Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Acha uoaga wewe.Mbona mnawaogopa waarabu.Wanajiandaa na DP World kuilinda na kuitetea kwa nguvu zote,na ndiyo maana wameanzia mashuleni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uoaga wewe.Mbona mnawaogopa waarabu.Wanajiandaa na DP World kuilinda na kuitetea kwa nguvu zote,na ndiyo maana wameanzia mashuleni.
Shule nyingi???Vitengo vyetu vya usalama vifanye kazi kwa weledi msije shtuka wakati mmesha chelewa.
Shule nyingi zinafundisha watoto kupigana ngumi, Karate na kutumia silaha za jadi na baadhi wanatoa hata maelekezo ya silaha za moto huenda.
Sasa wanajiandaa na nini? Na maandalizi yao wapo very secret na mazoezi mengine wanafanyia maporini kabisa ,wanajiandaa na nini hawa?
Maana unaweza dhani hizi kauli za kina mwaipopo , na yule Sheikh wa Mwanza zinakuja kwa bahati mbaya kumbe wana uhakika wana kikosi kazi cha kupambana hivyo wanaanza choko choko.
NAWASILISHA
Tumia akili,huyu mwalimu alimpiga kichwani,taarifa ya hospitali,mwanafunzi,!maskini Sixtus(labda angekuja kuwa daktari bingwa),alivuja damu kichwani.Fikiria kipigo cha namna gani huyu mwalimu James,alimpiga mtoto mdogo wa miaka 7.Kama mwalimu angekuwa muislamu mngesema ni gaidi,au mwanafunzi aliyeuliwa angekuwa muislamu,mngemsema vibaya pia.Hapa mwalimu James na maskni mtoto Sixtus,wote ni wakristu.Hakuna muislamu aliyeleta uzi wa kukashifu dini za hawa.Wala kuwasema vibaya.Kuweni na akili wagalatia,nani kawa'l'oga?Tumia akili basi kufikiri mkuu...
James alimchapa kijana hadi akafariki kwa akili za kawaida alipigwa kwenye green zones ndio maana mwanafunzi alidedi kwa maumivu.
Lakini hii kesi ya mwanafunzi kumdedisha ticha ni kwamba alimchoma na kisu, then lazima mwalimu alivuja damu nyingi kwa muda mfupi na ikapelekea kudedi "hivyo basi kijana alichoma kwenye red zone/pressure point ndio maana mwalimu akidedi ndani ya muda mfupi, pamoja na kwamba alipata huduma ya haraka"
Hatutaki utumwa Tanganyika.Acha uoaga wewe.Mbona mnawaogopa waarabu.
Ndio ukweli,Padre alishika silaha akawamininia rusasi,waliopo kanisani,na mpaka leo hajaitwa gaidi wala kushtakiwa.Jana mvaa msalaba alisema pale temeke kuwa walianzisha polisi haiwezi kuzuiya ikumbukwe wavaa msalaba ndio waliochocheamauaji ya kimbali rwanda mwaka 94 kisha kuhamia uhamishoni ndio maana kagame ingawa ni mvaa msalaba lakini anawanyoosha makanisa mengine kayafutia usajiri
Kwa hiyo hamfanyi mazoezi?Basi itakuwa hamjaelimika.Si kweli hakuna upuuzi huo kwenye ukatoliki.
Acha ubishi mtoto wa juzi ww,nyie kuweni mssshoga, wacha vijana wapige tiziSi kweli hakuna upuuzi huo kwenye ukatoliki.
.Ndio maana inatakiwa uwe mtu wa mazoezi,ili usifanywe mtumwa.Na mazoezi hayafanyiki barabarani,!kama ilivyotokea mwanza,waliogongwa,wakifanya mazoezi barabarani,wakafariki na wengine kuumia.Na huwenda hawa wakawa wagalatia.Walioumia wapone na wawe wazima.AmeenHatutaki utumwa Tanganyika.
Hatutaki ughaidi Tanzania..Ndio maana inatakiwa uwe mtu wa mazoezi,ili usifanywe mtumwa.
Kujifunza kujihami dhidi ya wahuni sio kosa kisheriaMsikiti wa Tegeta Kibaoni huku nyuma kama unaenda Tegeta nyuki uchunguzwe. Nasema tena uchunguzwe.
mbona nyie hamzifungi Sunday School japo mnachowafanyia na kuwafundisha watoto sio mlichojisajilia ?Mnajifunza nini huko misikitini? Mnaanzaje kujifunza ngumi na karate kwenye nyumba mlizo jenga kwa ajili ya ibada na mashule kwa ajili ya masomo? Kwani ni mlizisajili kama kambi za jeshi zile? Au vyuo vya mafunzo ya kupigana? Mnajiandaa na nini nyie ndugu?
Zanzibar na ukanda wa Pwani ya Tanzania ndiyo kuna biashara kubwa ya kulawitiana.Kujifunza kujihami dhidi ya wahuni sio kosa kisheria
nyie endeleeni kufundishana kulawitiana acheni wenzenu wajifunze kujilinda dhidi ya wahalifu
Maisha bila Yesu hayaendi soma Yohana 3:16.AMBAO hawana DINI ,NAHISI NDIO WATU WENYE FURAHA SANA DUNIANI
Ok jihadist!!Wacha uoga wa kipumbavu.Hayo ni mazoezi,madaktari wanahimiza mazoezi,ili kuepuka maradhi ya kutoambukizwa kama presha,sukari nk
Samahani mkuu, sikujua kama upo kwa maslahi ya alah na din ya hak....🤣Tumia akili,huyu mwalimu alimpiga kichwani,taarifa ya hospitali,mwanafunzi,!maskini Sixtus(labda angekuja kuwa daktari bingwa),alivuja damu kichwani.Fikiria kipigo cha namna gani huyu mwalimu James,alimpiga mtoto mdogo wa miaka 7.Kama mwalimu angekuwa muislamu mngesema ni gaidi,au mwanafunzi aliyeuliwa angekuwa muislamu,mngemsema vibaya pia.Hapa mwalimu James na maskni mtoto Sixtus,wote ni wakristu.Hakuna muislamu aliyeleta uzi wa kukashifu dini za hawa.Wala kuwasema vibaya.Kuweni na akili wagalatia,nani kawa'l'oga?
Haya ndio maisha yenye YESU ?KILA SIKU KUBAGUANA?KUFITINISHANA?WATU KIBAO HUMU NDANI WANATETEA DINI ZAO..WAISLAM WANATETEANA HATA KWA UPUMBAVU..WAKRISTO PIA HIVYOHIVYO...YAANI DINI NDIO KIPAUMBELE KULIKO UKWELI,KULIKO UPENDO BAINA YETU..Maisha bila Yesu hayaendi soma Yohana 3:16.