Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Kama hakuomba wamtetee,,mbona Yuda anamwita msaliti.Kwa maana alitaka Yuda amtetee, badala ya kumsaliti.Ni kweli alijua Yale mateso yatakuwa makali na Kwa Sababu alikuwa katika mwili aliongea Ivo but hujamalizia alisema mapenzi ya Mungu yatimie.but all in all hakuomba wamtetee wanadamu
Kama Yuda alivyomlipua Yesu kwa wauaji wa Yesu.Dini ya shetani inawaza mapigano kila wakati ndio maana mnajilipua kila siku
Michezo hiyo huwa wanafanya mazoezi kutumia visutuanze na wanaoenda gym halafu tufute mchezo wa ngumi maana hatujui wanajiandaa na nini pia.
Anaejilipua hana dini au haielewi vizuri dini.Dini ya shetani inawaza mapigano kila wakati ndio maana mnajilipua kila siku
kitu kikubwa san akuelewa ni kwamba, nchi hii walinzi ni sisi wananchi, serikali muda mwingi huwa imelala.Vitengo vyetu vya usalama vifanye kazi kwa weledi msije shtuka wakati mmesha chelewa.
Shule nyingi zinafundisha watoto kupigana ngumi, Karate na kutumia silaha za jadi na baadhi wanatoa hata maelekezo ya silaha za moto huenda.
Sasa wanajiandaa na nini? Na maandalizi yao wapo very secret na mazoezi mengine wanafanyia maporini kabisa ,wanajiandaa na nini hawa?
Maana unaweza dhani hizi kauli za kina mwaipopo , na yule Sheikh wa Mwanza zinakuja kwa bahati mbaya kumbe wana uhakika wana kikosi kazi cha kupambana hivyo wanaanza choko choko.
NAWASILISHA
Halafu cha kushangaza Ulaya na Marekani kule kwa walezi wa Imani yenu ndio wanarasimisha kabisa kisheria kulawitiana iwe ni ruksaZanzibar na ukanda wa Pwani ya Tanzania ndiyo kuna biashara kubwa ya kulawitiana.
Comment nzuri sana hiiKwenye hayo mambo amini usiamini jeshi la polisi na usalama wa taifa ni wabobezi mno.
Bongo ukitaka kujua vyombo vya dola viko macho basi jaribu ugaidi au ujambazi wa kutumia silaha, utazimwa kama mshumaa.
USIJARIBU! wazazi leeni watoto wenu vizuri. Wale majamaa wa operations hawana mzaha hata kidogo.
Wapi ulikuta Mkristo analazimisha mtu kuwa Mkristo.Haya ndio maisha yenye YESU ?KILA SIKU KUBAGUANA?KUFITINISHANA?WATU KIBAO HUMU NDANI WANATETEA DINI ZAO..WAISLAM WANATETEANA HATA KWA UPUMBAVU..WAKRISTO PIA HIVYOHIVYO...YAANI DINI NDIO KIPAUMBELE KULIKO UKWELI,KULIKO UPENDO BAINA YETU..
UNALIKUTA JITU LINASHUPAZA SHINGO..KUTETEA DINI YAKE HUKU NI LIFISADI,LILEVI LICHAWI..
Imani yetu inatokea YERUSALEMU(ISRAEL) na ikakulia ROMA(ITALIA) na ndiyo makao makuu ya Papa.Halafu cha kushangaza Ulaya na Marekani kule kwa walezi wa Imani yenu ndio wanarasimisha kabisa kisheria kulawitiana iwe ni ruksa