Niliwahi sema hivi hapa JF:
Gharama ya watu kupuuza siasa katika nchi si tu ni kubwa mno,bali hakuna hata tajiri anaeweza kuimudu.
Mkuu una hoja ya msingi sana.
Lazima tuwe na pa kuanzia. Suala la kutelekezewa gonjwa halina chama.
Hawa ni wa kuvaana nao head-on sasa.
Bottom line, hatukubali kutelekezewa gonjwa hali kodi wanachukua.