#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Akili zenu wengine mnazijua wenyewe
Mara chungu nzima Jiwe amedai kuishinda corona na hata kupewa nishani na kanisa moja.
Kitendo Cha kuwadhihaki wanao vaa barakoa akiwemo Spika kinaonyesha wazi kuwa ana amini kuwa ugonjwa haupo.
Kuhusu chanjo, sidhani "PhD 😅" yake ya korosho inampa jeuri ya kuwa mtaalamu wa virusi vinavyo umiza watu wala uthabiti wa chanjo yoyote
 
Amewahimiza wananchi wake wamtegemee Mwenyezi Mungu na kuachana na chanjo ambazo hazijathibitishwa kuwa zinatibu kwa asilimia miamoja.Inakuwaje unapigwa chanjo zote first dose na second dose halafu bado unatakiwa kupimwa covidi unaposafiri ?
Magufuli yupo sawa, WaTanzania wote waliokumbwa na covid ambao wamefanikiwa kupona,hawakuwahi kupata chanjo ,japo wengine walifikishwa hospitali ,walitumia hizi hizi dawa zetu za kiasili tangawizi,karafuu limau chemsha kunywa baada ya masaa walianza kupata nafuu na kuruka kiunzi cha mauti.

Jambo baya ni kuwa ukipelekwa hospitali basi kutoka hai ni majaliwa,kwani kutumia dawa za asili inakuwa mtihani na jambo la kujificha labda upate daktari mwenye uelewa.
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.
Rudi kwanza shuleni ukajifunze kuandika
 
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.
Jibu ni HAWAJUI hata wao

EDE9A5F3-236E-4B99-94B6-270CB5AFE2D4.jpeg
 
Mnaandika vitu msivyovielewa kiufasaha,
chanjo yoyote unayoijua HAIJAWAHI kutolewa kama TIBA sehemu yoyote duniani.

Muwe mnajisomea kwanza kabla ya kuandika mambo ya kiaalamu.
Nahisi matabibu wetu watumie hizi dawa za kikwetu kutengeneza kama spray ambazo mtu ataweza kupiga pafu.

Haya mambo si mepesi kama tunavyofilia.
Kabla ya kufika huko, lazima na ni muhimu ufanye kazi ya kujua:
Ndani ya hiyo dawa nu kitu gani kinafanyakazi na kwa utaratibu upi?
Ni kitu gani hakitakiwi?
Dose yake iweje?
Utunzaji wa hizo spray iweje ili zisibadilike kuwa sumu baadaye?
Madhara ya muda mrefu wa matumizi ya hizo spray?
Mambo ni mengi ndugu. Labda kwa kufanya ukinjekitile hapo sawa.
 
Amewahimiza wananchi wake wamtegemee Mwenyezi Mungu na kuachana na chanjo ambazo hazijathibitishwa kuwa zinatibu kwa asilimia miamoja.Inakuwaje unapigwa chanjo zote first dose na second dose halafu bado unatakiwa kupimwa covidi unaposafiri ?
Magufuli yupo sawa, WaTanzania wote waliokumbwa na covid ambao wamefanikiwa kupona,hawakuwahi kupata chanjo ,japo wengine walifikishwa hospitali ,walitumia hizi hizi dawa zetu za kiasili tangawizi,karafuu limau chemsha kunywa baada ya masaa walianza kupata nafuu na kuruka kiunzi cha mauti.

Jambo baya ni kuwa ukipelekwa hospitali basi kutoka hai ni majaliwa,kwani kutumia dawa za asili inakuwa mtihani na jambo la kujificha labda upate daktari mwenye uelewa.
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.
Hajawahi kusema hakuna,
Wala hajawahi kusema ipo,
Na huo ndo unafiki tunaousema!!
Why shouldn't say it openly?
 
Kwani ukipata chanjo ya TB, ndiyo inakuwa tiketi ukakae kwenye wagonjwa wa Tb bila kinga?
Ni wewe ndiye unayesema haya na sio mimi. Mimi nimeweka tu snapshot ya jibu la WHO

Nothing has meaning except the meaning you give it. Usifikiri kwa niaba yetu young man. Kila mtu anaweza kutafsiri jambo kivyake..

Fact is hiyo chanjo inayoimbwa na kila mtu bado haijajibu maswali mengi na kwa sasa elewa hivyo
 
Ni wewe ndiye unayesema haya na sio mimi. Mimi nimeweka tu snapshot ya jibu la WHO

Nothing has meaning except the meaning you give it. Usifikiri kwa niaba yetu young man. Kila mtu anaweza kutafsiri jambo kivyake..

Fact is hiyo chanjo inayoimbwa na kila mtu bado haijajibu maswali mengi na kwa sasa elewa hivyo

Hiyo ndo concept ya chanjo, hawajakosea ila kwa asiyejua anaona kama ni weakness kwenye chanjo husika.

Hivyo, sioni haja ya hicho kipengele kuwa hoja unless niambie lengo lako kuleta hiyo section nini hasa?

Kama ni tafsiri ingekuwa ni kila mtu na uhuru wake then huu ni mnara wa baberi. Tafsiri ibebe the right context.

Unapata chanjo na endelea kujikinga.
 
Vitu vingine mnaving'ang'ania bila maarifa. Kwani ukipata chanjo ya TB, ndiyo inakuwa tiketi ukakae kwenye wagonjwa wa Tb bila kinga?
Hivi busara na maarifa vimeenda wapi?
Ndio maana ya kinga,ingawa sijui umeandikaje andikaje .Itakuwa umejichanganya baina ya chanjo na kinga ni vitu viwili tofaouti.
 
Hiyo ndo concept ya chanjo, hawajakosea ila kwa asiyejua anaona kama ni weakness kwenye chanjo husika. Hivyo, sioni haja ya hicho kipengele kuwa hoja unless niambie lengo lako kuleta hiyo section nini hasa?
Swali la member ilikuwa “je, chanjo inatibu corona”?

Hicho kipengele kilikuwa kinajibu swali la member. Ulipaswa kuisoma hiyo english kwa utulivu.

In a nutshell, hicho kipengele kinajibu swali kwamba chanjo haitreat corona bali inatoa kinga japo haifahamiki hiyo protection itaisha nguvu lini na kwamba unapaswa kupata chanjo 2 ili kuhakikisha protection na kwamba unapaswa kuendelea kuvaa barakoa hata baada ya chanjo😊

Sasa wewe utajaza mwenyewe na kuweka maana zako
 
Ndio maana ya kinga,ingawa sijui umeandikaje andikaje .Itakuwa umejichanganya baina ya chanjo na kinga ni vitu viwili tofaouti.
Pole, sayansi haisemi hivyo.
Tunapata chanjo na kuendelea kuchukua tahadhali, nothing is 100% prefect kina factors nyingi sana. Kajisomee.
 
Swali la member ilikuwa “je, chanjo inatibu corona”?

Hicho kipengele kilikuwa kinajibu swali la member. Ulipaswa kuisoma hiyo english kwa utulivu.

In a nutshell, hicho kipengele kinajibu swali kwamba chanjo haitreat corona bali inatoa kinga japo haifahamiki hiyo protection itaisha nguvu lini na kwamba unapaswa kupata chanjo 2 ili kuhakikisha protection na kwamba unapaswa kuendelea kuvaa barakoa hata baada ya chanjo😊

Sasa wewe utajaza mwenyewe na kuweka maana zako
Same concept, ila just moving around.

Kazi kama tukubali chanjo au la ni ya TMDA. Walitakiwa kufanya kazi yao na kutoa majibu yenye sababu za kisayansi na si kufikirika tu.
 
Ni nini
Ndio maana ya kinga,ingawa sijui umeandikaje andikaje .Itakuwa umejichanganya baina ya chanjo na kinga ni vitu viwili tofaouti.

Ni nini lengo la chanjo?
Je ukiipata ndo uende peku kwa kuwa umepata chanjo?
 
Nosense., Nani alisema chanjo ni dawa ya corona? Hizi chanjo wataalam wanasema ni kinga sasa kwann usipimwe ukisafiri, kwan watu wangap wamechoma sindano za kinga ya tetnas, cholera nk, na ukichomwa ni msumari unakimbilia hospital kuangalia tetnas kwann hii corona inajengewa maswali?, kama wewe si muumini wa hizi sindano za kinga kwann watoto wakizaliwa kule hospital kuna utaratibu wa kuchomwa hizi sindano za kinga?
Mimi nakwambia si kinga ,hizo za kuzaliwa watoto zote zina asilimia miamoja na zimethibitishwa,hii inakigugumizi tokea huko WHO,mara hii utasikia inaasilimia 78 ya china asilimia 90 kuna mpya ya Russia asilimia 98 kuna nyingi dose moja tu,wanababaika hawajui ipi ni bora na unapoambiwa haijafikisha asilimia mia moja ,ujue ya kuwa lolote laweza kutokea huko twendako,kuna watu baada ya kudungwa wanasema wamepoteza nguvu za kiume !!!
Uhakika ni tangawizi karafuu na limau na zipo nyingi tu,udi lkaraha na asali imethibitika na ndio watu wengi wanasafiria hio.

Jingine hata ukidungwa hio mnayoita sijui kinga bado uhakika wa kutoikanyaga corona haupo.
Kuna njemba imeuliza kinga ni nini nielewavyo ikiwa kinga inafanya kazi kwa asilimia miamoja basi gonjwa la kinga hio haliwezi kukupata,na tetenas ina muda ,ndio kama uliwahi kudungwa hospitali hukujaribu kwa kukudunga kiduchu tu tena kiduchu sana,kuangalia reaction .
 
Mimi nakwambia si kinga ,hizo za kuzaliwa watoto zote zina asilimia miamoja na zimethibitishwa,hii inakigugumizi tokea huko WHO,mara hii utasikia inaasilimia 78 ya china asilimia 90 kuna mpya ya Russia asilimia 98 kuna nyingi dose moja tu,wanababaika hawajui ipi ni bora na unapoambiwa haijafikisha asilimia mia moja ,ujue ya kuwa lolote laweza kutokea huko twendako,kuna watu baada ya kudungwa wanasema wamepoteza nguvu za kiume !!!
Uhakika ni tangawizi karafuu na limau na zipo nyingi tu,udi lkaraha na asali imethibitika na ndio watu wengi wanasafiria hio.

Jingine hata ukidungwa hio mnayoita sijui kinga bado uhakika wa kutoikanyaga corona haupo.
Kuna njemba imeuliza kinga ni nini nielewavyo ikiwa kinga inafanya kazi kwa asilimia miamoja basi gonjwa la kinga hio haliwezi kukupata,na tetenas ina muda ,ndio kama uliwahi kudungwa hospitali hukujaribu kwa kukudunga kiduchu tu tena kiduchu sana,kuangalia reaction .
Hakuna cha asilimia mia moja katika chanjo. Kuna mambo mengi ya kuzingatia na uhakikishe yamekwenda 100%. Kama ni hivyo magonjwa yenye chanjo wangekufa wale wasiochanjwa tu.
Tujisomee jamani, hivi ni kweli wanaokufa na Tb ni wasiochanjwa?
Tafakari.
 
Amewahimiza wananchi wake wamtegemee Mwenyezi Mungu na kuachana na chanjo ambazo hazijathibitishwa kuwa zinatibu kwa asilimia miamoja.Inakuwaje unapigwa chanjo zote first dose na second dose halafu bado unatakiwa kupimwa covidi unaposafiri ?
Magufuli yupo sawa, WaTanzania wote waliokumbwa na covid ambao wamefanikiwa kupona,hawakuwahi kupata chanjo ,japo wengine walifikishwa hospitali ,walitumia hizi hizi dawa zetu za kiasili tangawizi,karafuu limau chemsha kunywa baada ya masaa walianza kupata nafuu na kuruka kiunzi cha mauti.

Jambo baya ni kuwa ukipelekwa hospitali basi kutoka hai ni majaliwa,kwani kutumia dawa za asili inakuwa mtihani na jambo la kujificha labda upate daktari mwenye uelewa.
Waulizeni WHO je hio chanjo inatibu korona ? Wasikilize jibu lao.
Unaelewa tofauti ya tiba na chanjo?
 
Unaelewa tofauti ya tiba na chanjo?
Tunasema tena kwa kilugha chetu kabisa ,Kinga ni bora kuliko tiba,Hapo utamuelewa vizuri Mheshimiwa Magufuli.
La muhimu hakuna kinga iliyothibitishwa kuhusiana na Covid 19,bado WHO wanapapasa tu,ila tiba zipo na fuatilia mitandao kwa wale waliopona,mmoja wao ambae ameonekana kuzuka majuzi baada ya kutoonekana kwa muda mrefu,msikiize kwa ufasaha maana katika hili ametulia kujielezea namna alivyojipapatua kwa kufuata maelekezo ya Mheshimiwa Magu na wengine.Huyu mwanamke anaitwa maarufu Sharifa mpemba nenda kainsta utamkuta huko ,manyusi yote yamenyonyoka.na katika maelezo yake kama angebali kuenda hospitali basi anawasiwasi leo angekuwa kaburini,nyie vipi,mnabishana na jambo ambalo halina uhakika.
Corona ipo tiba ipo ila kinga hakuna na kama hujajitayarisha ndugu mpendwa weka hivi vitu iwe ni kawaida kuvitumia,limau,asali tangawizi achana na sukari nyeupe,tumia asali kwenye chai ya tangawizi,yaani ukihisi ile siku ya kwanza unapumua kiajabu ajabu basi gongea chai iliyojaa tangawizi na asali,ukitaka kwenda mbali zaidi chemsha limau,tangawizi karafuu tatu kwa lita moja ya maji ,unachemsha mpaka inabakia nusu lita,kunywa na sikiliza kikohozi mafua ,kubanwa na mbavu hutajua yameelekea wapi.
 
Tusubiri Mungu aondoe covid. Tuzidishe maombi

Ndio tunatoka kwenye mkesha wa maombi na sasa tunakazia maombi kwa kufunga

"...wakionekana kama watu wanaomwogopa Mungu lakini wakizikana nguvu zake;a nawe jiepushe nao." 2 Timotheo 3:5
 
Back
Top Bottom