Serikali kuendelea na uwekezaji wa Bandari na DP World kama ilivyopangwa

Msijali watz!

Atakuja rais mwingine mwenye akili atatunasua kwenye hili tego hata kama tutalipa fidia ya mabilioni itakuwa bora zaidi kuliko kuendelea kuukumbatia huu uharo!
Wewe utapita...

Mimi nitapita...

Tanzania ipo milele....

TEC si wenye hatimiliki ya taifa hili....
 
Ujumbe umefika vzr tu, pia watanzania wa leo wameelimika na uelewa mpana kbs so endeleeni kufanya mamb mtakavyo ila payback itakua mbaya san!! Kikubwa uzima tu.
...kauli ya kujifariji hiyo...hama payback wala baba yake....

CASE CLOSED[emoji123]
 
kama mpango huu hauna RUSHWA basi Mola akawabariki sana.
ILA kama mpango huu umejaa RUSHWA na mmeuza raslimali zetu kwa maslahi yenu na watoto wenu, laana na upanga wa MOTO wa Mwenyezi Mungu ukawe juu yenu na watpto wenu,
Laana hiyo haipo...

Upanga huo wa moto haupo...

Mungu hayuko mifukoni mwenu....

Babu zangu kina Utende ,Milazo walikuwa ni wapagani na Mungu aliwatia nguvu kupigana dhidi ya uonevu wa mjerumani mwaka 1905 na kusimika harakati za uhuru wa nchi....

Tutolee "usengereeema" wako hapa
 
#Hakuna mwenye Misuli ya kuligawa na kuliuza taifa hili[emoji120][emoji7][emoji2956][emoji2956]
 
Unatuletea stori za vibanda vya urithi na uwekezaji wa trilioni 26?!!

Zimo kweli humo juu kwako ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Watazingatia maoni gani wakati IGA imeshapitishwa na bunge bila kusikiliza maoni ya wadau?

Msigwa anaeopoka ujinga tu.
Umeshindwa vita wewe....

Msigwa yuko sahihi...

Sisi hatuongelei maslahi vikundi vya BAKWATA na TEC....
 
Babako angetumia condom angetuepusha na hii dhahama!
 
Hilo Jeshi unaliamuru wewe hapo kibandani kwako ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Unatuletea "conspiracy theories" hapa...

Msigwa yu sahihi...

Nchi ni yetu sote si ya BAKWATA wala TEC......
 
Unajichosha bure...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ni muasi...

Wewe ni msaliti wa binadamu wenzangu wanaoamini tofauti na unachoamini....

Bandari na UISLAM wapi na wapi ?!!

Ulichosema ndio patriotism ?!!!

Hivi "patriotism" inahubiri imani za dini ?!!!

Ninyi wafia dini ni hatari zaidi ya alivyo shetani....

Kumlllllmaaaymmmyeeeko[emoji106]
 
...kauli ya kujifariji hiyo...hama payback wala baba yake....

CASE CLOSED[emoji123]
Hatutaki kusikia KENGE yoyote anatuandikia kitabu cha majuto na kuelezea mikasa yake jinsi wahuni walivyomuingiza MKENGE

You should have listened, now you must pay the consequences
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…