiwa.
Nawe unachochea mjadala kwani umekuja bila suluhisho
 
Nahisi kuna ka movement cha wafanyabiashara na mabeberu wanaotaka kuirudisha covid 19 kwa kasi ili wapige hela.
SIO KWA TANZANIA YA LEO...WATAKWAMA
We jinga kweli kweli kama corona hakuna wale watu mnaowapima Kyle mabibo kwa usd 100 kila mmoja mnawapima nn? Mimba au kifaransa?
 
Nawe unachochea mjadala kwani umekuja bila suluhisho
Utakuja vp na suluhisho wakati kila upande umeshikilia imani yake,ukijaribu kuhoji tu mtu anakwambia we ushadanganywa na Magufuli anakuona ni mjinga Au mwengine anakuuliza kwani we ushazika ndugu wangapi kwa corona. Na tatizo nyuma ya hii mada kuna siasa ndani yake,sasa hapo utawaeleza nini?
 
Na kwanini uchagua kuamini?

Kama corona ipo na hadi majirani zetu inawasumbua kwanini ukubali kuamini mtu akikwambia Tz haipo? kwanini hadi mtu akuaminishe kuwa Corona ipo Tz na watu wanakufa wakati balaa la Corona linajulikana na wezi kuficha?
Kuna mwanasiasa amechukua nafasi ya wataalamu kuwaamisleed wanyonge
 
Imeshangata family members au jirani zako wangapi?? Labda tuanzie hapo. Nadhani kila mtu aanzie kwa immediate family members na sio hadithi za sijui mtaani wanasema nini, kama mtaani ipo na familia zetu pia zipo huko huko mtaani so hawawezi ugua au kufa bila sisi kujua
Subiri uugue. Tusiandikie mate.
 
Nimeona nyuzi nyingi humu zinaelezea uwepo wa corona Tz kwa habari za kusikia tu kwa watu zenye et et nyingi zisizokua na uhakika. Acheni kuleta taharuki nyie watu corona Tz haipo na watu hawajaanza kufa leo wala jana pia kwa hao wanaokufa hakuna uthibitisho wa kidaktari kua wamekufa kwa corona ni hisia za nyie wapenda hofu zisizo na msingi tu.
CORONA HAIPO NCHINI

Nawasilisha
 
Nimeona nyuzi nyingi humu zinaelezea uwepo wa corona Tz kwa habari za kusikia tu kwa watu zenye et et nyingi zisizokua na uhakika. Acheni kuleta taharuki nyie watu corona Tz haipo na watu hawajaanza kufa leo wala jana pia kwa hao wanaokufa hakuna uthibitisho wa kidaktari kua wamekufa kwa corona ni hisia za nyie wapenda hofu zisizo na msingi tu.
CORONA HAIPO NCHINI

Nawasilisha
Sasa unajuaje corona haipo?
 
Matango pori ni mengi humu.. vyuoni na mashuleni tungekua tusha sikia vifo uko
Kabisa mkuu vyuoni kuna misongamano mikubwa mno isiyofuata tahadhari yoyote full kukumbatiana na kisses kibao kwa wapendanao
Achilia mbali makanisani kwenye vyombo vya usafiri, masokoni mbona watu wangeanguka sana kama kweli ingekuepo .
 
Back
Top Bottom