#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Una habari kwamba idara ya afya US almost kila aliyekuwa akifariki hospital, maawani wa afya walikuwa wakielekezwa kuwa-list kama wafu wa kovidi!???
Hilo nalitambua, hata nchi nyingi zimefanya hivyo.. In total, about asilimia 10 ya vifo vilivyotajwa kama ni vya corona haviendani na corona na wala sio corona..

zipo hospitali ambazo zilipoona fursa ya corona zikasema na zenyewe zitangaze wanaokufa huko kwa corona ili wapate kuangaliwa na kuongezewa vifaa.. Hizo hatupingi.. Ila tufike sehemu tuseme corona ipo..

Numbers do lie.. katika nchi inayojali watu wake na uongozi usiowazia uchumi kabla ya afya, kufa mtu mmoja ni kifo kikubwa kama wangekufa milioni..

tukiweka principal za ecology tutasema kufa kwao kunaendana na wanaozaliwa, lakini hii ni nguvu kazi ambayo imesaidiwa na serikali kwa njia moja au nyingine mpaka hapo ilipofika na ni jukumu (kwakuwa tunachangia kodi) la serikali kuwalinda..
 
Tanzania ni Makao Makuu ya Mungu.

Corona ipo jirani lakini kwetu haipo.

Hivi unafahamu kuwa ebola ipo DRC miongo mingi ila haipo hapa Tanzania?

Pneumonia ipo miaka nenda rudi na inaua. Na hata Sasa ipo na inaua pia.

Tuchape maombi. Usisuburi kuambiwa chukua tahadhari. Usafi muhimu siku zote.
 
Si unajua pia kuwa si kila mtu anayekufa kwa kushindwa kupumua kuwa hajafa kwa Corona?

Mwarobaini kwenye hilo si ilikuwa takwimu sahihi za nani kafa na nini?

Kwanini nguvu kubwa kuhakikisha takwimu kuhusiana na corona pekee hazipo? Yote hii haikufikirishi?
Mbona hamuombi takwimu za malaria wakati malaria ndio inaongoza kwa vifo duniani..au mwenye Corona kuna biashara nzuri inayolipa
 
Si unajua pia kuwa si kila mtu anayekufa kwa kushindwa kupumua kuwa hajafa kwa Corona?

Mwarobaini kwenye hilo si ilikuwa takwimu sahihi za nani kafa na nini?

Kwanini nguvu kubwa kuhakikisha takwimu kuhusiana na corona pekee hazipo? Yote hii haikufikirishi?
Mbona hamuombi takwimu za malaria wakati malaria ndio inaongoza kwa vifo duniani..au kwenye Corona ndio kuna biashara inayolipa zaidi...mnafirikia sana matumbo yenu kuliko uhalisia
 
Ukiwa una mgonjwa wa CORONA mpeleke hospital.mbona mnafanya vitu viwe vigumu?.
unaumwa nenda hospital.
Kila siku mnasema Kuna wagonjwa wa CORONA Sasa hao wagonjwa wanaishi mapangoni?.
 
ukiwa una mgonjwa wa CORONA mpeleke hospital.mbona mnafanya vitu viwe vigumu?.
unaumwa nenda hospital.
Kila siku mnasema Kuna wagonjwa wa CORONA Sasa hao wagonjwa wanaishi mapangoni?.
Kinga ni bora kuliko tiba. Watu wanatahadharishwa wajikinge.
 
Sasa ndugu yangu, unataka serikali ilete paniki na kusimamisha shughuli za uzalishaji mali wakati wazee wenyewe na wenye magonjwa nyemelezi hawafi, wakifa na wanakufa kwa magonjwa hayo nyemelezi, na sio Corona, ila kisa anakutwa na Corona ndio inasingiziwa Corona, nasisitiza Corona ni mafua na hayaui, kinachoua ni magonjwa yahusianayo na uzee hasa magonjwa ya moyo, presha, kisukari na idhaifu wa jumla katika mwili kutokana na uzee, lakini si Corona. Ni kama mtu afe kwa ugonjwa wa moyo halafu ukakuta kang’atwa na mbu then useme mbu ndie kamuua ..., this is ridiculous, get a hold of your selfs, tusilazimishe biashara, hatuna pesa za mchezo jamani, kauzeni kwengine hizo chanjo, ebooo!!!!
 
Sasa ndugu yangu, unataka serikali ilete paniki na kusimamisha shughuli za uzalishaji mali wakati wazee wenyewe na wenye magonjwa nyemelezi hawafi, wakifa na wanakufa kwa magonjwa hayo nyemelezi, na sio Corona, ila kisa anakutwa na Corona ndio inasingiziwa Corona, nasisitiza Corona ni mafua na hayaui, kinachoua ni magonjwa yahusianayo na uzee hasa magonjwa ya moyo, presha, kisukari na idhaifu wa jumla katika mwili kutokana na uzee, lakini si Corona. Ni kama mtu afe kwa ugonjwa wa moyo halafu ukakuta kang’atwa na mbu then useme mbu ndie kamuua ..., this is ridiculous, get a hold of your selfs, tusilazimishe biashara, hatuna pesa za mchezo jamani, kauzeni kwengine hizo chanjo, ebooo!!!!
Soma paragraph yangu ya kwanza uliyoquote alafu urudie ulichoandika..

Corona variant inayotoka SA inaua pamoja na vijana.. Je, ndugu yangu, msanii mwenzetu na mwanetu CPwaa, ile pneumonia haikuwa corona?? Au ndio tusifukue makaburi?? Aga Khan tumeona wodi za wagonjwa wa corona, je??

Hakuna kinachosingiziwa, tuweke mambo mepesi.. Tunaomba data kutoka maabara ya taifa ya vipimo vya corona hata kwa wiki iliyopita.. kwanini data hazitoki kama tunavyoongelea kodi ambazo tumekuwa tunakusanya?? Mbona hatujisifu kwa ku share data na kusema hatuna corona?? au mpaka tufungiwe kuingia nchi za watu ndio tutaelewa na kusema ni mabeberu??

Muokoe mzazi wako, Muokoe mzazi wa rafikiyo, Muokoe ndugu yako, Muokoe jirani yako.. Huo ndio upendo pekee unaweza kuupa ulimwengu..

narudia kuandika, hatusemi mkubali kuna corona ili tuingie lockdown.. Lockdown sio level yetu kwakuwa sie tunafanya biashara za mkononi.. ila tukubali uwepo wake ili tuweze kuwaokoa watu wanaoweza kufa kwa ugonjwa huu..
 
Corona ipo chukua tahadhali tuanze kujifukiza ingawa sijathibitisha ila kuna mtu amefariki naambiwa alikuwa na dalili zote za Corona kitendo cha serikali kukaa kumya haimaanishi usichukue tahadhali
Kila anayetoa taarifa anasema "naambiwa kuna mtu amefariki" hivi hakuna aliyefiwa na ndugu/mtu wa karibu!? Kama hakuna basi Corona haipo au haina madhara hapa nchini. Tusitishane, tujikinge na kuwakinga wenzetu bila kuwatia hofu.
 
Mbona hamuombi takwimu za malaria wakati malaria ndio inaongoza kwa vifo duniani..au mwenye Corona kuna biashara nzuri inayolipa

Comment #343 ulisoma au kukurupuka tu kama umekurupushwa tokea chooni?
 
Mbona kama kuna mtu anaenda kujificha CHATO ...!!!??? Kabisa ilikua hivyo hapo mwanzo inaonekana hivyo hata sasa ... na itakua hivyo hapo baadae

Amakweli watanzania wasasa sio wajinga tena ... kama na dhambi nizipate ila nafsi yangu inaomba waanze kupukutika huko juu ...

Watakapoanza kuputika wao ndio watachukua hatua zitakazo pelekea na sisi wachini tunusurike otherwise wataendelea kutuhadaa kwa faida zao za kisiasa haliyakua sisi wachini ndio tunaumia na familia zetu

Haya twendeni tuombe kwa pamoja ...

[emoji2969][emoji2969][emoji2969] ... Ewe Mungu Baba tunakuomba uanze kuwapukutisha mmoja baada ya mwingine kuanzia barazani chamwino mpaka pale sebuleni mjengoni ili hatua za makusudi zichukuliwe na sisi wachini tunusurike AMEN!!!
 
Kila anayetoa taarifa anasema "naambiwa kuna mtu amefariki" hivi hakuna aliyefiwa na ndugu/mtu wa karibu!? Kama hakuna basi Corona haipo au haina madhara hapa nchini. Tusitishane, tujikinge na kuwakinga wenzetu bila kuwatia hofu.
Humu kila kukicha ni kung'ang'ania korona
Watu wa Humu wananishangaza mwenzenu.
 
Nani amekwambia takwimu za Corona hazipo mahospitalini...tatizo huwez kuona neno corona, utaona matatizo yanayoendana na Hilo...kwa hiyo umedanganywa kuwa hakuna takwimu jomba...sema hakuna haja ya kutangaza..Ni kwanini itangazwe..mbona huulizi malaria inayoua kuliko ugonjwa wowote kuwa haitangazwi...au wewe takwimu zake unazipataga wapi jomba..msitudanganye na propaganda zenu...hamtuambii chochote
 
Tunaweza kupambana na corona kwa kupunguza mikusanyiko isiyo ya lazima kama baa na restaurant. Watu wanunue bia na kunywea nyumbani.
Mama ntilie wauwe take away kwa Instagram. Au wawape nafasi wateja..

Kunawa mikono kila mara na kuvaa barakoa.
Hivi unajua bar zinachangia kiasi gani kwenye uchumi wa taifa au unaongea kirahisi rahisi tu kwamba eti mikusanyiko isiyo ya lazima
 
mbona kila siku mnaambiwa.naweni mikono,tumia sanitizer n.k.
Mnataka mfanyiwe nini?.
Mmepewa Uhuru wa kuishi mtakavyo watanza mbona namshukuru?
Au mnataka JWTZ waingie mitaani kuangalia akina Nani wamevaa barakoa?
Nawaonea huruma MTAKUJA kuteseka sana
Kinga ni bora kuliko tiba. Watu wanatahadharishwa wajikinge.
 
How do you expect enomic prosperity while you are facing high a high mortality rate?
Hiyo high mortality rate ipi unayoizungumzia yaan 1% mortality rate ndo unasema high mortality rate?!!!!!!

Yaan uue uchumi kwa just 1% mortality rate?!!!tena usikute hiyo % ina cormobidity ndani yake
 
Back
Top Bottom