Serikali kufanya maadhimisho ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani

Serikali kufanya maadhimisho ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani

Urais ndio kazi yake kama ilivyo kwa wabunge madaktari na walimu au wakuu wa mikoa , hivi kila mfanyakazi akitaka kufanyiwa au kufanya sherehe ya kutimiza mwaka au miaka kadhaa kazini itakuwa nchi au kijiwe.
Huu ni utaratibu wa kirais au kisheria au mbwembwe au mi ndiye sielewielewi .
Kwakweli kuna mambo yanaudhi na kukera
 
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.

Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.

View attachment 2134444
Wanawake Kwa kupenda sherehe!!!
 
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.

Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.

View attachment 2134444
Maza naye anapenda publicity kama mtangulizi wake.

Au ndiyo njia za kufunika mwaka moja tangu Mwendazake atutoke ...!!
 
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.

Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.

View attachment 2134444
Msisahau bia zigawiwe Bure kufurahia kifo Cha shetani magufuli.

Siku anakufa tulikuwa mahabusu, kifo chake takaachiwa huru.

Kifupi italuwa ni wiki ya kufurahia kifo Cha magu
 
Kwahiyo maadhimisho ya mwaka mmoja tangu jiwe kafariki mmeyatupilia mbali?
 
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.

Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.

View attachment 2134444
Too much sasa.
 
Kusifu na kuabudu kama kawa
Magufuli To Samia:

From Emperor Without Clothes To Empress Without Shame!
downloadfile-3.jpg
 
Back
Top Bottom