Serikali iwe makini wanaofundisha watoto kupigana na kutumia silaha sijui wanajiandaa na nini

Serikali iwe makini wanaofundisha watoto kupigana na kutumia silaha sijui wanajiandaa na nini

Tumia akili,huyu mwalimu alimpiga kichwani,taarifa ya hospitali,mwanafunzi,!maskini Sixtus(labda angekuja kuwa daktari bingwa),alivuja damu kichwani.Fikiria kipigo cha namna gani huyu mwalimu James,alimpiga mtoto mdogo wa miaka 7.Kama mwalimu angekuwa muislamu mngesema ni gaidi,au mwanafunzi aliyeuliwa angekuwa muislamu,mngemsema vibaya pia.Hapa mwalimu James na maskni mtoto Sixtus,wote ni wakristu.Hakuna muislamu aliyeleta uzi wa kukashifu dini za hawa.Wala kuwasema vibaya.Kuweni na akili wagalatia,nani kawa'l'oga?
Ona mpumbavu MWINGINE huyu...
 
Mbona Yuda mpaka leo mnamuita msaliti.Kwa nini mumuite msaliti.Kumbe aliyesalitiwa angeweza kujitetea
Tunaita Ivo na hakuna aliyemtetea Yesu kumuua au kumuadhibu Yuda....ila dhamira yake mwenyewe alijiua.na before hajamsaliti Yesu alijua ila alijua ni lazima atumike Yuda
 
Na ndio mwalimu James,akamuua mtoto maskini wa miaka 7,Sistux aliyepiga kelele darasani,angemuachia Mungu,amnyamazishe huyu mtoto

Baada ya mateso,na kuomba kikombe cha mauti kimuepuke,lakini hakikumuepuka.Yaonyesha hakupenda kikombe cha mauti kimkute lakini ikawa hana budi.
Mathew 26:39-46
Ni kweli alijua Yale mateso yatakuwa makali na Kwa Sababu alikuwa katika mwili aliongea Ivo but hujamalizia alisema mapenzi ya Mungu yatimie.but all in all hakuomba wamtetee wanadamu
 
Vitengo vyetu vya usalama vifanye kazi kwa weledi msije shtuka wakati mmesha chelewa.

Shule nyingi zinafundisha watoto kupigana ngumi, Karate na kutumia silaha za jadi na baadhi wanatoa hata maelekezo ya silaha za moto huenda.

Sasa wanajiandaa na nini? Na maandalizi yao wapo very secret na mazoezi mengine wanafanyia maporini kabisa ,wanajiandaa na nini hawa?

Maana unaweza dhani hizi kauli za kina mwaipopo , na yule Sheikh wa Mwanza zinakuja kwa bahati mbaya kumbe wana uhakika wana kikosi kazi cha kupambana hivyo wanaanza choko choko.

NAWASILISHA
KIla mmoja apige tizz na ikiwezekana chuma! acha wajiandae tuendako si kwema
 
Vitengo vyetu vya usalama vifanye kazi kwa weledi msije shtuka wakati mmesha chelewa.

Shule nyingi zinafundisha watoto kupigana ngumi, Karate na kutumia silaha za jadi na baadhi wanatoa hata maelekezo ya silaha za moto huenda.

Sasa wanajiandaa na nini? Na maandalizi yao wapo very secret na mazoezi mengine wanafanyia maporini kabisa ,wanajiandaa na nini hawa?

Maana unaweza dhani hizi kauli za kina mwaipopo , na yule Sheikh wa Mwanza zinakuja kwa bahati mbaya kumbe wana uhakika wana kikosi kazi cha kupambana hivyo wanaanza choko choko.

NAWASILISHA
Naunga mkono hoja haraka sana,hii ni hatari kuliko hata ushoga.
 
Mazoezi ya kuvita na visu? Hapana unajiandaa kumchinja nani? Ukristo sio dini ya kupenda kupigana bali ni dini inayo sisitiza upendo kwa watu wote
Upendo wa Mwalimu James,kumuua mtoto wa miaka 7,maskini Sixtus,wa darasa la kwanza.
 
Tunaita Ivo na hakuna aliyemtetea Yesu kumuua au kumuadhibu Yuda....ila dhamira yake mwenyewe alijiua.na before hajamsaliti Yesu alijua ila alijua ni lazima atumike Yuda
Kwa nini Yuda anaitwa msaliti,badala ya kupewa hongera,na kusifiwa.Na hakuna mkristo anayemwitwa mwanawe Yuda Eskariote.
 
Back
Top Bottom