Serikali iwe makini wanaofundisha watoto kupigana na kutumia silaha sijui wanajiandaa na nini

Serikali iwe makini wanaofundisha watoto kupigana na kutumia silaha sijui wanajiandaa na nini

Tukio la juzi wanafunz kumchoma kisu mwalimu wao na ni shule ya kiislam ile unadhani ni jepesi?
Yule mwalimu James aliyempasua kichwa,mwanafunzi wa darasa la kwanza,sixtus,kwa kusema alipiga kelele darasani,unadhani ni jambo jepesi?
 
Msikiti wa Tegeta Kibaoni huku nyuma kama unaenda Tegeta nyuki uchunguzwe. Nasema tena uchunguzwe.
Unayo sema kama ni kweli kwanini usiende wazo kilipo kituo cha polisi ukalipoti unaleta ukuda wako hapa?
 
Mnajifunza nini huko misikitini? Mnaanzaje kujifunza ngumi na karate kwenye nyumba mlizo jenga kwa ajili ya ibada na mashule kwa ajili ya masomo? Kwani ni mlizisajili kama kambi za jeshi zile? Au vyuo vya mafunzo ya kupigana? Mnajiandaa na nini nyie ndugu?
Nenda polisi kalipoti ushenzi na umbea hatutaki hapa
 
Siasa imeingizwa kidini na kibaguzi tanzania. Kuna vuguvugu linatokota kwa kasi naliona. Na watanzania tulivyo na vichwa vyepesi kubebwa kama upepo, huko tunapokwenda ni giza.

1) Maaskofu na mapari wana fitinishwa na masheikh.
2) Masheikh nao wana fitinishwa na mapadri na maaskofu.
3) Waislamu wana fitinishwa na wakristo.
4) Wakristo wana fitinishwa na waislamu.
5) Watanzania bara wana fitinishwa na Wazanzibari.
6) Wazanzibari wana fitinishwa na watanzania bara.
7) Ubaguzi wa rangi na makabila unashika kasi.
8) Vyama vya siasa vinatoa vipeperushi kuwasemea Mapadri na Masheikh.
9) Wananchi ndio wanatumiwa kama kuni kuchochea moto.
10) Wanasiasa, wanaharakati, wanasheria n.k wanachochea moto.

Ni hatari tupu tunapokwenda! Mw. Nyerere aliona mbali kwenye ile speech yake ya "Mimi Mzanzibari/Mimi mtanganyika/Mimi Kabila Fulani".
Wenye fitina nchii ni wavaa misalaba ukitaka kuamini mkutano wa jana temeke mvaa msalaba alisema kanisa katoliki tu ndilo lilo leta uhuru nchi hii kama sio fitina nini?
 
Kanisa katoliki ni kama Coca cola..
Wakala wa Vatican hapa Tanzania
Na Vatican ni Italy...
Naona wako mbele Sana kuvuruga kila kitu...Maaskofu na Padri Slaa wako mwembe Yanga kumtukana Samia na kuchochea uasi...
Na hapa JF kila baada ya masaa mawili utaona threads za chuki zinaanza kama hii
Juzi mwalimu James,kamuua mtoto wa miaka 7,sixtus,lakini ile habari waislamu,hawakuendeleza,wala kumsema mwalimu kwa dini yake,wala mwanafunzi aliyeuliwa kwa kusemwa alipiga kelele,kwamba muuaji na mpiga kelele darasani kafundishwa na dini yake.
 
Mnamteteaje Mungu? Kama mnaamini Mungu ana nguvu zote je Hana nguvu za kujitetea? Aumbe mbingu na nchi ashindwe kujitetea kweli? Mimi naamini Mungu wangu anazo nguvu sana haitaji kutetewa na mimi, ila mimi ndio nahitaji kutetewa na yeye.
Unapomteleaga sadaka za kuteketeza huwa anakua na hamu ya nyama choma!?..hawezi kushika mnyama na kujichomea mwenyewe?..anakutoza fungu la kumi kukufilisi masikini uliyehaha kusaka kwa jasho na damu,yeye hajaui pa kupata hela,Hana kazi!?
 
Na huyu teacher James,alijuaje pressure point,hadi akamdedisha mwanafunzi wa miaka 7,maskini Sixtus?
Tumia akili basi kufikiri mkuu...
James alimchapa kijana hadi akafariki kwa akili za kawaida alipigwa kwenye green zones ndio maana mwanafunzi alidedi kwa maumivu.
Lakini hii kesi ya mwanafunzi kumdedisha ticha ni kwamba alimchoma na kisu, then lazima mwalimu alivuja damu nyingi kwa muda mfupi na ikapelekea kudedi "hivyo basi kijana alichoma kwenye red zone/pressure point ndio maana mwalimu akidedi ndani ya muda mfupi, pamoja na kwamba alipata huduma ya haraka"
 
Kanisa katoliki ni kama Coca cola..
Wakala wa Vatican hapa Tanzania
Na Vatican ni Italy...
Naona wako mbele Sana kuvuruga kila kitu...Maaskofu na Padri Slaa wako mwembe Yanga kumtukana Samia na kuchochea uasi...
Na hapa JF kila baada ya masaa mawili utaona threads za chuki zinaanza kama hii
Jana mvaa msalaba alisema pale temeke kuwa walianzisha polisi haiwezi kuzuiya ikumbukwe wavaa msalaba ndio waliochocheamauaji ya kimbali rwanda mwaka 94 kisha kuhamia uhamishoni ndio maana kagame ingawa ni mvaa msalaba lakini anawanyoosha makanisa mengine kayafutia usajiri
 
Mnamteteaje Mungu? Kama mnaamini Mungu ana nguvu zote je Hana nguvu za kujitetea? Aumbe mbingu na nchi ashindwe kujitetea kweli? Mimi naamini Mungu wangu anazo nguvu sana haitaji kutetewa na mimi, ila mimi ndio nahitaji kutetewa na yeye.
Na ndio mwalimu James,akamuua mtoto maskini wa miaka 7,Sistux aliyepiga kelele darasani,angemuachia Mungu,amnyamazishe huyu mtoto.
 
Ivi mazoezi ya karate na ugaid vina mahusiano gani nyie maccchoko? Watu wavivu wa mazoezi huwa mna maneno Sana kkenge nyie, acheni chuki za kidini wapuuz nyie, ivi mlisikia lini magaidi wamevamia sehemu kwa kutumia mapigano ya mkono (karate)?
Huu ndio ukweli.Gaidi awe mkristo au muislamu,asiwe na dini,!alivyamia lini kwa kupigana na Karate.Basi wachina ni magaidi wanajifunza karate.
 
Alikubali Sababu alikuwa on mission na hakutaka wafuasi wake wamtetee alikiface kifo mwenyewe na siku ya tatu alifufuka.na Bado mpaka Leo tunapowaambia watu wengine tunawaambia pasipo kutumia nguvu.why tumtetee wakati he is all powerful
Baada ya mateso,na kuomba kikombe cha mauti kimuepuke,lakini hakikumuepuka.Yaonyesha hakupenda kikombe cha mauti kimkute lakini ikawa hana budi.
Mathew 26:39-46
 
Michezo ya Ngumi na karate itafanya nini? Ama unafikiri mtu anaweza pindua Nchi kwa karate? Punguza kuangalia movie nyingi mkuu.

Ki Afya hii Michezo ni mizuri sana, kuliko kufa na kisukari ama magonjwa ya ajabu ajabu acha watu watoke jasho, kuna Sheria gani ya Nchi inakataza? Na kufanya mazoezi ni Ibada pia.
Huu ndio ukweli.
 
Alikuwa anaendesha Mungu baba ambae yeye hajawahi kufa ila aliekufa na kufufuka ni Mungu mwana.any way tuishie hapa ninachoshangaa ni Mungu kutetewa na wanadamu that means Hana nguvu
Mbona Yuda mpaka leo mnamuita msaliti.Kwa nini mumuite msaliti.Kumbe aliyesalitiwa angeweza kujitetea
 
Back
Top Bottom