Nchi ina bahari mbaya kuwa na maraisi mediocre
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ina bahari mbaya kuwa na maraisi mediocre
Chawa ni wabunifu sana wa upigaji , hongereni chawa wote mlioko serikaliniTaarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Mbona yote haya yanafanyika Tanganyika kwani zenji haipp Tanzania..huko nako serikali ya JMT imefanya nini?..ndani ya mwaka mmoja huu.Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Chawa ni wabunifu sana wa upigaji , hongereni chawa wote mlioko serikalini
Nasubiri kauli yake ya "Tumepata vijisent kidogo kutoka nchi ya Falme za kiarabu"Mkuu hujaskia kama kuna Trn 17... point kadhaa toka Dubai?
Ova..[emoji41]
Nchi ina bahari mbaya kuwa na maraisi mediocre
Ngorongoro imeendaKwanza Dubai katuletea nini huyu mama yetu.
Tunauzwa tu kushoto kulia,juu chini.Nasubiri kauli yake ya "Tumepata vijisent kidogo kutoka nchi ya Falme za kiarabu"
This is wrong pamoja sijawahi kumkubali Magufuli Ila hii sherehe ni dhihaka. It's wrong.Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Chawa ni wabunifu sana wa upigaji , hongereni chawa wote mlioko serikalini
Rais makini asingeruhusu utumiaji wa fedha za Serikali kwa shuhuri ambazo wananchi wataziona kama kweli zina manufaa kwao. Kama Samia anafanya kazi ya kutukuka msingepaswa kutumia nguvu za ziada kumuuza angeuzika bila matumizi haya ya kipigaji kwani wajajnja wanafaidika na uchawa wa namna hii!!
Mkuu Unapolaumu mtu kuwa chawa wa serikali wewe unataka wawe chawa wa babu yako ambaye Yuko nanjilinji Hana mbele Wala nyuma,damu Hana kabaki mifupa ,atawalisha nini hao chawa?Mmeanza uchawa, hayo maadhimisho yanatusaia nn sasa
Hivi Serikali na wapambe wake hufikilia kweli,maazimisho ya mwaka mmoja so what, ni kwa lipi,na nini umuhim wake? 2025 itawatoa roho na hampati ,ole wenu mkaibe kura mtakumbana na vikwazo vya Urusi Cha mtoto,dunia ipo na mtenda haki ,chini ya USATaarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.
Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.
View attachment 2134444
Daa afrika bana.Msigwa anapambana kuhakikisha bado anakuwa relevant, anyways vipi kumbukumbu ya Jiwe kuondoka?
Ni wamasai kuondolewa NgorongoroKwanza Dubai katuletea nini huyu mama yetu.
Kwa tume hii mbovu watapita kama mshaleHivi Serikali na wapambe wake hufikilia kweli,maazimisho ya mwaka mmoja so what, ni kwa lipi,na nini umuhim wake? 2025 itawatoa roho na hampati ,ole wenu mkaibe kura mtakumbana na vikwazo vya Urusi Cha mtoto,dunia ipo na mtenda haki ,chini ya USA
Watu wengine huwa wanaamini kwamba pesa ya serikali haina mwenyewe na kwamba ukiipiga pesa ya serikali hata dhambi hupati maana hujamdhulumu MTU, lo ! Salaaleeh!! MNAJIDANGANYA !! HIZO PESA MPAKA MTOTO AMBAYE BADO YUPO TUMBONI ZINAMHUSU !! WAPIGAJI WAMUOGOPE MUNGU !!!Mkuu Unapolaumu mtu kuwa chawa wa serikali wewe unataka wawe chawa wa babu yako ambaye Yuko nanjilinji Hana mbele Wala nyuma,damu Hana kabaki mifupa ,atawalisha nini hao chawa?